Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Form 4 na wengine, angalieni hapa!

Ndugu sinzaga kuna mdogo wangu ana div3.25 Yan
History C
Geography C
Kiswahili C
English D
Civics D
Biology C
Maths F
Anaweza chaguliwa shule za government [HASHTAG]#msaada[/HASHTAG] plz
Mkuu anapata bila shaka tena chaguo la kwanza tu, HGK au HKL
 
c12f9acea7ec94a007c854d9fa659616.jpg
 
Jaman nisaidien nina CBD kwenye chem, bios, na phy je naweza kusomea PCB
Math nina C eng nina B Nilipta 2 ya 18
 
Mkuu sasa mdogo wangu ana D masomo yote kasolo esabu ana C na uraia na historia ana F na anataka kusomea civil engineering pale DIT muongozo inakuaje
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif
Jaman naombeni msaada wenu jaman,nimemaliza form 4 2019,na ninaufaulu wa D kwenye masomo yote ya sayansi isipokua Bios ambayo Nina C,kwa upande was masomo ya art Nina ,C zote isipokua geographic ambayo Nina D,sasa sijachaguliwa kwend five Bali nimechaguliwa kwenda chuo cha utumishi namimi sikupenda,sasa nifanyej maana malengo yangu yalikua ni kwend afya
Naombeni ushauri
 
Jaman mm sitak kwenda vyuo vya utumishi kama nilivyo chaguliw,nia yangu ni kwenda afya sasa nifanyeje
 
Haya matokeo ndiyo hayo yametoka!! Kila kitu hadharani, sasa ukiwa hapa JF ndo mpango nzima!! Manake watu washaanza kuhoji, mi nina hiki au kile nitafanyaje, haya ngoja nitajaribu kuweka mwongozo na alternatively nyingine due to spme perfomances kwa wote, manake naona huku kitaa watu wanadanganyana sana!!

Hii ni kwa kadri ninavyofahamu mimi, kama kuna marekebisho basi yafuatie:

=> Credit Qualification kwa hali ya kawaaida ni 'C'-Na ili uende Form 5 unahitaji uwe na C 3, hapa ni either umebalance Combination(Comb) au hujabalance. Sasa kama una C 3 na comb hujabalance, hautachaguliwa serikalini bali shule binafsi utaenda kusoma mchepuo utakaofanana na masomo yako.
[ Mfano: Civ-C, Kisw-C, Geo-C...unaweza fanya HGK ama HGL ama kozi nyingine hata kama english na History una D].

=>Ukiwa na C 2 na D kadhaa(lets say 4 ya 26), hapa utaweza kwenda Form 5 shule za Private lakini utatakiwa utafute C ya 3 kw kureset wakati upo form 5. Same na C 1 You need to re-sit.

=> Hapa sasa ndipo kwenye utata. Ukiwa na D 3, kiukweli sahau Form 5 kama hauhitaji kurisit, sasa qualification hizi zina option zifuatazo:
1. Unahitaji kupiga long pass kwa kwenda Chuo kwa ngazi ya Certificates. Duraation ya hii kozi ni 1 year Certificate. Sasa hapa kuna vyuo kadhaa vinavyotoa certificates. Hapa ni D za masomo yoyote yale Basic(sina uhakika kama B/Knwoledge na Islam zinazingatiwa na ndio maana nasema D za Basic Subjects)
Mfano: Unaweza kufanya Certicates vyuo vya CBE-Mambo ya Biashara, IFM, TIA, Utumishi wa Umma(Public Service) Vyuo vya Kilimo na Ualimunk.
Nakozi nyingi tu wanatoa kwa certificates..mfano Procurement, Accounts, Public Admistration, Recording, Clearing and Forwarding, Social Development, Secretarial Duties, Education nk.

=> Ukiwa na D 4 upo qualified kufanya ngazi ya certificate kama nilivyoanisha hapo juu.

=> Ukiwa na D 5 sasa hapa wewe umeula!! Hapa unaruhusiwa kabisa kufanya Basic Diploma katika vyuo vyote wanavyotoa Duploma. Kwa mfano vyuo hivyo nilivyovitaja hapa JUU, chukua form yako kwa maringo achana na biashara ya kurisit omba kozi ya diploma, Teana kama una D ya hesabu na English ndo inakuwa rahisi zaidi kuchukuliwa.

=> Kwa wale waliosoma mahesabu kuna vyuo vingine kama DIT(Daar Institute), AIT(Arusha Inst) na Mbeya Tech Msishau kufanya maombi, na kwale waliopiga fresh Biology with minimum of D angalieni option za Nursing ni nzuri sana na katika vyuo vya MATC na COTC.

Kama kuna marekebisho yanakaribishwa na kama hoja ama daubt basi uwanja ndio huu. Most welcome!!

UPDATE:


2i9m911.jpg

jidhjp.gif
Mkuu vp, samahani lakini, matokeo yangu ni kama hivi; Chem-C, Bios-C, Geog-C, Civics-C, Maths-D, Eng-D ila physics sikusoma naeza soma kozi gani ya afya yenye market kwa Sasa na chuo gani Bora, shukrani
 
Jaman naombeni msaada wenu jaman,nimemaliza form 4 2019,na ninaufaulu wa D kwenye masomo yote ya sayansi isipokua Bios ambayo Nina C,kwa upande was masomo ya art Nina ,C zote isipokua geographic ambayo Nina D,sasa sijachaguliwa kwend five Bali nimechaguliwa kwenda chuo cha utumishi namimi sikupenda,sasa nifanyej maana malengo yangu yalikua ni kwend afya
Naombeni ushauri
Mkuu Anza kusomea ngaz ya certificate then diploma baada ta hapo upate GPA ya 3.5 ukasome degree.kuna kozi ya famasia na utabibu zinahtaji.mtu mwenye ufaulu wa alama D kwenda juu ktk masomo ya science pia na kigezo nyongez ni maths au English
 
Mkuu vp, samahani lakini, matokeo yangu ni kama hivi; Chem-C, Bios-C, Geog-C, Civics-C, Maths-D, Eng-D ila physics sikusoma naeza soma kozi gani ya afya yenye market kwa Sasa na chuo gani Bora, shukrani
Famasia unaweza kusomea chuo moja wapo kizur ni apple valley kipo kigamboni.
 
Hivi
Mkuu Anza kusomea ngaz ya certificate then diploma baada ta hapo upate GPA ya 3.5 ukasome degree.kuna kozi ya famasia na utabibu zinahtaji.mtu mwenye ufaulu wa alama D kwenda juu ktk masomo ya science pia na kigezo nyongez ni maths au English
kwa sasa bado sijachelewa
 
Mkuu sasa mdogo wangu ana D masomo yote kasolo esabu ana C na uraia na historia ana F na anataka kusomea civil engineering pale DIT muongozo inakuaje
Keshapita huyo km ana c ya math maanake hapo atakua na 4 ya 27 vgezo vya DIT uwe na ufaulu kwanzia D kwenda juu ktk na ktk masomo ya science uwe na D kwenda juu math ikiwemo kapita huyo kak hyo uraia na history weka pemben havimzuii kitu
 
Yes,, DIT watampokea, kama pre-entry, ni corse inayofanyika kama miez mitatu ivi, then watafanya mitihani, akifaulu atachaguliwa kujiunga diploma.
Mkuu sasa mdogo wangu ana D masomo yote kasolo esabu ana C na uraia na historia ana F na anataka kusomea civil engineering pale DIT muongozo inakuaje
 
Back
Top Bottom