Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Maganga Mkweli;3310200]huyu yuko vizuri anaweza akosoma diploma za aina nyingi sana
za biashara zote anaweza akapiga yaani (accounting,bba, marketing logistics ,procurement)
tourism ,hotel management, IT, HIV COUNSELLING, TEACHING(EDUCATION) , MAMBO YA CLINICAL OFFICERS NA NURSING KAMA AMEFANYA POA KWENYE BILOLOGY NA CHEMISTRY...



take 5 jembee,sasa kuna watu wanasema kwamba diploma huwezi kwenda mpaka uwe umepitia A level au certificate kwa vyuo vyote vya biashara nijulishe rafiki ni kweli?

Ni kweli, Kwa diploma ni lazima uwe umefanya cert au adv bt ukifanya coz wanaofanya vizuri form 4 wote wanapenda kwenda f5 thats the problem, lakini kwa pass za kawaida ambazo unahitaji kureseat(say C 2 na D 3)..the huyu mtu anaweza kufanya Diploma yoyote ile anayoipenda, so ni uzushi kwamba huwezi fanya diploma directly from f4, otherwise mnage cert 1 year then unaliendeleza kwa diploma
 
Vilevile kuna Chuo kingine cha kilimo Kanda ya Kusini. Chuo cha Utafiti wa Kilimo cha Naliendele S.L.P. 509, Mtwara
 
Kwa kweli nimefarijika sana kuona kwamba wapo baadhi ya Watanzania wenye mioyo ya uzalendo na huruma ya kusaidia wengine.

Mkuu Sizinga nina mdogo wangu wa kike ambaye amepata div IV ya 26
Civics D
Hist D
Geo D
Kisw C
Engl D
Lit Eng C
Phy D
Chem D
Bio D
B/Math D

Na ndoto zake zilikuwa kusomea udaktari. Tangu amepata matokeo kila siku anajifungia ndani na kulia kwani alitazamia kupata div I, kwa sababu zonal exams alipata div II ya 19.


Je mkuu anaweza akasoma diploma ipi ili akiqualify akasomee huo Udaktari au ni lazima areset?

Tafadhali sana naombeni msaada wenu ili nimtie moyo mdogo wangu asije akanywa sumu.
CHONDE WAKUU!
 
Kwa kweli nimefarijika sana kuona kwamba wapo baadhi ya Watanzania wenye mioyo ya uzalendo na huruma ya kusaidia wengine.

Mkuu Sizinga nina mdogo wangu wa kike ambaye amepata div IV ya 26
Civics D
Hist D
Geo D
Kisw C
Engl D
Lit Eng C
Phy D
Chem D
Bio D
B/Math D

Na ndoto zake zilikuwa kusomea udaktari. Tangu amepata matokeo kila siku anajifungia ndani na kulia kwani alitazamia kupata div I, kwa sababu zonal exams alipata div II ya 19.


Je mkuu anaweza akasoma diploma ipi ili akiqualify akasomee huo Udaktari au ni lazima areset?

Tafadhali sana naombeni msaada wenu ili nimtie moyo mdogo wangu asije akanywa sumu.
CHONDE WAKUU!

Ok,sorry for ya sista, ni kweli mtu ukitegemea matokeo flani yakaja mengine huwa inakatisha tamaa sana, mi mwenyewe mdogo angu wa kike kapata same like that.

Ok kama alikuwa na plani ya kusomea udaktari we mtie moyo tu ingawa kwa kweli ningumu na itahitaji njia ndefu kidogo, Ujue msingi wa udaktari ni masomo ya Biology na Chemistry, sasa yeye ana D kwa hayo masomo, udaktari una competition sana.

Sasa mpe moyo kwa kumpa hizi option, ajitahidi kuchukua form za Nursing au College za Clinical Officers huko ajitahidi sana na akifanya vizuri kwa ngazi ya diploma then atakuwa kwenye good position ya kufanya MD/udaktari. Clinical officers kwa nchi yetu ni sawa na daktari coz anafanya kazi kwenye vituo vya afya ambavyo vinatoa huduma masaa 24, anagawa dawa kwa wagonjwa, anachoma sindano, anatoa ushauri na mambo mengine mengi.

Simshauri arudie pepa(reseat) kwani kufaulu Bios na Chem kwa Private Candidate ni ngumu sana. So hope nimeeleweka.
 

Ok,sorry for ya sista, ni kweli mtu ukitegemea matokeo flani yakaja mengine huwa inakatisha tamaa sana, mi mwenyewe mdogo angu wa kike kapata same like that.

Ok kama alikuwa na plani ya kusomea udaktari we mtie moyo tu ingawa kwa kweli ningumu na itahitaji njia ndefu kidogo, Ujue msingi wa udaktari ni masomo ya Biology na Chemistry, sasa yeye ana D kwa hayo masomo, udaktari una competition sana.

