Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
57ab9e87e2184a34397ffe3fff5f9b55.jpg

Naomba Kueleweshwa hapo kulingana na Muda wetu hapa Tanzania tunatumia ipi kati ya EDT na GMT katika masaa halisi yakutrade

Mkuu naomba unitumie TimeTable hyo
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.
 
Sipendagi ujinga simba mwinda pole ndo mlanyama
 

Attachments

  • Screenshot_2017-07-05-15-40-33.png
    Screenshot_2017-07-05-15-40-33.png
    28.3 KB · Views: 106
Na Mimi naomba niweke kati ya 300 wa mwanzo nijumuishwe tujijenge kimawazo na mtizamo chanya
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.
:D:DWaacha bwana Embu tupe evidence sio tu unasema scam then unasepa toa ufafanuzi zaidi tujue sisi tulinunua mpaka vitabu tunasoma tusiendelee kupoteza muda.
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.


Asante...kwa heri....we sio wa kwanza kuja na allegations kama hzo...walikuja wengine wameondoka wametuacha kama walivotukuta.

Hata na sisi tumesoma na Kufanya uchunguzi ndo maana bado tupo hapa na tutaendelea kuwepo...na kuna siku tutakupa mrejesho jinsi tunavipiga mpunga kwa kwenda mbele.

Kama umesoma vitabu ukatoka kapa basi ukaona hii ndo njia ya Kutoka kwenye huu Uzi...wasalimie..
 
Jamani nimeshindwa kutumia aplication ya avatrade na meta trade mt4 nimefungua hizo acount kama Demo ili nione namna ya biashara ilivyo ila nikioder ama nikinunua naona haiji profit yaaani baaada ya kununua bei inashuka sana
Screenshot_20170705-164608.png
Screenshot_20170705-164552.png
Screenshot_20170705-163843.png
Screenshot_20170705-163803.png


Naombauongozo
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.
Mkuu umekuwa too general, embu elezea utapeli huo uliouona, mimi baada ya kusoma uzi huu, nilianza kufuatilia toka vyanzo vingine, baada ya kujiridhisha nikaamua kuanza kusoma kama mwanzisha uzi alivyoshauri kila mtu anayetaka kunufaika na hii business lazima aielewe ins and outs zake, so niko nakomaa na kitabu hapa mbaya kabisa.
Sasa kama mwenzetu kuna kitu umeona hakifai kwa ajili ya watz wenzako share hapa rafiki ili wenzetu waliotutangulia kwenye hii business watatolewa ufafanuzi kwenye wasiwasi ulionao.
 
kama nimatapeli na sisi tutakuwa matapeli zaidi yao na ndio pale watasema apana cheza na wabongo,nachoweza sema sio wote wanapenda kuona mwenzke anafanikiwa,pili hata kama nimatapeli nawashukuru sana tena sanaaaaaaaaaa kwani wametufanya tukabrush vichwa vyetu kwani hasa cha kwangu kilikuwa na ukurutu wa kusoma,sasa hivi nashimdana na muda,pia ni mangap watu wamepinga aliyoleta bwana ontario mbali na hili la forex?na walioweza kuyafanya sasa hivi wako mbali sana
 
Ndugu ni vema sana ukasoma na kuelewa hii biashara kama wachangiaji wengine kwenye nyuzi zingine wanavyosema.Kumbuka ni rahisi kupata faida na ni rahisi pia kuingia hasara ya mwaka.Utapata msaada sio muda Jf ni kila kitu
 
Baada ya kuchunguza sana na kutumia Demo account nikagundua huu ni utapeli. A total scam.
umechoma demo ngapi??? unaenda vitan huna silaha unategemea nini, Soma kwanza, soma kweli kweli, Unajua maana ya kusoma? Unatakiwa usome na uhakikishe unaelewa kwa namna yeyote, la sivyo achana nayo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom