Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,795
- 58,427
daaah ilikua hatareee sana aiseeeKuna watu wakongwe mpaka ID zao zilipotea database lilopocrash wakaanza upya.
Vijana mnajua database lilicrash?
daaah ilikua hatareee sana aiseeeKuna watu wakongwe mpaka ID zao zilipotea database lilopocrash wakaanza upya.
Vijana mnajua database lilicrash?
Kiranga tuanzishe tena ule mjadala wa Mungu yupo ama hayupo😂Database lilicrash ikabidi mabaharia wafanye restore kutoka backup, lakini kuna baadhi ya majina nayatafuta siyaoni nafikiri yalienda na maji.
Field Marshal RIEP legendary...akatusaidia pakubwa!daaah ilikua hatareee sana aiseee
Wajulie wapi,nasikitika ile ID yangu ya 2008 ilienda na majiKuna watu wakongwe mpaka ID zao zilipotea database lilopocrash wakaanza upya.
Vijana mnajua database lilicrash?
Na Mimi ilipotea Kisha ikarudi nikaipotezeaWajulie wapi,nasikitika ile ID yangu ya 2008 ilienda na maji
Hakika sasa tumekuwa wakongwe 😀.Kuna watu wakongwe mpaka ID zao zilipotea database lilopocrash wakaanza upya.
Vijana mnajua database lilicrash?
Hivi unaweza bashiri mm ni nani? Jina lako halisi Lina anza na J...Hongera kukuza my dear friend enzi zetu zile sitazisahau...Hakika sasa tumekuwa wakongwe 😀.
Wengine tumeanza JF tukiwa na ma toddlers nyumbani na leo hii ni college graduates and heading straight to grad school.
Damn I’m starting to feel old now 🤣.
View attachment 3316970
View attachment 3316971
Hahaaa jina lako la zamani ni nani? Hili Ame ni la juzi juzi tu hapa…2011.Hivi unaweza bashiri mm ni nani? Jina lako halisi Lina anza na J...Hongera kukuza my dear friend enzi zetu zile sitazisahau...
Mwafrika wa kike😂😂😂Hahaaa jina lako la zamani ni nani? Hili Ame ni la juzi juzi tu hapa…2011.
Hivi Madam B alipotelea wapiHahaaa jina lako la zamani ni nani? Hili Ame ni la juzi juzi tu hapa…2011.
Hahaaa haiwezekani kabisa!Mwafrika wa kike😂😂😂
Naombeni msifute uzi huu na ikiwezekana uwe kule juu bolded📌🔨Wana JF na JF moderators forum hii iwe maalum kwa kiwatambua wakongwe wa jf kwa kuwataja Ili kujifunza kutokana na michango Yao kama wananafasi wajitaje humu au watajwe Ili wale watoto wa 2020 walipopata kujua mitandao 2020-2025 wajue na wajifunze
Naombeni msifute uzi huu na ikiwezekana uwe kule juu bolded
Hata sijui na yeye simjui.Hivi Madam B alipotelea wapi