Form 4 na wengine, angalieni hapa!

waheshmiwa awali ya yote niwashukuru sana tena sana kwa kushriki ktk kuchangia hoja hii ya kijana wangu cna neno lingne la kushukuru zaid ya asanten.niwatambuwe kwa kuwataja MAGANGAMSEMAKWELI Maoni na ushaur wako nauzingatia hasa hoja ya kubadili comb nk. nitakuwa mchoyo wa fadhira kama ctamtaja SIZINGA ambae kwa mie namuita MASTER ktk Kushauri maswala ya elimu hakika wote wenye shukrani wataungana nami ktk kutambua mchango wako.nawashukuru pia wote walionipigia cm kutoa maoni yao 6tawataja wote lakn ni pamoja na ndg.kaminyoghe ndg.steven na wengne weng MUNGU AWATANGULIE NA KUWAPA MAARIFA ZAIDI.AMEN
 
waheshmiwa awali ya yote niwashukuru sana tena sana kwa kushriki ktk kuchangia hoja hii ya kijana wangu cna neno lingne la kushukuru zaid ya asanten.niwatambuwe kwa kuwataja MAGANGAMSEMAKWELI Maoni na ushaur wako nauzingatia hasa hoja ya kubadili comb nk. nitakuwa mchoyo wa fadhira kama ctamtaja SIZINGA ambae kwa mie namuita MASTER ktk Kushauri maswala ya elimu hakika wote wenye shukrani wataungana nami ktk kutambua mchango wako.nawashukuru pia wote walionipigia cm kutoa maoni yao 6

kamanda tuko pamoja na asante kwa kuchambua mchango wa wanajamii
pamoja tunasongesha gurudumu ubarikiwe na dogo naye abarikiwe aje afanikishe malengo yake..
nawakilisha
 
waheshmiwa awali ya yote niwashukuru sana tena sana kwa kushriki ktk kuchangia hoja hii ya kijana wangu cna neno lingne la kushukuru zaid ya asanten.niwatambuwe kwa kuwataja MAGANGAMSEMAKWELI Maoni na ushaur wako nauzingatia hasa hoja ya kubadili comb nk. nitakuwa mchoyo wa fadhira kama ctamtaja SIZINGA ambae kwa mie namuita MASTER ktk Kushauri maswala ya elimu hakika wote wenye shukrani wataungana nami ktk kutambua mchango wako.nawashukuru pia wote walionipigia cm kutoa maoni yao 6

kamanda tuko pamoja na asante kwa kuchambua mchango wa wanajamii
pamoja tunasongesha gurudumu ubarikiwe na dogo naye abarikiwe aje afanikishe malengo yake..
nawakilisha
 
Please brother naomba uniorodheshee viambatanisho vya barua ya maombi ya kujiunga na chuo chochote..

Duh hii mkuu itakuwa ngumu sana, kufuata copy vyuoni, kuscan na kuviambatisha..is hard!! kwa ushauri tu, kama umeamua kujjiunga na chuo chochote, we nenda mahali husika au tembelea website husika na utapata form za kujiunga the download utafanikiwa.
 
Mkuu Sizinga narudi tena kwasababu kuna dogo wajirani kaniomba ushauri baada ya kusikia nikisema haya mlo andika humu.

Matokeo yake yako hivi:-
Civ D
Hist D
Geo D
Kisw F
Engl F
Phy F
Chem D
Bio D
Agri D
B/Math F
yaani Division IV ya 29.

Sasa Mkuu huyu anaweza kwenda Diploma wakati amefeli Hesabu na English? Na kama anaweza ni kwa course ipi katika chuo kipi?
Au kama hawezi kusomea diploma afanyeje mkuu?

Ujue huyu anaweza kujiunga na diploma, ingawa mara nyingi wanataka upate D maths na English, anyway qualification za kufanya diploma anazo. Ujue hiyo F ya English mara nyingi wadahili wanaona kwamba hataweza kujiunga kwa sababu kozi zote zinafundishwa kwa English, so kama kafeli english means itakuwa taabu kwake yeye kuelewa darasani(ingawa mara nyingi haipo hivyo).

