Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
- Thread starter
- #81
Maganga Mkweli;3310200]huyu yuko vizuri anaweza akosoma diploma za aina nyingi sana
za biashara zote anaweza akapiga yaani (accounting,bba, marketing logistics ,procurement)
tourism ,hotel management, IT, HIV COUNSELLING, TEACHING(EDUCATION) , MAMBO YA CLINICAL OFFICERS NA NURSING KAMA AMEFANYA POA KWENYE BILOLOGY NA CHEMISTRY...
take 5 jembee,sasa kuna watu wanasema kwamba diploma huwezi kwenda mpaka uwe umepitia A level au certificate kwa vyuo vyote vya biashara nijulishe rafiki ni kweli?
Ni kweli, Kwa diploma ni lazima uwe umefanya cert au adv bt ukifanya coz wanaofanya vizuri form 4 wote wanapenda kwenda f5 thats the problem, lakini kwa pass za kawaida ambazo unahitaji kureseat(say C 2 na D 3)..the huyu mtu anaweza kufanya Diploma yoyote ile anayoipenda, so ni uzushi kwamba huwezi fanya diploma directly from f4, otherwise mnage cert 1 year then unaliendeleza kwa diploma