Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
duuuj hatimaye dummies kimeisha.... technical analysis still changamoto... ngoja nirudie tena kwenye vitabu vingine


Mkuu dummies ngumu kueleweka (inawezekana kwangu labda)...mm nilianza nayo nikawa naona mapichapicha tu...nikaipotezea nikachukua naked forex...nikaanza kuelewa...nikamaliza naked nakapiga AstroFx...nikapata mwanga zaidi...nikarudi tena kwa dummies....ikawa mtelezo tu...sasa hv nataka kuanza Bible la forex..

Hii kitu sikuwahi kuisikia Kabisa ila kwa sasa hata nikukutana na mkongwe wa forex tutakuwa tunaelewana kilugha..
 
Mkuu dummies ngumu kueleweka (inawezekana kwangu labda)...mm nilianza nayo nikawa naona mapichapicha tu...nikaipotezea nikachukua naked forex...nikaanza kuelewa...nikamaliza naked nakapiga AstroFx...nikapata mwanga zaidi...nikarudi tena kwa dummies....ikawa mtelezo tu...sasa hv nataka kuanza Bible la forex..

Hii kitu sikuwahi kuisikia Kabisa ila kwa sasa hata nikukutana na mkongwe wa forex tutakuwa tunaelewana kilugha..
Mkuu nkwarisambu umeamua
 
57ab9e87e2184a34397ffe3fff5f9b55.jpg

Naomba Kueleweshwa hapo kulingana na Muda wetu hapa Tanzania tunatumia ipi kati ya EDT na GMT katika masaa halisi yakutrade
 
nina vitu kadha vina nichanganya sana katikaa swala la forex nimesoma iasi ila bado naitaji ujuzi zaidi hasa katika ili jukwaa. mimi natumia demo za ironfxm,xm,na iq option na katika zote rahisi kuliko ni iq option ambayo na shawishika kuweka mkwanja japo bado mapema sana, nime pitia sana hiz ironfx na xm ila naona natengeneza profit tu sasa nataka kuweka nguvu katika real account. maswali yangu ni kama haya:
1: nimda kani mzuri wa ku sell?

2:na je wakati una buy ule upande wa profit huwa ni profit au ni makusanyo ambayo utapata faida ukiwa una sell.

3:na kuhusu short sell kama nchi za london,singapore,na usa. ni mda gani hasa wana fungua na jinsi ya ku trade at that time.

4:kuhusu ku withdrawal mimi nina kadi ya crdb pamoja na skrill. je hawasumbui kati swala la ku toa pesa. na kama ni crdb ni unafungua account ya online au unatumia ya kawaida.

5:mbona binary option ya iq option iko rahisi sana kuna mtu asha wai sikia kuhusu hawa broker
 
Dah nimechelewa kuamka guys kumbe watu mko busy na uzi wa maana hivi, nimechelewa kuuona huu uzi lakini i hope sijachelewa kuwepo kwenye offer ya watu 300. ONTARIO usini sahau kwenye darasa naanza kubukua immediately.
Kwenye ishu related to hela huwa sipotezi time.
 
nina vitu kadha vina nichanganya sana katikaa swala la forex nimesoma iasi ila bado naitaji ujuzi zaidi hasa katika ili jukwaa. mimi natumia demo za ironfxm,xm,na iq option na katika zote rahisi kuliko ni iq option ambayo na shawishika kuweka mkwanja japo bado mapema sana, nime pitia sana hiz ironfx na xm ila naona natengeneza profit tu sasa nataka kuweka nguvu katika real account. maswali yangu ni kama haya:
1: nimda kani mzuri wa ku sell?

2:na je wakati una buy ule upande wa profit huwa ni profit au ni makusanyo ambayo utapata faida ukiwa una sell.

3:na kuhusu short sell kama nchi za london,singapore,na usa. ni mda gani hasa wana fungua na jinsi ya ku trade at that time.

4:kuhusu ku withdrawal mimi nina kadi ya crdb pamoja na skrill. je hawasumbui kati swala la ku toa pesa. na kama ni crdb ni unafungua account ya online au unatumia ya kawaida.

