FORBES: Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi’

FORBES: Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi’

Beware of pro-government media in your country, because it doesn’t open your eyes, it just makes you blind
Fake news have a short lifespan
Only fake people value fake news till you realize how easily it is for your mind to be manipulated, you remain puppet of someone else's


House is burning [emoji116][emoji116][emoji116]
IMG-20190620-WA0001.jpeg
 
Beware of pro-government media in your country, because it doesn’t open your eyes, it just makes you blind
Fake news have a short lifespan
Only fake people value fake news till you realize how easily it is for your mind to be manipulated, you remain puppet of someone else's


House is burning [emoji116][emoji116][emoji116]...
Ni vizuri unapoiba nukuu za watu wengine kuwapa angalau asante.
 
For great thinkers only!

Hizi mbinu zinatumiwa na nchi zote zinazojua siasa ya uchumi na maendeleo. Nafurahi kuona Tanzania imeingia kwenye league ya kufanya siasa za hivi. It is good for the country.

Msione Ulaya na Amerika zinaongelewa vizuri mkadhani hawana majanga yao kule. Ni propaganda zinafanyika kupitia media, vitabu, movies na kadhalika.

Tanzania inabalehe!
 
Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
wewe umemsaidiaje bibi yako kule kijijini kwenye kutuma post hii? akili ya nyumbu ni majanga tupu. Kmchimbie bibi yako kisima hacha uzwazwa
 
It's too here daah alafu hawajuw hata mpangilio wa uwongo
For great thinkers only!

Hizi mbinu zinatumiwa na nchi zote zinazojua siasa ya uchumi na maendeleo. Nafurahi kuona Tanzania imeingia kwenye league ya kufanya siasa za hivi. It is good for the country.

Msione Ulaya na Amerika zinaongelewa vizuri mkadhani hawana majanga yao kule. Ni propaganda zinafanyika kupitia media, vitabu, movies na kadhalika.

Tanzania inabalehe!
 
1132259


JARIDA la Forbes Afrika limeutaja utawala wa Rais John Magufuli kuwa ni wenye mafanikio yaliyotukuka hususani katika kukuza uchumi wa nchi kupitia nyanja za mawasiliano, utalii, kilimo na viwanda.

Forbes ni Jarida la biashara linaloangazia sekta za fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Jarida la wiki hii kwa toleo la Julai ambalo linapatikana kwenye mitandao ya kijamii pia, limeangazia Tanzania na kumhoji Rais John Magufuli pamoja na mawaziri watatu akiwamo Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla, Waziri wa Nishati, Medard Kelemani na aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda pia yumo Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga.

Jarida hilo lenye kurasa 40 limechambua kwa kina maendeleo ya utawala wa Rais Magufuli katika nyanja hizo nne muhimu tangu akingie madarakani mwaka 2015, huku mahojiano yake yakiwa katika mfumo wa maswali na majibu. Katika swali la kwanza ambalo jarida hilo lilitaka kufahamu ni kuhusiana na namna ambavyo Rais Magufuli ajulikanaye kwa jina la utani la tingatinga, alivyochukua hatua na anazotarajia kuchukua katika kuimarisha sekta ya mawasiliano nchini.

Rais Maguli alielezea kuwa kuendeleza bandari, reli pamoja na usari wa anga ni njia mojawapo kubwa za kukuza biashara na shughuli za kiuchumi ndani na nje ya nchi. Alibainisha kuwa miundombinu ya usari imechangia kukuza uchumi wa nchi kwa asilimia 4.4 mwaka 2012 hadi asilimia 16.6 mwaka 2017 ikiwa imechangia asilimia 6.0 kwenye pato la taifa mwaka 2017.

Alisema uwepo wa bandari ya Dar es Salaam umekuwa ni msaada mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi za jirani. Rais Magufuli alibainisha kuwa serikali yake baada ya kubainisha uhitaji wa usarishaji wa mizigo mkubwa kutokea Bandari ya Dar es Salaam kuelekea nchi jirani, imeanza ujenzi wa reli ya kisasa kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro yenye urefu wa kilimotea 300 na ya kuanzia Morogoro hadi Makutupora ya urefu wa Kilomtea 422.

Pia uboreshwaji wa njia za kawaida za reli na kwa pamoja kuiwezesha bandari ya Dar es Salaam kuhudumia hadi tani milioni 28 za mizigo. Kuhusiana na mchango wa usari wa anga, alisema kuwa ujenzi wa Uwanja wa Kimaitaifa wa Julius Nyerere utakaohudumia watu hadi milioni sita na nusu kwa mwaka, utachangia kukuza utalii huku akibainisha kuwa serikali imenunua ndege za kisasa zinazochangia kuongeza pato la taifa.

