Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

Francis Cheka (TZ) vs Phil Williams (US)

yani hadi sasa hakuna aliyepigwa ngumi?
 
now ni round ya 4 kati ya mahugo na mashali .but mashali ana enda vizuri sana.score yake iko powa
 
Natabiri Cheka kupigwa mapema tu,maana alionyesha woga tangu juzi!
 
LEGE woooote humu tunakutegemea wewe kwa updates!!!
 
Last edited by a moderator:
​mashali kashinda kwa point now mwendo mdondo kwa cheka.sala zenu tuu kwa mwakilishi wetu wa tz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom