Usiogope mkuu miss-chagga. Me najua wew ni mtukutu na uko fasta fasta lakn wew SIO MKOROFI. Kam nimekutia presha mkuu nisamehe buuure!
I was expressing my self to yuo dear.
SIPENDI nasema SIPENDI Mwanaume legelege dhidi ya mwanamke.....Najua miss chaga na wanawake wengi hawampendi men goi goi.
Afu SIPENDI tena SIPENDI Mwanamke anayetumia **** yake kama pini ya kumbana mumewe ili awe mpole. Ama anakuwa kibri coz ya ilo tundu lake. Kwangu mie...nitamtapika papo hapo.
Mmoja alinifanyiaga ivo. Tumekutana mtaani...anasema hivi unionavyo naja kwako....kwa vile muda ule bado nilikuwa kweny mizunguko yanguu, nikampa ufunguo wa nyumbani kwangu na kumwambia...nenda nitakukuta. Ilikua mchana. Me nilirejea mawio. Wazo langu ni kuwa huyu shori anataka kunionesha jambo kwa vitendo(umuhimu wa mke).
Ile mawio niliporudi....toba! Nilimkuta shori wangu kajinyoosha on bed, anaburudika na santuri, kila nikigeuza shingo mule ndani....kila kitu kipo kam nilivokiacha. The lady ni taecher. Nikamezea. Tikastori hili na lile, nikajiandalia maji, nikaoga....kichwani najiuliza...ana nini huyu leo??? Au anaumwa??? Au ana mimba??? Wacha mimalize kuoga..nimsikilize. Ndo saa moja jioni hiyo, vya kupika na kunywa vimo humo humo ndani, wala huhitaji kutafuta kuni, nikamsogelea na kumuuliza....tutapika nin tule muda huu??? Akasema.....me hata sipiki, afu cjickii kula maana tangu nimekula mchana...bado niko fresh. Du! Nikamwambia poa. Me nimezoea kula kwa mama-nijazie, na nina njaa, vp...utaniruhusu niende nikale huko??? Akasema poa, nenda...usichelewe kurudi---NIKACHOKA.
Nilitoka pale ndani nikaenda bar, nikapata mchemsho na bia mbili...nikaamua nicheze pool table. Kichwani hata siioni taswira ya mwanamke ndani kwangu.! Hajafanya usafi wowote, haoni sababu ya kunipikia, anataka anieleze tu shida zake...na nikienda nae sawa kwenye anachosema ndo anipe ****...Shit!
Kule bar, nili-enjoy pool table hadi saa six...bar ikafungwa na mie nikapeleka maguu homie. Nilpofka homie, niligonga mlango nikafunguliwa. Shori alikuwa kafura kwa hasira kichizi. Kawaida nilimwambiaga...sheria ya chumbani kwanguuu...mke ni marufuku kuvaa cchhupi ukiwa chumba cha mimi. Alikiuka hiyo sheria cku iyo. Aliponifungulia, alirejea on bed. Me nikasaula viwalo vyangu, nami nikajitupa on bed.
Akaanza kunung'unika na kilio chenye kamasi nyepesi...eti oooh, kwa nn unamifanyia hiv, kwa nn umechelewa kurudi hadi mid-night...wew si uliniruhusu nikale kwa mama yeyo??? Haya tena, yupo kifua wazi, maziwa nje, kiunoni ana underskirt, naifunua iyo underskirt...nakutana nakaptula ya jinsi...afu mwenyewe anafunika kwa nguvu...sitaki! ebo! Nafikr ana-bleed..anasema sitaki tu...umeniuzi. Kha! Nikamuuliza kama nimekuudhi..mbona maziwa yako nje??? mbona bado upo kwangu??? mbona upo nami kitandani??? mbona mm huiona thamani yako tangu unyayoni hadi utosini...vip wew umeigawa kwamba kuanzia kiunoni kwenda kichwani umeacha wazi...maana hakuna tamani. Ila kiunoni mpaka magotini ndo pana thamani???
Kwa vile cjaona maana ya mke huyu, nilishamfuta kweny nafasi ya mke hafai. Mpaka **** ameifunika ambako anajua nitamlilia tu. NIKAMWAMBIA, kwa wew unatambua thamani yako ya kweny cchhup tu...na unajua kwa vyovyote nitakubembeleza kutaka "k" yako. BASI MIM SIITAKI HIYO KITU. Na nikachukua shuka jingne nikampa na kumwambia afunike ile sehemu ya kifua aliyoacha wazi....maana sina haja na "k". Nina haja na mtu full na "k"ikiwemo ndani ya mutu. HAKIKA SIKUMGUSA/ KUMWINGILIA. Alilia na akanyamaza mwenyew. Kulipopambazuka nikampa nauli ya daladala aende kwake. Aliendelea kuniomba msamaha..but nilishamdampu. SIJIDHARAU NA SIMDHARAU MTU. ILA UKIJIDHARAU NAKUWEKA KAPUNI...SINA HAJA NAWE.