Sasa mpe moyo kwa kumpa hizi option, ajitahidi kuchukua form za Nursing au College za Clinical Officers huko ajitahidi sana na akifanya vizuri kwa ngazi ya diploma then atakuwa kwenye good position ya kufanya MD/udaktari. Clinical officers kwa nchi yetu ni sawa na daktari coz anafanya kazi kwenye vituo vya afya ambavyo vinatoa huduma masaa 24, anagawa dawa kwa wagonjwa, anachoma sindano, anatoa ushauri na mambo mengine mengi.

Simshauri arudie pepa(reseat) kwani kufaulu Bios na Chem kwa Private Candidate ni ngumu sana. So hope nimeeleweka.

Asante sana mkuu kwa ushauri wako, sasa naanza kuona mwanga wa namna ya kumsaidia.
May Jah prosper you!
 
Kwa upande wa pili kuna mtoto wa baba yangu mdogo, yeye alikuwa private candidate na ktk masomo yake alipata Div III ya 19;
Civ - C
Hist - A
Geo - B
Kisw - D
Engl - B
Lit Eng - B
B/Math - F

Je! Mkuu huyu dogo anaweza kusoma HGE? Maana anapenda sana kusoma Economics. Kama hawezi, Je, kuna uwezekano wa yeye kusoma Comb nyingine halafu akifika university asome hiyo economics au una mshauri asome comb gani?
 
Kwa upande wa pili kuna mtoto wa baba yangu mdogo, yeye alikuwa private candidate na ktk masomo yake alipata Div III ya 19;
Civ - C
Hist - A
Geo - B
Kisw - D
Engl - B
Lit Eng - B
B/Math - F

Je! Mkuu huyu dogo anaweza kusoma HGE? Maana anapenda sana kusoma Economics. Kama hawezi, Je, kuna uwezekano wa yeye kusoma Comb nyingine halafu akifika university asome hiyo economics au una mshauri asome comb gani?

Hahaaaaa, safi sana!! Kapasua sana huyu dogo...kama kajaza HGE as first choice, mbaie ale bata tu atapelekwa shule nzuri sana by government, kwa ufupi huyo kafaulu sana Hist na Geography, so ondoa wasi asianze complication zozote, atasoma tu economics ingawa inahitaji hesabu kiaina, kwani wewe wasiwasi wako upo wapi hasa?
 
Hahaaaaa, safi sana!! Kapasua sana huyu dogo...kama kajaza HGE as first choice, mbaie ale bata tu atapelekwa shule nzuri sana by government, kwa ufupi huyo kafaulu sana Hist na Geography, so ondoa wasi asianze complication zozote, atasoma tu economics ingawa inahitaji hesabu kiaina, kwani wewe wasiwasi wako upo wapi hasa?

Ooh sorry kumbe ni Private candidate..mwache akasome HGE, akakutane na Economics huko mbele.
 
Hahaaaaa, safi sana!! Kapasua sana huyu dogo...kama kajaza HGE as first choice, mbaie ale bata tu atapelekwa shule nzuri sana by government, kwa ufupi huyo kafaulu sana Hist na Geography, so ondoa wasi asianze complication zozote, atasoma tu economics ingawa inahitaji hesabu kiaina, kwani wewe wasiwasi wako upo wapi hasa?


Taarifa ambazo tumekuwa tukizipata huku mtaani wanasema ni lazima awe na D ya hesabu ili aweze kufanya mtihani wa kidato cha VI sasa sijui kama ni kweli?
 
Taarifa ambazo tumekuwa tukizipata huku mtaani wanasema ni lazima awe na D ya hesabu ili aweze kufanya mtihani wa kidato cha VI sasa sijui kama ni kweli?
hapana kitu kama hicho ndugu yangu nijuavyo mimi sifa kubwa ya kwenda a-level yaani form six nikuwa na C TATU (3) kwenye matokeo yako ya kidato cha nne kwenye yale masomo saba ya lazima au kwenye yale ya mchepuo kama (physics ,chemistry (michepuo ya sayansi)commerce na bookingg(mchepuo wa biashara) au agriculture kwenye shule za michepuo ya kilimo) credit sizisokuwa na nguvu ni za masomo ya dini kama (bible knowledge na islamic knowledge)
mtu anaye soma combination kama HGE hesabu haikimbii A-LEVEL kwani anakutana na kitu inaitwa BAM yaani basic applied mathematics na ili aweze kupata course nzuri za biashara(bcom,baf,bba nk) kwenye vyuo vikuu lazima awe amefaulu hili somo au awe na D ya mathematics ya O-LEVEL(FORM 4)
UZURI WA KUFAULU HESABU(MATHS) FORM 4 utakusaidia wakati wakuchagua course nyingi wakati wakuomba vyuo maana nyingi zinataka walau uwe na D ya mathematics o-level kama mojawapo ya sifa za kupata hiyo course naamini nimejaribu kukuelewesha
angalizo:na kama unataka kupata selection ya serikali itagemea na uchaguzi wako wa combination na shule alizoomba kwa combi husika maana kuna CUT-OFF POINT kwenye kila shule kutegemea na mahitaji shule, uwezo shule husika ufaulu wa mwanafunzi kiwango cha ujumla cha ufaulu kwa mwaka husika cha nchi ..
nawasilisha
 
