Found a real love when its too late.

Moyo mdanganyifu hupenda visiyoruhusiwa. Mfuate mchumba wako au mwambie rasmi unamwacha. Je huyo mvulana naye yuko tayari kuvunja uchumba?
 
Habari zenu wanajf? hope mu wazima.

Jamani naombeni ushauri wenu kwa hili ninalofanya kama ni sawa au nakosea.

Mimi ni mdada ambaye bado cjaolewa ila nina mchumba ambae anakaa mbali na mimi sababu ya kazi,yani mikoa tofauti.
Kampuni ninayofanya kazi nimetokea kuwa karibu sn na kijana mmoja ambaye pia ni mfanyakazi mwenzangu lakini sio ofisi moja,ukaribu umezidi na hatimaye tumejikuta in love,ukweli ni kwamba naweza kusema huyu kaka anajua kupenda, ananiheshimu and he real know how to care for a woman,kitu ambacho i always dream about,yupo tayari kwa lolote na muda wowote nitakaomhitaji hasa kama nina shida,ukweli ni kwamba tumependana sn utafikiri wote tumekutana tukiwa single,wakati hata yeye ana mpenzi wake ambae pia anaishi mbali na yeye.
Naombeni ushauri wenu kwa hiki ninachofanya,je ni sawa na kama sio sawa nitafanyaje?,ukweli ni kwamba nampenda sana na siko tayari kumpoteza cause he made ma life wonderful,never knew it before.Na ninaomba nieleweke niko na mchumba wangu kwa miaka miwili na nusu sasa na sijawahi kumsaliti kwa mwanaume yoyote zaidi ya huyu.

I wish i could knew him before,cause its like i found a real love when its too late,hata yeye pia ana apprecite sana for this love.


Naombeni ushauri,nitaendelea hivi mpaka lini?

thats why I dont trust a woman... unasema huwezi kumuacha then unataka tukushauri nini!!!!! the time umeacha na huyo bwana wako wa mbali ndio utaujua vizuri side B ya huyo jamaa mpya keep it up!!! hii ni Ifidelity kwa mwanamke WTF!!!!!!!!1
 
Just check on the 80%-20% rule! Ukijikuta uko pazuri do whatever your heart tells you after all its your life.......
 
even though most of you guys u dont believe in distance love but real it exist
mtu kama unampenda haijalishi yu wapi au lah na nakuhahakikishia kuwa hata ukienda kwa huyo met wako huta msahau yule wa mbali kwani kati ya wawili hawammoja utampenda just for spending na mwingine ytampenda kwa maisha lakini kumbuka kuwa heart desire and body desire are two things different but i disagree to agree
think twice
cheating is allowed but not accepted ehhhhhh
valex
 
ULIVYOMTENDA mchumba wako na mchumba wa huyo boyfriend wako, NDIVYO UTAKAVYOTENDWA pia, malipo hapahapa duniani, subiri utayaona!!!!
 
uchumba sio ndoa! kufall kwa mwingine c kitu cha ajabu, mtaarifu mchumba wako wa zamani ili muachane kwa amani.
 
..........yupo tayari kwa lolote na muda wowote nitakaomhitaji hasa kama nina shida,............
....Hapo tuu, tayari ushaonyesha udhaifu wako, kuwa unampenda kwasababu anakusaidia unapokuwa na shida!...Atakapokuwa hana fedha naogopa utammwagia mbali..Achana nae huyu..si wako.
 
kama kweli umehakikisha mnapendana kwa dhati, na huyu kaka kakuhakikishia kuwa naye yuko tayari kuuachana na huyo mchumba wake, mi nakushauri achan na mchumaba ako muanze na huyu wa pili. ni kweli watu maranyingi yunaingia kwenye mahusiano hadi ndoa tukidhani ni true love kumbe sivyo na kutufanya tuumie milele au ndoa kuvunjika. may be he is u man, make it, but be very sure.
 
Back
Top Bottom