Kutwa mlikuwa mnashinda mitandaoni kufanya umbea na ujinga sasa angalia matokeo yalivoyakijinga kabisa,then unakuja jamii forum kuulizia ujinga wako badala ya kutafuta vyuo ukaulizia vilaza wenzio wanakosoma.Jaman na mimi naombeni ushauri
Nimehitimu kidato cha nne na kupata
Civics D
Biology C
Chemistry F
Bath F
Geography D
Kiswahili D
English D
History D