Brother mie kuna jembe langu lina PCB but imesimama ki_hivi DDC vip kuhusu huyu ana four ya 27 na result lake ni_civ D, chem D, geo D, eng F , kisw D, math F,phy D, hist D and bios C..,nifahamishe kuhusu hapo..
 
nina ushauri hasa kwa wazazi na walezi wadogo zetu hawa waliomaliza kidato cha nne na ambao wamejitahidi kupata alama za kwenda kidato cha tano
endapo mwanao au nduguyo amefaulu shule ya serikali tizama ni mchepuo gani anaenda kusoma na shule gani kapata usikurupuke kumuhamisha bila kufanya japo katafiti kadogo kwa shule nyingi za serikali ni hali si hali yaani zote ni panzi na nzige hazichekani sana kutokana na uhaba wa vitendea kazi na walimu ukiacha shule chache sana ambazo huwa zinafanya vizuri kwa hiyo walimu huwa wanapata motisha ya kufanya kazi na si nyingi kihivyo.. sasa basi suala tuition kwa mwanafunzi kabla hajaenda form five kwa haka kwa mwezi ni lazima kubali au kataa kama una uwezo mpeleke tu ,ununuzi wa vitabu ni lazima kubali kataa ,pocket money yake kwa ajili ya tution atakapo kuwa shule ni lazima maana atakutana uhaba walimu kwa hiyo lazima atafute njia mbadala ambayo ni tution
jambo jingine chagua shule ambayo unaweza kuwasiliana naye kirahisi au anaweza kupata resourse kwa ajili ya kusoma kirahisi(vitin na vitabu)hapa kama unataka kumuahamisha
elimu ya A-LEVEL ni kipindi kifupi na syllabus yake ni kubwa sana kwa hiyo ajitahidi sana kusoma na kumaliza syllabus mapema iwezekano
usomaji wa vitabu kuongeza maarifa sio kung'ang'ania past pepa tu na vitin
wale ambao mnechaguliwa shule za michepuo ya sayansi za A-LEVEL(pcm,pcb,cbg,cbn,cb,pgm) huku kunachangamoto nyingi sana kunahitaji kujituma kwa hali ya juu na kuwa na moyo binafsi maana huku ndio kwenye matatizo sana hasa ya walimu na vifaa vya practicals
 
Brother mie kuna jembe langu lina PCB but imesimama ki_hivi DDC vip kuhusu huyu ana four ya 27 na result lake ni_civ D, chem D, geo D, eng F , kisw D, math F,phy D, hist D and bios C..,nifahamishe kuhusu hapo..
kiukweli huyu kama anataka kusoma A-LEVEL haiwezekani kwani ana credit moja tu yaani BIOLOGY =C na ili uwe na sifa za kusoma A-LEVEL ni lazima uwe na C TATU(3) ..LAZIMA areseat huyu hana ujanja ndio aende form five .. ila sasa kama wadau wengi walivyoshauri na maudhui ya thread hii ya ni kusaidia wale ambao hakufanya vizuri kwenye matokeo yao kuna njia mbadala ambazo zimetolewa na wadau hapo juu
sasa cha msingi tunge jua yeye anataka kureseat au kuchangua hizi njia mbadala (za kupitia chuo ) halafu tunaweza kuongezea nini cha kufanya
 
