Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Jaman na mimi naombeni ushauri
Nimehitimu kidato cha nne na kupata
Civics D
Biology C
Chemistry F
Bath F
Geography D
Kiswahili D
English D
History D
Kutwa mlikuwa mnashinda mitandaoni kufanya umbea na ujinga sasa angalia matokeo yalivoyakijinga kabisa,then unakuja jamii forum kuulizia ujinga wako badala ya kutafuta vyuo ukaulizia vilaza wenzio wanakosoma.
 
Kutwa mlikuwa mnashinda mitandaoni kufanya umbea na ujinga sasa angalia matokeo yalivoyakijinga kabisa,then unakuja jamii forum kuulizia ujinga wako badala ya kutafuta vyuo ukaulizia vilaza wenzio wanakosoma.
Duh taratibu mkuu wape moyo
 
Shukurani nyingi kwako Sinziga,
Comment kama hizi ndiyo zinazoonesha umuhimu wa wa uwepo wa Jamii forums na wanachama wake, wanaotoa ushauri wenye faida kubwa kwa jamii husika. Mungu azidi kukubariki zaidi na zaidi.
Asante sana bravetai mambo yamekuwa mengi tu bt nikipata nafasi narudi, wengi sana nimewajibu inbox
 
Jaman na mimi naombeni ushauri
Nimehitimu kidato cha nne na kupata
Civics D
Biology C
Chemistry F
Bath F
Geography D
Kiswahili D
English D
History D

Et jaman nifanyeje ili na mm nipate japo kidogo
Dah kwa sasa mambo mengi yamebadilika hope utapata jibu zuri hapa, otherwise nenda kwenye fani za arts
 
Hahaaa wengi huwa wanaseek info kutoka google,wakiona kitu from JF wanapendezwa Nazi then wanaamua kujiunga,but here wengi ni students wanaoomba taarifa za elimu
Majina ninayoyaona huku sijawahu kuyaona hapa jf
 
Hahaaa wengi huwa wanaseek info kutoka google,wakiona kitu from JF wanapendezwa Nazi then wanaamua kujiunga,but here wengi ni students wanaoomba taarifa za elimu
Majina ninayoyaona huku sijawahu kuyaona hapa jf
 
f5f93ef83c2325b23bcc080ee79e0b1a.jpg
 
Ndugu sinzaga kuna mdogo wangu ana div3.25 Yan
History C
Geography C
Kiswahili C
English D
Civics D
Biology C
Maths F
Anaweza chaguliwa shule za government [HASHTAG]#msaada[/HASHTAG] plz
 
Ndugu sinzaga kuna mdogo wangu ana div3.25 Yan
History C
Geography C
Kiswahili C
English D
Civics D
Biology C
Maths F
Anaweza chaguliwa shule za government [HASHTAG]#msaada[/HASHTAG] plz
 
Huyu CCP na TTC Wanamuitaji sana, lakini kutokana na kazi za upolisi au ualimu zisivyoridhisha kimazingira inabidi ujifunge mkanda ktk kumsomesha tena kwa kuanzia certificate ndio mwake kwa maana bado anadaiwa cr moja hivyo kurisiti ni mzunguko mkubwa. Elimu ya chuo ni rahisi kuliko A Level Maana shule ya A level ni noma sana.
Hapa mkuu siyo..labda kwa ccp tu ualimu now mwisho ni divisio 3 ya 25 ndugu division 4 ualimu haendi mtu kwa sasa tangu mwaka juzi
 
Back
Top Bottom