Achana nae panya huyo asikupande kichwaniMke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anadema hana shida na mme.
Ni mtu wa jeuri kwa sasa. Nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa, nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna.
Sinui kapata bwana huko? Amekuwa jeuri sana, kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.
I hate Forever Living
Tupe mrejesho mkuu, vipi mkeo amejirekebisha?Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anadema hana shida na mme.
Ni mtu wa jeuri kwa sasa. Nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa, nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna.
Sinui kapata bwana huko? Amekuwa jeuri sana, kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.
I hate Forever Living
DuhWewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.
kwema kabisa mkuuMkuu kwema?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ..jamii forum na idumu!Mwambie akuuzie kitu inaitwa MULTI MACA, ukitumia hiyo ukipiga bao full sado. Atarudisha nidhamu