Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Mkuu nina ka demu kangu cjawi.kukapeleka kfc ila juzi nakapigia simu kanasema kapo na mteja mhh daaah
 
Pole kama ni mkeo una mamlaka nae zuia asiende tena huko au fungia ndani

Lakini ukichunguza kwa undani ni kwanini unatoa chance kwa mwanamke kuleta jeuri ndani ya nyumba yako...! Yaani kila kitu chako afu anakuwa kiburi...siaminiii.." Hiyo jeuri atapata wapi? Nahisi Kuna tatizo sehemu upande wa mume..!
 
Ujinga ni kwenda tuu...?but kuna other tymz inakubd uvumilie wahenga wanadai utavuna mbivu but kwa kizazi hiki utavuna Pressure na Maumivu ya mapenz
 
Mkuu wanawake wengi tatizo kumpata aliyetulia mpaka umjue shughuli unaweza angukia pua kwa kicheche tena.
 
Don't hate forever living, hate the behaviour of ur wife. Pole sana mwanetu, sisi tulio kwenye ndoa tunajua how hard it is, wen ur fellow change. Mbaya zaid kama hofu ya Mungu iko ndan yako kumwacha kirahis inakuwa ngumu sana kwako. Muulize Mungu wap ulipokosea
 
Ingekuwa mm nishammimina kitambo wanawake kibao unalia lia kuomba ushauri mbona ulipomtingoza hukuomba ushauri mume usishauriwe na mtu utaumia
 
Mi nakushauri peleka malalamiko yako kwa wazee wake au viongozi wa dini waonge nanyi huenda kuna kitu anashindwa kukueleza.
 
Back
Top Bottom