Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Forever Living imeniachanisha na mke wangu

Amalinze
Mbona mafanikio ya nyumba naonaga ni hiyo hiyo kwa member tofauti tofauti wa forever?au zinafanana tuu?mwingine atatumia the same house kusema ndo dream home yake hiyo anajenga.mwingine tayari kashajenga.same same house.mmmh.just curious
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilikuwa na mpenzi wangu nilikuwa namhudumia kwa kila kitu kuanzia shule mpaka nyumbani kwa nia njema kwani baba yake amefariki.Lakini tokea fedha za mirathi za baba yake zitoke amebadirika sanaa.Kwani anajibu anavyotaka na mambo mengi ya kero mpaka nimeamua nijiweke pembeni.Ndivyo walivyo wakipata vipesa hao wanabadirika sana.
 
Amen. Asante sana.

Kuwa na washauri wazuri ni kitu muhimu,watakunyenyekesha unapotaka kutumia hisia,ndoto na matamanio yako kufanya maamuzi magumu,watakusaidia usikosee au wakuache ukosee wakurekebishe mapema kwa kukufundisha. Wanapofanikiwa wajifunze pia kwa waliotangualia kufanikiwa manake wao sio wa kwanza kufanikiwa.

Word's worth! Wenye hekima watakuelewa. Uu mshauri mzuri Michelle.
 
amalinze

Kwa vile na wewe ni mdau wa forever na unatafta wateja kuwaunga kwenye chain yako, sema tangu uingie umevuna bei gani.
 
Labda foreva inamlipa na kajipatia picha siku kadhaa za uson atashika milion kadhaaa...kwani ulimuoa kwa Mahari au ulipeleka packages za foreva?
 
mmmmh ushauri wako kama nguvu za giza! sasa ataacha mara ngapi? haya atamuachA foreva ataoA VIKOBA
 
kapata bwana ambaye kwenye pyramid yao yuko juu huko basi ndio kamuona mfalme wake

washapiiiga
 
Siku hizi jukwaa hili linaanza kupoteza maana ya "Great Thinkers". Mwenzenu kaleta tatizo linalomsibu wengine wanajibu kama wako facebook.

Ni kweli biashara ya Forever Living imeleta tafrani katika familia kadhaa. Kesi za aina hii zipo nyingi sana na tutazisikia nyingi zaidi.

Baadhi ya viatarishi vilibyo katika biashara hii ni;
1. Unahitajika kufanya biashara na "Mteja" mwenye uwezo
2. Unatakiwa umshawishi "mteja" tena katika mazingira ya wewe na yeye au marafiki wachache tu.
3. Mawasiliano ya mara kwa mara na "mteja"
4. Uwezekano wa mazingira ya faragha ni mkubwa kwani wao hufuata convenience ya "mteja"

Japo tabia ya mtu inachangia kiasi katika kuchepuka lakini mazingira ya aina hii yanamwacha mwanamke katika hatari. Wanaume wengi hasa wenye fedha huingia kwenye biashara hii baada ya kuvutiwa na muuzaji na siyo kushawishiwa na biashara. Sasa hivi kuna watu wananunua hizi bidhaa nyingi kupita kiasi hata hawajui wazipeleke wapi ili tu kumpata huyo muuzaji. Kana kwamba haitoshi wachina nao wameingia ndani yake na kufanya soko liwe gumu zaidi hivyo nguvu kubwa kutumika kumshawishi "wateja" ambao pia hutumia nafasi hiyo kumaliza haja yao
 
Hii habari si kamili.

Mtoa mada aonyeshe mahusiano yao kabla yalikuwaje, inawezekana mtenda akitendewa .......
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Foreverliving ndo nn wajamen ndo nitoe ushaur
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.

Tazama majibu haya ..
Wana kitu wenye wanakita mikutano ya kibiashara na mteja. Sasa wateja wengine unakuta hawana shida na hizo bidhaa wanataka huyo mwanamke, ndiyo hapo utakapoona manyoya tu. Kwanza bidhaa zao nyingi ni za gharama kwa hiyo wanaenda kwa watu wenye uwezo ndiyo huko wanapoliwa. Alafu ni biashara ya kiguu na njia. wanaliwa sana tena maofisini wakija.

Ona Hii tena

Wewe Ndo ---- Kabisa,wanaume Kama Wewe Huwa Mnanikera Sana,kwanza Nyambaf Zako,mke Wako Ana Dalili Zote Za Kugawa Papuchi Nje Ya Ndoa Wewe Unakuja Hapa Unalia,unalia Nini? Eti Mke Wangu Amekuwa Kiburi Hasikii,mpige Chini Utafute Mwingine Umekaa Kama Zoba Zoba Tu Hadi Uletewe UKIMWI Ndo Akili Ikukae Vizuri,unaposoma Huu Uzi Wangu Rudi Nyumbani Haraka Kaifukuze Hiyo Kenge,wanawake Wote Hawa Walivyojaa Duniani Kama Mchanga Wa Bahari Wewe Unalia Lia Ujinga Hapa? Au Anakutunza Huna Kazi Yoyote Au Biashara Ya Kuingiza Kipato? Kama Hakutunzi Vunja Ndoa Hiyo Ya Kijinga,imeshaingia Doa Tayari,ukiendelea Kukaa Naye Utakuja Humu Siku Moja Unataka Kujiua Yamekukuta Makubwa Zaidi.

Ajabu sana.. Nimetembea humo kote mijitu imeng'ang'ania MKEO anatafunwa-anatafunwa.. Si KWEEEEELI.. Sio Sababu. Hivi Mtu kutafunwa lazima awe nje? HATA
humo Ndani wa kitafunwa Ni wa kutafunwa tu, Kwani Wewe utasubiri mwanamke akuletee bidhaa Ndo umwombe uchi?!? No way. HATA Kama anatafunwa Kwani kifanyiwa kinang'olewagwa. Si Mtu anaingiza, anamwaga vitu vyake Na kuvaa chupi Yake akaondoka, hachukui Chochote sanasana Yeye Ndo anachukuliwa, Na Mke akirudi hom Mashine iko fit, iko vile vile, Na Wewe unafanya Kama alivyofanya mteja, tena huhisi chochote, tofauti tu Ni Kwamba Kwa Kuwa mteja aliiona Kwa Mara ya kwanza aliianzia Kwa mdomo, ila Wewe Kwa Kuwa ushaizoea unapeleka tu mashambulizi sometime Ata busu hamna. Ila action hizi hazina uhusiano Na jeuri Na Kiburi Cha Mtu.

Tena Mwanamke anayetafunwa nje, Mwanamke ANAYE gawa sana kitu Yake Ndani ya ndoa Ni Mpole, anatii Kweli, anaogopa mambo Yake yasijulikane, hawezi leta vurugu Kwa Sababu akileta chokochoko unaweza kuanza ukaguzi wa Ndani Na nje ukamnasa. Hivyo anajifanya mnyenyekevu Na Mpole kinyama.. USIDANGANYIKE..

Ijue Saikolojia ya Wanawake, Mwanamke ana priority kwanye maisha yake. Ya kwanza Ni Pesa (maisha) pili Mapenzi ila mwanamme Cha kwanza Mapenzi ndipo maisha. Katika prukushani za Mwanamke kutafuta maisha(Pesa) Yuko Tayari kuolewa Na kidate Na Mtu yeyote by the name of searching good life(money). Mwanamke akisha Anza kuitia fedha mkononi, anafanya Biashara anapata fedha, ameajiriwa Mwisho wa mwezi anapokea kimshahara, anachokiita Chake .. Hapo utaona true-color Yake. Kama alikupenda akitafuta maisha Basi ameshayapata, hapo lazima ukabiliane Na dharau za Kufa Mtu. Jiulize kwanini wanawake wengi wasomi, wenye vyeo, wanasiasa mashuhuri.. Wako single au wameachika, men are no longer their priority.
 
Mke wangu tangu ajuinge forever living amebadilika kabisaa kwanza amekua na jeuri na amekua haoni umuhimu wa mahusiano yake anasema hana shida na mme ni mtu wa jeuri.

Kwa sasa nimejitaidi kumusihisi abadilike hakunaa nimetumia hata rafiki zake lakini hakuna sijui kapata bwana hukoo amekua jeuri sana kabadilika sana sana yani sijui nifanye nini.

I hate foreverliving.
Pole sana mzimbhazi. Mwambie mkeo meingia mkenge wa mtego wa shetani. Foreverlivng ni secret society (jamii yawatu wenyejenda za siri ktk kumtumikia shetani). Kama anaakili na anajua English mwambie apitie kwenye mtandao asome hizo foreverling ajionee.Na wewe usije ukajiunga, utaangamiza kizazi chako.
 
Last edited by a moderator:
Siku hizi jukwaa hili linaanza kupoteza maana ya "Great Thinkers". Mwenzenu kaleta tatizo linalomsibu wengine wanajibu kama wako facebook.

Lakini wewe mleta post na wewe una matatizo, imekuachanisha na mke wako wakati maelezo hayaonyeshi kwamba mmetengana!

Ni kweli biashara ya Forever Living imeleta tafrani katika familia kadhaa. Kesi za aina hii zipo nyingi sana na tutazisikia nyingi zaidi.

Baadhi ya viatarishi vilibyo katika biashara hii ni;
1. Unahitajika kufanya biashara na "Mteja" mwenye uwezo
2. Unatakiwa umshawishi "mteja" tena katika mazingira ya wewe na yeye au marafiki wachache tu.
3. Mawasiliano ya mara kwa mara na "mteja"
4. Uwezekano wa mazingira ya faragha ni mkubwa kwani wao hufuata convenience ya "mteja"

Japo tabia ya mtu inachangia kiasi katika kuchepuka lakini mazingira ya aina hii yanamwacha mwanamke katika hatari. Wanaume wengi hasa wenye fedha huingia kwenye biashara hii baada ya kuvutiwa na muuzaji na siyo kushawishiwa na biashara. Sasa hivi kuna watu wananunua hizi bidhaa nyingi kupita kiasi hata hawajui wazipeleke wapi ili tu kumpata huyo muuzaji. Kana kwamba haitoshi wachina nao wameingia ndani yake na kufanya soko liwe gumu zaidi hivyo nguvu kubwa kutumika kumshawishi "wateja" ambao pia hutumia nafasi hiyo kumaliza haja yao
 
hivi wale forever wanatusuaga kwel kimaisha au mbwembwe

Wapo wanaotusua ila percentage kubwa madem sa sijui kwa vile wao wanapost sana fb kuhusu mafanikio yao tofauti na wanaume or,, ila wapo wanaofanikiwa in material things kuhusu wao kukua kiakili na sekta nyingine sijui
 
Mbona mafanikio ya nyumba naonaga ni hiyo hiyo kwa member tofauti tofauti wa forever?au zinafanana tuu?mwingine atatumia the same house kusema ndo dream home yake hiyo anajenga.mwingine tayari kashajenga.same same house.mmmh.just curious

usije ukaingia chaka hao forever ni kama kamari.
 
Back
Top Bottom