Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Forever Living imeniachanisha na mke wangu

usije ukaingia chaka hao forever ni kama kamari.

Nlikua najishauri niingie ama vipi.na kweli ni kama kamari.mpaka uwapate watu wa kujiunga ili uwe promoted,ni kazi kwelikweli.wa mwanzo ndo walifaidi kwa mtazamo wangu.saivi majanga tuu.
Ila wana ushawishi balaa.you might daydream a brand new car iko mbele yako hata kabla hujaanza kutoa jasho kuifanyia kazi.anyways am out.nimegundua it is not my thing...(the forever living stuff)
 
hizo comment da! zinahitaji uvumilivu yani watu hawaoni maumivu yako zaidi wengine wanakuongezea maumivu tu,

nakushauri tulia kuwa mpole unapotakiwa kumwonya we mwonye kistaarabu kabisa, huku ukiendelea kumuomba Mungu,

kuwa bize na maisha hasa kama kuna watoto,, najua unampenda sana ila kama ulioa gume gume huwezi mbadili wewe

hiyo kazi mwachie Mungu. ukitulia atajirudi huyo, ukiona yanazidi anza taratibu za kuita vikao na wazee ili wajue nini

kinaendelea, hali ikiwa tete basi ujue ameamua muachane ila da, kaka muombe Mungu maumivu ya kukubali kuachana

ni makali sana, piga goti hilo. piga goti Mungu anabadili tena. ndoa ileeee jamani
 
Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.
mkuu umenena vyema sana kwakweli huu ni upoyoyo kama anaogopa kutoa talaka tafuta nyumba ndogo huku mwache yeye akae na wewe uwe unakuja kuangalia tu watoto ila papuchi yake na wewe susa kula the fresh one ila usiache kulipa ada na mazagazaga mengine ya watoto na usisahau kuondoka na hati za nyumba kabisa ikiwezekana kaziweke safe custody usije kusema tulikwambia upeleke kwa mke mdogo......hatutakuwepo
 
View attachment 228677
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.

View attachment 228680
Hii ni Nyumba ya Mr and Mrs Mgoyo wakiwa na watoto wao nje ya nyumba yao huko Arusha Tanzania yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 400 za kitanzania wameijenga kwa fedha wanayolipwa na kampuni ya Forever pia...wamehamia nyumba hii mwaka jana nao wanafanya biashara hii.

Watoto wanapenda asali,watoto hawapendi ukali,watoto wanapenda safari,maisha kufika ni mbali tena kwa msoto mkali.Je na wewe maisha haya unayapenda??siyo uchawi wala utapeli ni ukweli mtupu..kinachotakiwa Kuwa na mtaji wa kianzio wa 800,000(laki nane za kitanzania) ili nawe siku moja ufikie malengo mwakubwa kama hawa watanzania wenye uthubutu.Kama upo tayari na haujafikia ndoto zako tupigie +255784778788 tukuelekeze.


Hatupingi maendeleo ila kama unaweza kusema ni asilimia ngapi ya walionufaika kati ya wengi walioingia. Unaweza kusema motivation ila hapana hii ni biashara ya kunufaisha wachache : Eti ili uwe manager uwe umeingizia kampuni kiasi cha milioni tisini na ushee ndio wewe uwe na kamision ya milion mbili? inaingia akilini kweli? Hao kina blandina ni wangapi?
Its a business just like any other na si kwamba kuna quick money kama mnavyotangaza ; same money mtu anaweza wekeza kwingine na akafaidika kiasi hicho au zaidi. Tatu wanajisifu kusafiri - hii mtadangaya waTZ kwa kuwa hawajazoea kusafiri ila safari ya hapo south au London ndio kigezo cha ushawishi?
People need to be told correct stories and not otherwise.
 
Mtu mmoja aliniambia. Ukitaka wadada wazuri njoo forever. Huyo dada aliyeniambia naye yupo forever. Ukweli mpk sasa sijawahi kupata jibu.
 
View attachment 228677
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.

View attachment 228680
Hii ni Nyumba ya Mr and Mrs Mgoyo wakiwa na watoto wao nje ya nyumba yao huko Arusha Tanzania yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 400 za kitanzania wameijenga kwa fedha wanayolipwa na kampuni ya Forever pia...wamehamia nyumba hii mwaka jana nao wanafanya biashara hii.

Watoto wanapenda asali,watoto hawapendi ukali,watoto wanapenda safari,maisha kufika ni mbali tena kwa msoto mkali.Je na wewe maisha haya unayapenda??siyo uchawi wala utapeli ni ukweli mtupu..kinachotakiwa Kuwa na mtaji wa kianzio wa 800,000(laki nane za kitanzania) ili nawe siku moja ufikie malengo mwakubwa kama hawa watanzania wenye uthubutu.Kama upo tayari na haujafikia ndoto zako tupigie +255784778788 tukuelekeze.


Sawa umezungumzia watu vp kuhusu wewe?! ili watu wakupigie simu?!
 