Aidha, Dk Magufuli alihojiwa na kutakiwa kuelezea mkakati wa serikali yake katika kukabiliana na changamoto ya ajira kwa miaka 15 hasa ikizingatiwa kuwa kuna idadi kubwa ya vijana wanaoingia katika soko la ajira. Akijibu hoja hiyo alibainisha kuwa dira ya elimu ya Tanzania ni kuwa na wasomi wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira na kuendana na matakwa ya kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na maendeleo ya taknolojia katika ngazi za kitaifa na kimataifa.

Alisema,“katika kuhakikisha kila kijana wa kitanzania ananufaika na nchi, serikali imeamua kutoa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili wajiandae kutoa mchango mkubwa kwa nchi, kila mwezi serikali inatumia zaidi ya Sh bilioni 23 na tangu kuanza kwa bure hii udahili umeongezeka kwa asilimia 35.2 kwa shule za msingi wakati za sekondari ni asilimia 20.1”.

Rais Magufuli pia alibainisha kuwa serikali yake imeanzisha na kuendeleza miradi mbalimbali ya umeme mbadala ambayo inasaidia nia ya dhati ya Tanzania kuwa nchi ya viwanda, hatua ambayo alisema imeokoa Dola za Kimarekani bilioni 4 kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2015 na 2017 ilizokuwa ikizitumia kuagizia nishati ya umeme kutokea nje (fossil fuels).

Rais Magufuli pia aliulizwa anadhani ni kuwa huu ndio muda mwafaka kwa wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini, alifafanua kuwa Tanzania ni eneo muhimu na la msingi zaidi kwa wawekezaji kuja kuwekeza hasa kutokana na uwepo wa rasilimali za uhakika za uwekezaji, mazingira mazuri ya kisiasa na kiuchumi pamoja na mifumo mizuri ya kufanyia biashara.

Alisema,“kama unavyoona nimekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wawekezaji wanapata mazingira bora na salama ya ufanywaji wa shughuli zao nchini, ili watusaidia kukia uchumi wa kati kama dira yetu inavyotaka, wafanyakazi wa serikali wamehamasishwa kutoa huduma kiufanisi ili kuwavutia wawekezaji zaidi”.

Alisema uchumi wa nchi unakuwa kwa kasi ikilinganishwa na miaka iliyopita na tumejipanga kukabiliana na mfumuko wa bei na ili kuendelea na hali hii nzuri tumejipanga kuboresha mazingira bora zaidi ya biashara kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi pamoja na kuwawezesha wafanyabiashara wanaochipukia kufanya vema.

Alichosema Waziri Kalemani Waziri Kalemani akizungumzia serikali ilivyojipanga kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika alisema, “lengo la serikali ni kuwa na megawati 5,000 kukia mwaka 2020 na angalau kuwa na megawati 10,000 mwaka 2025. Alieleza kuwa kwa kuanzia wameanza na ujenzi wa mradi wa umeme wa megawati 2,115 wa Mto Ruji hayo yakifanikiwa nchi itapaa zaidi kiuchumi, kwa sasa katika gridi ya taifa umeme unaopatikana ni gridi 1,600 na uhitaji utakuwa megawati 2,000 ikapo 2015”.

Waziri Kalemani alibainisha kuwa mwishoni mwa mwaka huu serikali imejipanga kujenga kiwanda cha uzalishaji wa gesi asilia kwa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 35. Alichosema Waziri Kigwangalla Alisema kuwa serikali kupitia wizara yake imefungua milango kuwaingiza watalii wengi zaidi nchini hasa kwa kuendelea kutangaza vivutio nje ya nchi, kuanzishwa kwa Kampuni ya Ndege Tanzania, ATCL, kutawaleta nchini watalii wengi zaidi huku zikiwapo kampuni nyingine za kimataifa zinazoendelea kutoa huduma.

Alisema, serikali imejipanga kujenga miji mitatu ya kiutalii ambapo mmoja utajengwa katika Mbuga ya Saadani iliyopo Pangani na nyingine katika mbuga mbili za wanyama. Alisema kutakuwa na kumbi mbalimbali za mikutano zitakazoweza kuwahudumia wateja hadi 3,000 kwa pamoja, hoteli za kisasa na viwanja vya michezo.

