Forum maalum kwa wakongwe wa JF

Forum maalum kwa wakongwe wa JF

Wana JF na JF moderators forum hii iwe maalum kwa kiwatambua wakongwe wa jf kwa kuwataja Ili kujifunza kutokana na michango Yao kama wananafasi wajitaje humu au watajwe Ili wale watoto wa 2020 walipopata kujua mitandao 2020-2025 wajue na wajifunze

Naombeni msifute uzi huu na ikiwezekana uwe kule juu bolded
Gentleman,
ni muhimu kujiepusha na fikra zozote zenye sura ya kibaguzi na kutafuta u special ambao hauna maana yoyote jukwaani ,

ni muhimu zaidi ukongwe wa mwana JF yeyote uwe katika kuandika na kuibua hoja au agenda za kusisimua na kubadili au kuchochea mabadiko ya kifikra, maoni na mitazamo tofauti ya wa dau dhidi ya mambo mballimbali kijamii, kisiasa na kiuchmi na hatimae kuogeza uelewa na ufahamu wa wadau juu ya mambo hayo na kuwaleta pamoja kifikra kama familia ya waTanzania kwa maslahi mapana ya amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania wote.

ukongwe na majina havina maana yoyote ispokua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ndio jambo la maana zaidi kuliko kufikiria kujitenga 🐒
 
Aiseee kuna hiyo siku nilichimba mada mbali mbali za kipindi hiko aiseee.

Jf zamani ilikua na mashangazi that is real an unakuta comment inaandikwa kishangazi shangazi kabisa ad mate yanakutoka..

Ila sasa hvi ni laana tupu aisee ukikutana na comment ya bichwa ni matatzo...

Kuna wengine ni wakongwe humu na unaweza jua ni mshangazi kumbe ni faza..
Hii ilinitokea aiseee yule jamaa alinitukana sana ila yote heri...
Uliwahi kukutana na "Mama Ntilie, au Kifimbo Cheza?
Sijui kama hawa watu bado Mungu anawapa pumzi au vipi? Akina Mdosi Mzalendo!
Ahaa, kweli JF imetoka mbali sana; na nina hakika tunakoelekea, ndiyo kama inaanza!
 
Uliwahi kukutana na "Mama Ntilie, au Kifimbo Cheza?
Sijui kama hawa watu bado Mungu anawapa pumzi au vipi? Akina Mdosi Mzalendo!
Ahaa, kweli JF imetoka mbali sana; na nina hakika tunakoelekea, ndiyo kama inaanza!
Kama sijakosea, Mama Ntilie 2006 tayari alikuwa mstaafu…..
 
Wana JF na JF moderators forum hii iwe maalum kwa kiwatambua wakongwe wa jf kwa kuwataja Ili kujifunza kutokana na michango Yao kama wananafasi wajitaje humu au watajwe Ili wale watoto wa 2020 walipopata kujua mitandao 2020-2025 wajue na wajifunze

Naombeni msifute uzi huu na ikiwezekana uwe kule juu bolded
Ungesema ile forum ya wakubwa ingerudishwa ningekuunga mkono maana sioni sababu ya kuifunga ile forum kwani mambo ya kikubwa kila mtu anayajua na hiyo ingewekewa masharti ya kujiunga
 
Gentleman,
ni muhimu kujiepusha na fikra zozote zenye sura ya kibaguzi na kutafuta u special ambao hauna maana yoyote jukwaani ,

ni muhimu zaidi ukongwe wa mwana JF yeyote uwe katika kuandika na kuibua hoja au agenda za kusisimua na kubadili au kuchochea mabadiko ya kifikra, maoni na mitazamo tofauti ya wa dau dhidi ya mambo mballimbali kijamii, kisiasa na kiuchmi na hatimae kuogeza uelewa na ufahamu wa wadau juu ya mambo hayo na kuwaleta pamoja kifikra kama familia ya waTanzania kwa maslahi mapana ya amani, umoja na mshikamano miongoni mwa waTanzania wote.

ukongwe na majina havina maana yoyote ispokua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi ndio jambo la maana zaidi kuliko kufikiria kujitenga 🐒
Ingekua unapinga hivi hadi kwa wanawake wa wastaafu wasiwe wanalipwa mishahara na malupulupu kama wanaume zao wakitangulia mbele za haki ungekuwa umeikomboa TANGANYIKA tuitakayo.
 
Back
Top Bottom