5:mbona binary option ya iq option iko rahisi sana kuna mtu asha wai sikia kuhusu hawa broker
Mkuu huu uzi umeusoma wote?
 
Mkuu dummies ngumu kueleweka (inawezekana kwangu labda)...mm nilianza nayo nikawa naona mapichapicha tu...nikaipotezea nikachukua naked forex...nikaanza kuelewa...nikamaliza naked nakapiga AstroFx...nikapata mwanga zaidi...nikarudi tena kwa dummies....ikawa mtelezo tu...sasa hv nataka kuanza Bible la forex..

Hii kitu sikuwahi kuisikia Kabisa ila kwa sasa hata nikukutana na mkongwe wa forex tutakuwa tunaelewana kilugha..
Mkuu hongera kwa speed ya kusoma,na pongezi kwa kuchukua hatua,vitabu vyote recomended ninavyo kasoro hicho cha forex bible,msaada wa kukipata softcopy au kama kuna link ilitolewa humu sijaona naomba msaada nikipate
 
Mkuu hongera kwa speed ya kusoma,na pongezi kwa kuchukua hatua,vitabu vyote recomended ninavyo kasoro hicho cha forex bible,msaada wa kukipata softcopy au kama kuna link ilitolewa humu sijaona naomba msaada nikipate
Kuna mdau alipost , Mwl.RCT
Download link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zip
File size: 39mb

Books Uploaded

1. AstroFX Training Book
2. Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading
3. The Forex Bible
4. Forex Godfather Elite - Mpangilio wake nikama wa Babypips .COM
 
Kuna mdau alipost , Mwl.RCT
Download link: The Forex - Books[Mwl.RCT].zip
File size: 39mb

Books Uploaded

1. AstroFX Training Book
2. Naked Forex High-Probability Techniques for Trading Without Indicators -Wiley Trading
3. The Forex Bible
4. Forex Godfather Elite - Mpangilio wake nikama wa Babypips .COM
Mkuu pangah asante kwa download link,,lakini haifunguki hii,nikifungua inanipeleka kwenye software ya kufungulia ambayo sina kwenye PC yangu,,mdau yeyote ambaye anaweza aka upload forex bible hapa ili tukipakue ambao hatujakipata
 
Ni siku nyingine tena, BRENT OIL jana ilishindwa kusogea na inaonekana imekuwa ngumu kwa wote si buyers ama sellers walioweza kupata ushindi mkubwa. Hii inadhihirishwa na slight movement ya price na kiashirio kikubwa ni presence ya DOJI.

Brentoil.PNG


Leo nimeamua kuongeza signaling indicators zingine ili kujiridhisha zaidi na hii setup. Leo nimeongezea BOLINGER BANDS, na STOCHASTIC. Tukianza na Bolinger bands, Nilibadili seting ya timeframe ya bolinger na kuifanya 14 EMA badala ya 20 EMA ambayo ni default. Inaonesha channel itakuwa loud hapa mwishoni kwani inaelekea kutanuka. Na pia band ya juu imeshaact kama resistance kwa price. hivyo kwa harakaharaka hii inaashiria price reversal.

Tukija katika Stochastic, tayari stochastic chart inaonesha price action imeshafika katika overbought region. Na kinachofuatia ni price reversal ndo kitu pekee kilichobaki.

Tukija katika candlestick formation, tayari katika closing day ya jana kumekuwa na DOJI, ambapo most of the time doji huashiria reversal in trend. since previous trend ilikuwa ni uptrend, hivyo tutarajie down trend any time future.

Tukija katika fibonacci, toka jana inaonesha price imekuwa resistant katika 50% level. Kiashiria kinachoonesha kuwa it is time for price reversal na hiyo 50% level will be our ceiling.

Hivyo kutokana na viashiria vyote hivyo. Still good setup ni kuuza na kukaa kusubiri. Ila tuu usitegemee sana faida kwa haraka since oil liquidity yake ni ndogo. Setup ukitegemea faida baada ya wiki hivi to be exact huku kila mara ukisogeza stop loss yako.

Lets set for our trap, and wait for a catch.

CC: Ontario, Bavaria.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom