Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Mke

wangu tangu
ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na
amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu
wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki
zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika
sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

mke au gf? kama mke basi ulioa ukiwa mdogo kutokana na nilivokuona.
afu
kama ndo umeanza kazi bas kakuzidi kipato anakuona tegemezi.

pole sana ndo ushaachwa. usijari utapata na wadada wapenda mahandsome ni
wengi hata humu jf wapo, yakikushinda tafta ustaraabu mwingine
poleeee.

dah mapenzi ya siku hizi majanga.
 
Pole kaka maisha ndo safari. Wanawake wanapenda maisha mazuri kwa haraka. Nakushauri usife haraka, muache na endelea na maisha yako...:flypig::flypig::flypig::flypig::flypig:
 
kila biashara lazima ukaze msuli. huko forevet si mtelemko ko ivo mpk uhangaike sana. kwanza kiingilio ni sh 800000. upo hapon na ili upate bonus lazma kila mwezi ununue kitu. mpk ufike ngaz ya juu sana ndipo unaingiziwa bonus ht usiponunua. kazi sana. pia ukishatoa kiingilio utafute watu wanne waingie pia.
 
Nanyi hua mna viburi muwachwee tu🙌🙌🙌
 
Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.

we mtoto ni mpuuzi na haujui ndoa wewe so acha kubwabwaja
 
Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.

Uko saf kwa hii comment yako. Uyu jamaa angekuwa kasimama jaribu yangu ningemtandika KOFI moja matata sana.....limzindue usingzini alimolala.

Wanawake wala sio wa kutafuta cku hizi..., ni wakuchukua tu na kuweka ndani. Wakikuonesha pumba zao....., piga chini songa mbele. UKIWA DHAIFU, unalalamikia mkeo kibur, jeuri daily.....ujue umeolewa wew. Coz yey yuko tuli...wew ndo unabwabwaja... NENDA T.G.N.P. Wanaume ss tumeumbwa kutoonewa na mwamke. Nina mashaka na men anayelalamikia dem yake mbofu bado anayo.
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Usichukie anachokifanya jifunze ili ujue majibu ya maswali yanayokutatiza.
 
Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.

Safi sana wiseboy kwa maneno swaafi ya kiume.
 
Last edited by a moderator:
Kama unampenda mke wako na unajali ndoa yako mpe masaa kadhaa ya kuiacha hiyo biashara officially afanye shuhuli nyingine

La sivyo kesho tu atakuja na gari nyumbani akuambie amezawadiwa ya kutembelea wateja.

Chukua maamuzi.
 
Capture.PNG
avatar nyingine zinatetemesha sana, kama hii, LOl!!!
 
Possibility kubwa ya kusalitiwa ipo ...una mwanamke mpumbavu.

Na mtu yeyote mpumbafu bila kujali jinsia yakeee, kaa mbali naye. YAANI....UKIWA NA MAUMIVUUU, hakuelewi! na UTAMU PIA hakuelewi....yote anayajua ila ana-take pause la KAUZU ZAIDI YA DAGAA. Hasara anayokupa ni muda unaoutumia kumsubiria aelewe somo. NA KATU HATAELEWA HATA UKESHE.....NI MAKUSUDI TU.....Kama hutastuka mapema, atakufanya BBWEGGE.
 
Na mtu yeyote mpumbafu bila kujali jinsia yakeee, kaa mbali naye. YAANI....UKIWA NA MAUMIVUUU, hakuelewi! na UTAMU PIA hakuelewi....yote anayajua ila ana-take pause la KAUZU ZAIDI YA DAGAA. Hasara anayokupa ni muda unaoutumia kumsubiria aelewe somo. NA KATU HATAELEWA HATA UKESHE.....NI MAKUSUDI TU.....Kama hutastuka mapema, atakufanya BBWEGGE.
kweli kabisa na lazima mwanaume uwe mkali but lovely
 
Back
Top Bottom