Huyu anaweza kufanya tourism kama ulivyosuggest atafute vyuo husika afanye, ikishindikana aende Chuo Cha Utumishi wa Umma...kwa hapa vipo kwenye mikoa 3 tu nadhani, yaani Dar pale magogoni, Tabora na Mtwara..huko piga ua atapata tu coz kuna watu wanafanya certificate wana D 3 tu...so u can see the different..na kozi wanazotoa ni Recordiing, Secretary, Clearing and Fowarding, Public Adm na nadhani HR ingawa siko sure sana.
 
Huyo aende vyuo vya nursing wanamchukua bila tatizo lolote.

Akachukue ushauri kwanza akienda kuomba...coz nina wasi sana na hiyo F ya English...hesabu sio inshu sana, then ajiunge na diploma
 
waheshmiwa awali ya yote niwashukuru sana tena sana kwa kushriki ktk kuchangia hoja hii ya kijana wangu cna neno lingne la kushukuru zaid ya asanten.niwatambuwe kwa kuwataja MAGANGAMSEMAKWELI Maoni na ushaur wako nauzingatia hasa hoja ya kubadili comb nk. nitakuwa mchoyo wa fadhira kama ctamtaja SIZINGA ambae kwa mie namuita MASTER ktk Kushauri maswala ya elimu hakika wote wenye shukrani wataungana nami ktk kutambua mchango wako.nawashukuru pia wote walionipigia cm kutoa maoni yao 6tawataja wote lakn ni pamoja na ndg.kaminyoghe ndg.steven na wengne weng MUNGU AWATANGULIE NA KUWAPA MAARIFA ZAIDI.AMEN

Mkuu sina cha kuongeza, Ubarikiwe sana!!
 
Jamani wanakiangalia ni Combination Points ni sio Kubalansi kwa kombinesheni, mfano PcB Mwanaf akapata Physics-A, Chemistry-D na Biology-C Jumla ya points '8' na chamsingi asipate 'F' katika hiyo kombinesheni pia na Divisheni nayo yambeba mwanf. Asivuke daraja la 'III' Nadhani nimejaribu kuondoa utata!





Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

2i9m911.jpg

jidhjp.gif
 
Jamani wanakiangalia ni Combination Points ni sio Kubalansi kwa kombinesheni, mfano PcB Mwanaf akapata Physics-A, Chemistry-D na Biology-C Jumla ya points '8' na chamsingi asipate 'F' katika hiyo kombinesheni pia na Divisheni nayo yambeba mwanf. Asivuke daraja la 'III' Nadhani nimejaribu kuondoa utata!

Sidhani kama umeeleweka, mi binafsi sijakuelewa, kwani maneno haya yana tofauti gani ''Combination Points ni sio Kubalansi kwa kombinesheni'' ?? Kwani unaweza kubalance comb ukakosa points??

Halafu naona kama una haraka sana, relax then toa darasa!!
 
kama nina bio B na chem D naweza kusomea udaktari?

Udaktari???...definetely hapana..You can't....udaktari mpaka upitie form 6 kwanza na pass iwe ya juu and not otherwise!!! Hope nimekujibu
 
Wa kubwa naomba msaada mdogo wangu ana 4 ya 30 kapata kama hivi Hist=D, Geo=D, Bios=D, Eng=D, Civc=D, Kiswa na Base=F je anaweza kusoma biashara au nursing naombeni ushauli kwa hili
 
Wa kubwa naomba msaada mdogo wangu ana 4 ya 30 kapata kama hivi Hist=D, Geo=D, Bios=D, Eng=D, Civc=D, Kiswa na Base=F je anaweza kusoma biashara au nursing naombeni ushauli kwa hili

Ni kweli anaweza kusoma kwa ngazi ya certificate au diploma kwani tayari amepata D 5 so ajaribu kuomba nafasi ya vyuo ya biashara au hiyo nursing unayosemea!!