hapana kitu kama hicho ndugu yangu nijuavyo mimi sifa kubwa ya kwenda a-level yaani form six nikuwa na C TATU (3) kwenye matokeo yako ya kidato cha nne kwenye yale masomo saba ya lazima au kwenye yale ya mchepuo kama (physics ,chemistry (michepuo ya sayansi)commerce na bookingg(mchepuo wa biashara) au agriculture kwenye shule za michepuo ya kilimo) credit sizisokuwa na nguvu ni za masomo ya dini kama (bible knowledge na islamic knowledge)
mtu anaye soma combination kama HGE hesabu haikimbii A-LEVEL kwani anakutana na kitu inaitwa BAM yaani basic applied mathematics na ili aweze kupata course nzuri za biashara(bcom,baf,bba nk) kwenye vyuo vikuu lazima awe amefaulu hili somo au awe na D ya mathematics ya O-LEVEL(FORM 4)
UZURI WA KUFAULU HESABU(MATHS) FORM 4 utakusaidia wakati wakuchagua course nyingi wakati wakuomba vyuo maana nyingi zinataka walau uwe na D ya mathematics o-level kama mojawapo ya sifa za kupata hiyo course naamini nimejaribu kukuelewesha
angalizo:na kama unataka kupata selection ya serikali itagemea na uchaguzi wako wa combination na shule alizoomba kwa combi husika maana kuna CUT-OFF POINT kwenye kila shule kutegemea na mahitaji shule, uwezo shule husika ufaulu wa mwanafunzi kiwango cha ujumla cha ufaulu kwa mwaka husika cha nchi ..
nawasilisha


Hivyo kwa ushauri wako mkuu ni bora dogo arudie hesabu ili aondoe hiyo F ili aweze kupata option nyingi university!
 
Hivyo kwa ushauri wako mkuu ni bora dogo arudie hesabu ili aondoe hiyo F ili aweze kupata option nyingi university!
Kwa upande wa pili kuna mtoto wa baba yangu mdogo, yeye alikuwa private candidate na ktk masomo yake alipata Div III ya 19;
Civ - C
Hist - A
Geo - B
Kisw - D
Engl - B
Lit Eng - B
B/Math - F

Je! Mkuu huyu dogo anaweza kusoma HGE? Maana anapenda sana kusoma Economics. Kama hawezi, Je, kuna uwezekano wa yeye kusoma Comb nyingine halafu akifika university asome hiyo economics au una mshauri asome comb gani?

SIYO LAZIMA SANA MAANA KAMA ATAENDA HGE LAZIMA ATASOMA BAM(BASIC APPLID MATHEMATICS) AMBAYO NAYO NI MSAADA MKUBWA ILA KAMA ANAENDA KUSOMA HGL,HKL ,HGK,KLF NA MICHEPUO MINGINE YA ARTS ISIYO HITAJI MATHS ASOME TU A-LEVEL NA CHUO ATAPATA TU AKIFAULU BILA SHIDA KWENYE COURSE AMBAZO HAZIITAJI MTU UWE UMEFANYA VIZURI HESABU KAMA MUDA UPO WA YEYE KURUDIA NI VYEMA... ILA KWA VINGINEVYO VIGEZO VYA KUSOMA FORM ANAVYO BILA SHIDA KABISAAAAAAAA NA ONDOA SHAKA
KWA HGE HIYO BAM(BASIC APPLIED MATHS ) INA MSAADA SANA MBELE
 
jamaa anasema nia yake toka akiwa form one ni kujiunga na vyuo vya elim mbalimbali..
vyuo vya elimu kwa maana kuwa mwalimu au vyuo vya elimu vya juu ?
kama anataka kuwa mwalimu ana qualify kusoma grade a BILA SHIDA YEYOTE
kama anatakusoma vyuo vingine anaweza pia akapata jaribu kupitia toka mwanzo hii thread utaona kuna option nyingi za vyuo vya kati mtu anaweza kujiunga kutegemea na sifa alizonazo
 

Ok,sorry for ya sista, ni kweli mtu ukitegemea matokeo flani yakaja mengine huwa inakatisha tamaa sana, mi mwenyewe mdogo angu wa kike kapata same like that.

Ok kama alikuwa na plani ya kusomea udaktari we mtie moyo tu ingawa kwa kweli ningumu na itahitaji njia ndefu kidogo, Ujue msingi wa udaktari ni masomo ya Biology na Chemistry, sasa yeye ana D kwa hayo masomo, udaktari una competition sana.

Sasa mpe moyo kwa kumpa hizi option, ajitahidi kuchukua form za Nursing au College za Clinical Officers huko ajitahidi sana na akifanya vizuri kwa ngazi ya diploma then atakuwa kwenye good position ya kufanya MD/udaktari. Clinical officers kwa nchi yetu ni sawa na daktari coz anafanya kazi kwenye vituo vya afya ambavyo vinatoa huduma masaa 24, anagawa dawa kwa wagonjwa, anachoma sindano, anatoa ushauri na mambo mengine mengi.

Simshauri arudie pepa(reseat) kwani kufaulu Bios na Chem kwa Private Candidate ni ngumu sana. So hope nimeeleweka.


Mkuu naomba uniorodheshee baadhi ya vyu vinavyo toa Diploma ya Clinical officers vilivyopo ktk mikoa ya Arusha na Kilimanjaro pamoja na addresses za vyuo hivyo.
TAFADHALI NAOMBA MNISAIDIE!
 
Back
Top Bottom