BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,120
Sasa najiuliza hizo fedha zinazolipwa kwenye ada za watoto zinasadia nini kama Shule inashinda kurekebisha njia inayotumiwa na Magari, Wafanyakazi na Watoto wa shule hiyo. Pale kwa haraka tu ni kifusi gari 5 tu pameisha lakini hawajiongezi kufanya hilo.
Hebu wawajibike maana wananyanyasa sana Watoto wadogo wanaotumia njia hiyo.