Kwanini shemeji yetu akufanyie hivyo??ebu nipe namba yake ili nijaribu kumrekebisha!!
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Inawezekana wewe ndio tatizo, usijifanye unamlaumu mwezio ,nyinyi wanaume mnapenda kujifanya wasafi sana wakat mnanuka maovu, unawrza kuta wrwe Ni mlevi mbwa na mwanamke amekwambia uache mfanye maisha unajifanya unajua sana sasa Dada wa watu kaamua kusepa kuanza maisha Yake unaamua kumuangushia lawama forever ha ha ha ha usilaumu ulipoangukia laumu ulipojikwaa haha ha just ushaur usinichukie
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Pole na matatizo mkuu... sasa wife kaona forever living haitoshi anafanya forever leaving..hmnnn...
kama uko tayari wafuate washauri (counselors) wa mambo ya mahusiano kama Dr. Chris Mauki wa Udsm au Lyassa Dismas.. inaweza kusaidia..
 
akifirisika atakuheshimu sijaona aliyecanya forever akatoka kimaisha
 
Kijembe kokota mpini nikutie kibanioooX3 nimepata dereva ajuayee gari yanguu yaendaa mbioooo
 
pole sana make inauma sana pale mpenzi wako anapobadilika na kuwa na jeuri ndani ya nyumba ila nakushauri kitu kimoja ukiweza lakini kuwa kimya jifanye kama mjinga usimfatilie make unavopiga kelele na kumfatilia haisaidii bali ndo unampa kichwa akiona upo kimya roho itamsuta tu na atajitudi mwenyewe,,,pia dawa ya jeuri ni kiburi, dawa ya moto ni maji zingatia hayo utamshinda tu,,,mwisho,, wanawake ni viumbe dhaifu sana akili zao ni kama kuku ambae unataka kumchinja anakambia afu jioni anajileta mwenyewe so inakuishi nao kwa akili kubwa sana
 
Mkuu inawezekana kuna mahali mlikosea. Unajua hizi biashara zina faida na hasara zake na kila muanzapo jambo jipya jitahidini kufuatilia ili mjue effects zake hasa kwenye mahusiano yenu. Kumbuka binadamu tumetofautiana wengine huamini kila wanachoambiwa bila kujiuliza how. Na wengine huhoji itakuaje sasa mtu anapokuta kuna wanaozungumzia kua ndoa zao hasitakiwi kuwa kikwazo kwenye shughuli zao basi mtu analinyanyua na kulipeleka home kwake na wanaume hivyo hivyo.

Sasa hebu kaa na mkeo mzungumze ili muone mtafanyaje kuikoa ndoa yenu ikumbukwe kwamba maisha yenye furaha ni zaidi ya pesa. Jitahidini kurudi nyuma mtaona mlipokosea na ikiwezekana mtafanya marekebisho. Ila kuna tatizo kubwa la kizazi cha sasa yaani kila mmoja kujiona yupo juu ya mwenzake kumbe kiuhalisia maisha hayako hivyo. Hiki ni kizazi tofauti na vilivyopita. Zamani baba akisema hakuna kuuliza kwanini lkn kwa sasa inapaswa mzungumze na kufikia maridhiano. Angalieni kipi muhimu kwenu je pesa by any means au furaha ya wawili nyie. Kumbuka si kila biashara inafaa kufanywa na kila mtu.
 
View attachment 228677
Hii ni Gari aina ya Jeep Grand Cherokee ya Kimarekani yenye thamani ya zaidi ya milioni 90 za Kitanznaia mpya kabisa yaani 0 km iliyonunuliwa na dada Huyu Blandina Njau kama wiki sita zilizopita naye anafanya biashara hii ya Forever Living.

View attachment 228680
Hii ni Nyumba ya Mr and Mrs Mgoyo wakiwa na watoto wao nje ya nyumba yao huko Arusha Tanzania yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 400 za kitanzania wameijenga kwa fedha wanayolipwa na kampuni ya Forever pia...wamehamia nyumba hii mwaka jana nao wanafanya biashara hii.

Watoto wanapenda asali,watoto hawapendi ukali,watoto wanapenda safari,maisha kufika ni mbali tena kwa msoto mkali.Je na wewe maisha haya unayapenda??siyo uchawi wala utapeli ni ukweli mtupu..kinachotakiwa Kuwa na mtaji wa kianzio wa 800,000(laki nane za kitanzania) ili nawe siku moja ufikie malengo mwakubwa kama hawa watanzania wenye uthubutu.Kama upo tayari na haujafikia ndoto zako tupigie +255784778788 tukuelekeze.


Hahahahaha, wana lugha tamu hao! Mtu asiyetumia akili atajikuta anapoteza muda kuuza losheni, mwisho wa siku anayepata faida ni yulee aliyemtangulia, chezea pyramid wewe!
 
Pole na matatizo mkuu... sasa wife kaona forever living haitoshi anafanya forever leaving..hmnnn...
kama uko tayari wafuate washauri (counselors) wa mambo ya mahusiano kama Dr. Chris Mauki wa Udsm au Lyassa Dismas.. inaweza kusaidia..

Hao hawatamsaidia kitu, huyo mwanamke hawezi kukubali kwenda huko, kiufupi hamtaki jamaa!
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Ngoja nikuulize maswali kadhaa kwanza;
-Mna miaka mingapi toka mnaishi pamoja?
-Mlifunga ndoa?
-Mna watoto?
-Mnaishi kwnu au mmepanga?
-Kama mmepanga nani analipa pango?
-Nani mwenye kipato kikubwa katika familia?
-Huwa unayaona matunda ya kazi anayofanya?
-Unamjua aliyemwingiza mko kwenye hiyo forever living?

Ukishanijibu nitakushauri.
 
Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.

Wise umeongea point, maKu za kumwaga halafu janaume na midevu yake linakuja kulialia hapa.
 
Back
Top Bottom