Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,873
- 29,048
Nimefurahi sana kuwa miongoni mwa wanufaika wa hii training kutoka TMT
TMTM ni zaid ya family....soon we gonna be agents as TMT will be first forex broker in east africa.....tunajuana wote physically mle ndan.....so kumuulizia niffah tuu haina maana mkuu.....hata ukitaka kumuona The Bold we njoo TMT.......[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]kumbe niffah ndio secretary.? hebu wekeni picha yake tumuone
niko Songea mkuu ikifika zamu ya southern zone mwambie aje nimuone huko Dar mbali halafu magari mengi naogopa kugongwa!Fika mjengoni TMT, Jangid Plaza, Utakuhudumia na utamuona.
mnatutamanisha sana wakuu....mimi nina kashamba kangu ka miti NJOMBE namalizia kuvuna nikimaliza najiunga huko kwenye traini nataka nianze na mtaji $15,000....sitaki mchezo kabisa na maishaAhsanteni sana TMT ndoto zangu zinatimia. Kwa mara ya kwanza baada ya kusoma thread ya ontario inayohusu forex na utajiri uliofichwa hasa kwetu watanzania ilitosha kabisa kunifanya nihamasike na kuanza kutafuta maarifa zaidi ya jinsi ya kufanya hii biashara. Kuna watu wengi walupongeza na baadhi wakataka kutuaminisha ya kuwa hii ni kama DESI laki i kwangu mimi ilikuwa fursa adimu sana. Nilianza kutafuta brokers mbalimbali kama Xness, XM, ICM, AAA, Zulu trade na Fxpro. Nilijisajili na brokers wote lakini nika fund akaunti ya fxpro baada ya kufanya demo kwa mwezi mmoja. I funded my account with $ 2,100. Wiki ya kwanza nilipata $ 480 nikaendelea kwa wiki nyingine nikapata zaidi. Baada ya muda kwasababu sikuwa na mentor na kukawa na press conference ya Yellen ambaye ni chairwoman wa FOMC kwasababu nilikuwa na trade kama a naked day trader akaunti yangu ikapukutishwa nikabaki na almost $ 300. Baada ya hapo nikaingiwa woga kidogo nikawa natafuta maarifa zaidi huku na trade kwa kuvizia, baadae nikapata nafasi ya training TMT group 3 thanks to Ontario, Rea and Mr. V himself for guidance my account is now $ 1,169. Hopefully next week i can double the account. The training and guidance are of the highest standards. Binafsi nimejifunza mengi sana na nimejifunza kwanini nilikuwa naunguza akaunti sababu ziko nyingi lakini kubwa kuliko zote ni kuwa mlafi (GREED) na hivyo kuwa na lot size kubwa kuliko uwezo wa mtaji niliokuwa nao.
nipe mimi mkuu
alikuambiaje mkuu
hahahaha pesa ya kuomba ina masharti sana fuga hao kuku wakikua unawauza halafu unaingia kwenye forex baba akeAliniambia niongeze bidii kwenye masomo niachane na utapeli wa kisasa wa Deci.. akaanza kunipa na story za kufuga kuku badala ya forex.
huko forbes nitatimba tu muda si mrefuZawadi ya ontario hii,, we ushawai kuojiwa na forbes kwanza
watu wa songea wamejiunga na watu wa mbeya na mafunzo yatafanyika tarehe 30 mwezi huu kama sikoseiSongea lini aiseee....dah kukaa porini sa nyingine kunacost kweli kweli!
TMT wamerahisisha forex mno inahitaji akili ya kawaida sana kuielewa Fx under TMT coz you are associated with gurusWakina sie wenye vichwa vugumu sijui tufanyaje angalau tupate mwanga kidogo....
TMT wamerahisisha forex mno inahitaji akili ya kawaida sana kuielewa Fx under TMT coz you are associated with gurusWakina sie wenye vichwa vugumu sijui tufanyaje angalau tupate mwanga kidogo....