Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Matokeo hayo siyo mabaya,NACTE wameshafungua udahili kujiunga na vyuo mbalimbali kwa muhula wa masomo 2017/18,jaribu kuomba.Kama hujui namna ya kufanya wasiliana nami kwa :mamboleongoroto@yahoo.com nitakuelekeza namna ya kuomba
Mkuu mi matokeo yangu ni haya nishauri niende wap
Civ-D
Hist-D
Geog-D
Biol-D
Eng-D
Kisw-D
B/math-F
Chemistr-F
 
Jamani naombeni msaada nina ndugu yangu amepata 4 ya 26 nishaurini afanyaje
Eng C
Bio C
Phy D
Chem D
GeoD
Kisw D
Hist D
civic D
Math F
Halafu yeye angependa anende kusomea accounts
 
Mkuu me Nina matokeo kama ifuatavyo
English-B
Math-C
Bios-C
Geo-C
Kiswahl-C
Chem-D
Histry-D
Civ-D
Phyz-F
Je mkuu apo naweza nikaenda gvment kwa comb ya EGM au CBG
 
NAOMBENI USHAURI. KIJANA WANGU ANA DIV. TWO PTS 20 MASOMO YAKE YA SAYANSI ANA CHEMISTRY "C". BIOL. "C" PHYSICS "D" PIA ANA MATHS "C" JE ANAWEZA KUJIUNGA MAFUNZO CLINICAL OFFICER KWENYE VYUO VYA AFYA?
 
mkuu sizinga embu tolea ufafanuzi D-5 unaendaje diploma maana hii ni zaidi ya mwendokasi....
 
NAOMBENI USHAURI. KIJANA WANGU ANA DIV. TWO PTS 20 MASOMO YAKE YA SAYANSI ANA CHEMISTRY "C". BIOL. "C" PHYSICS "D" PIA ANA MATHS "C" JE ANAWEZA KUJIUNGA MAFUNZO CLINICAL OFFICER KWENYE VYUO VYA AFYA?
Kwanini asipite form five na six akasomee udaktari kabisa? Apo naona unachezea shilingi kwenye tundu la choo. He's too good to be clinical officer kibongo bongo.
 
Nina dogo kapiga IV ya 28 lakini PCB ana D flat ushauri Nursing akasomee nini?
 
Kwanini asipite form five na six akasomee udaktari kabisa? Apo naona unachezea shilingi kwenye tundu la choo. He's too good to be clinical officer kibongo bongo.
Sio tu aende Chuo, asipokaza Form 6 na hiyo II yake atajikuta anataga.
 
mkuu huyu root yake kama kamanda sizinga alivyotoa muongozo ni kupitia basic certificate( business studies yaani accounting,procurement supplies market au bba) kama yupo dar cbe au ifm .arusha iaa halfu akifaulu anaunganisha diploma ya kozi hiyo ..au la kama unaona anaweza kupambana arudie tena (reseat) ila hii option inahitaji mtoto mwenye moyo na ambaye anamegundua makosa either ni shule aliyosoma kwa maana ya (uhaba wa walimu na vitendea kazi , umbali ) au uwezo wake ni mdogo au alikuwa mzembe ndio vilipeleka kufeli kwake .kama amejitambua anaweza kureseat vinginevyo apitie hiyo root niliyokwambia mwanzo nadhani nimejaribu kutoa mchango wangu
Umemshauri vizuri kabisa. Mi nilikuwa bingwa wa kukalili miziki ukitoka tu wote nimemeza uwe HIP HOP au Bongo Flavor nikafeli ila niliporisiti nikajitambua maana zilikuwa zinagonga ila GB kubwa inahifadh miziki. Nikaformat mizik nikaingiza nondo, nilisoma haswa si utan nkachomoa Credit 2 mwaka 2011.
 
Kwanini asipite form five na six akasomee udaktari kabisa? Apo naona unachezea shilingi kwenye tundu la choo. He's too good to be clinical officer kibongo bongo.
AHSANTE KWA USHAURI. NILITILIA MASHAKA HIYO D YA PHYSICS KUWA LABDA PCB INAWEZA ZINGUA!!
 
Sio tu aende Chuo, asipokaza Form 6 na hiyo II yake atajikuta anataga.
Yeye mwenyewe anadai anapenda C.B.G kwa kuwa physics ana mashaka nayo.Sasa nachanganyikiwa kuwa aende C.O au nifanyeje.
 



juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif
[/QUOTE]theres a lady here amepata d ya bios na civics with C ya eng wat is she supposed to study coz atak kurisit course gan anafaa apo nd anapenda IT na enterprinuer or business na account with ustai wa jamii wat do u advise her todo

Nursing-zipo college nyingi wanatoa hii kozi, wale manesi wa mahospitalini na wahudumu, na mara nyingi hizi college zinakuwa ndani ya hospitali, nadhani mikoa mingi yenye hospitali kubwa kubwa wanatoa nursing...mfano Pale Hospitali ya Ndanda mission ipo, Nkomaindo Masasi ipo, Newala-Mtwara ipo na mikoa mingine.

MATC-Ni Medical Assistant Training College hizi zipo nyingi ingawa kwa sasa ndizo zimebalisha na kuwa COTC na mara nyingi wanachukua wanafunzi waliotoka form 6 moja kwa moja. Kwa mfano pale Kibaha(Tumbi hospital, Mtwara hospital nk)

COTC- Hii ni Clinical Officers Training College ambapo watu wa form naao wanajiunga na huwa mara nyingi ukimaliza diploma yako(3yrs kama sio 4yrs) unakuwa na direct employment frm government au sehemu nyingine.(Tumbi hospital, Mtwara hospital nk)

[/QUOTE]

jidhjp.gif
[/QUOTE]
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif
Chuo cha utumishi wa umma kipo wapi mkuu?
 
Back
Top Bottom