 
Hi oll..ninahitaji help yenu ihav completed my natnal examz on 2010 which iz last last year na tang that tym nimejaribu kuchukua nusry teachng for just part tym bt sikueweza cse nina temper mbya na siwez kuicntrl wen it cum to trblsm kidz lol! Well..tn matokeo yang yakatoka unfortunatly co mazuri nilichukua science na nilifanya ten subjcts five f na five d's acttally passn yangu ipo kwa scince bt family yang weng wananishauri niachanenayo cse of my reslts na niingie bussns admnstrtn foundatn course bt sijakubali leo nimekwenda DIT kuulizia bt reseptonist ameniambia kua wanaanza kuchukua wanafunzi on march 5 nikamtel kua reslt zangu sio nzry alinijibu kua hata ukiwa na D flat just uwe umechukua cmbntn ya scns studies nw ineed ur help pls wat do u thnk na nilivyo search kwa intrnt nimeona kua wanachukua bt wanatoa diplma crse for 12 weeks thn ukipass ndo wanakuchukua na mm nina f ya math help needed pls wat shuld i do
 
Hi oll..ninahitaji help yenu ihav completed my natnal examz on 2010 which iz last last year na tang that tym nimejaribu kuchukua nusry teachng for just part tym bt sikueweza cse nina temper mbya na siwez kuicntrl wen it cum to trblsm kidz lol! Well..tn matokeo yang yakatoka unfortunatly co mazuri nilichukua science na nilifanya ten subjcts five f na five d's acttally passn yangu ipo kwa scince bt family yang weng wananishauri niachanenayo cse of my reslts na niingie bussns admnstrtn foundatn course bt sijakubali leo nimekwenda DIT kuulizia bt reseptonist ameniambia kua wanaanza kuchukua wanafunzi on march 5 nikamtel kua reslt zangu sio nzry alinijibu kua hata ukiwa na D flat just uwe umechukua cmbntn ya scns studies nw ineed ur help pls wat do u thnk na nilivyo search kwa intrnt nimeona kua wanachukua bt wanatoa diplma crse for 12 weeks thn ukipass ndo wanakuchukua na mm nina f ya math help needed pls wat shuld i do

Dah...pole kwa matatizo...nimepata tabu kidogo kuyaelewa malezo yako...umefanya shortcut nyingi mno..anyway kwa nilivyokuelewa, kajaribu kuwaelewesha hao watu wa DIT(sio tena receptionists) then waeleze hiyo F yako ya hesabu, hope utapata jibu, lakini mi nadhani kwa DIT lazima Maths uwe na D, na hizo 12weeks ni kwamba mitihani yao utafundishwa then utaifanya hiyo pepa ambayo ukifaulu ndio utaaanza mafunzo ya diploma 3 yrs


Be in mind, DIT sio mahala pa mchezo...kupata supply(kufeli) ni kawaida sana coz maswali yao huwa ni magumu sana, unaweza kuangalia option ya vyuo vingine pia
 

Dah...pole kwa matatizo...nimepata tabu kidogo kuyaelewa malezo yako...umefanya shortcut nyingi mno..anyway kwa nilivyokuelewa, kajaribu kuwaelewesha hao watu wa DIT(sio tena receptionists) then waeleze hiyo F yako ya hesabu, hope utapata jibu, lakini mi nadhani kwa DIT lazima Maths uwe na D, na hizo 12weeks ni kwamba mitihani yao utafundishwa then utaifanya hiyo pepa ambayo ukifaulu ndio utaaanza mafunzo ya diploma 3 yrs


Be in mind, DIT sio mahala pa mchezo...kupata supply(kufeli) ni kawaida sana coz maswali yao huwa ni magumu sana, unaweza kuangalia option ya vyuo vingine pia

sorry kwa kukusumbua bt its just that yule resepyionist hakunambia cha ziada just tht niende on 5march nikachukue fom...soo unasuggest nn niende tena kabla ya date walioniamia thn nimuulize abt my failr in math na kama wanaweza kunifanyia consptn ya kuniingiza which iam not a hundrd prcnt sure!...
 
Back
Top Bottom