Wadau wa biashara waliohojiwa kwenye jarida hilo ni pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Motisun ambaye ni Mwenyekiti wa Shirikiso la Wenye Viwanda Tanzania(CTI), Subhash Patel, Osa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya dawa ya Shelys Pharmaceuticals, Dk Sanjay Advani, Osa Mtendaji Mkuu wa Benki ya CBA, Gift Shoko, Asa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bima Tanzania(NIC), Sam Kamanga.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi, Mkurugenzi wa Benki ya Stanbic, Kenrick Cockerill, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba pia Osa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Zantel, Brian Karokola na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedit Kakonko. Jarida hilo pia limemuenzi aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP ambaye pia alikuwa mfanyabiashara mkubwa hapa nchini marehemu Reginald Mengi aliyetangulia mbele ya haki Aprili, mwaka huu
 
Kumbe alikuwa anajielezea mwenyewe, nilidhani wameona wenyewe.

hivi hili Forbes sio la Mabeberu?
 
Asante kuniita, nimeitika,
Haya ndio majarida ya kizalendo na kiukweli kwa ajili ya kuleta maendeleo ya Africa, sio the Economist, kila siku wao ni kukandia.

Ni ukweli uliowazi, rais Magufuli amefanya mageuzi makubwa ambayo by 2025, yatakuwa yameibadili Tanzania kuwa ni nchi ya viwanda, nchi ya uchumi wa gesi na nchi ya uchumi wa kati kupitia :

Shirika kubwa la ndege la ATC, litakalo kuwa la 3 baada ya Ethiopia na SAA,
Tutakuwa na SGR ambapo bandari za Tanzania ndizo zita handle cargo ya Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia, Malawi na DRC.

Umeme wa Stigler sio tuu tuta export electricity, tunaweza ku electrify DART, magari yakatumia umeme.

Uchumi wa gesi kwa industrial power, na domestic use, hadi gesi ya majumbani, na magari kutumia gesi badala ya mafuta, India, hadi bajaj, zinatumia gesi!.

Maeneo yote yatakuwa accessible kupitia miondombinu ya mabarabara, reli, ndege, ma flyovers na ma interchanges kama ya Ubungo yatashehenezwa kote hivyo kurahisisha movement of people, goods and services.

Tutaboresha kilimo chetu kuwa ni kilimo cha kisasa kwa kutumia mechanized agriculture, na kutumia kilimo biashara kuzalisha malighafi ya viwanda.

Kupitia elimu bure, tutatengeneza taifa la kisomi lenye nguvu kazi ya kutosha na teknolojia ya kisasa kuendesha Tanzania ya viwanda.

Tanzania, itakuwa ni nchi ya viwanda, everything we producer kinakuwa processed humu humu nchini to add value, badala ya kuuza korosho ghafi, ambayo ina short life span, tutabangua korosho yote na ku export. Badala ya kuuza mahindi, tutauza unga, etc. Tutatengeneza almost everything, hivyo Tanzania kuwa an industrial power.

Yote haya hayawezi kufanikiwa bila a price to pay kwa mageuzi ya kisiasa kwenye democracy na human rights. 2020 yanakuja mageuzi makubwa ya Tanzanian democracy, uchaguzi wa 2020 utairudisha CCM in full control of this country, hivyo kufuatia hii kazi nzuri ya kuleta maendeleo anayoifanya rais Magufuli na serikali yake ya awamu ya 5, kutakako ifanya CCM, ikubalike sana na Watanzania, uchaguzi wa 2020 kwa huku bara, Watanzania wote wataichagua CCM tuu, hivyo Bunge lijalo ni Bunge la chama kimoja, na kukitokea mpinzani kurudi bungeni, ni mpinzani mmoja tuu, Zitto, kama asipogombea urais kwa tiketi ya upinzani, tena huyu atarejea kwa sababu yeye ni Mwami.
Haya pia ni mageuzi.

Magufuli atainyoosha nchi, hakutakuwa na rushwa na ufisadi, uzembe, uvivu kwa kusingizia mikutano ya kisiasa, na uzururaji kusingizia kufanya maandamano, kila mtu sio anaombwa kufanya kazi, au anabembelezwa kufanya kazi, bali kila mtu ni lazima afanye kazj, na asiye fanya kazi na asile, afe, hapa kazi tuu hata ikibidi kwa mijeledi. Ndivyo walivyofanya kina Seretse Khama wa Botswana, Tito wa Yugoslavia, Lee Kuan Yew wa Singapore, Mustafa Kemal wa Uturuki, hawa wote walitawala kwa mkono wa chuma kuzikomboa nchi zao toka umasikini na kuzigeuza tajiri, hivyo Magufuli ataigeuza Tanzania kuwa a Donor Country.

Pia tutakuwa na mageuzi kwenye media, right of information, access to information, na mambo ya human rights, ikiwemo freedom of expression, nchi yetu itakuwa iko vitani kwenye vita vya kiuchumi, mtu yoyote atakaye turudisha nyuma kwa mawazo, maneno na matendo, hawezi kuachwa hivi hivi akasurvive. Atafanywa nini, hili sio langu ni la vyombo husika, wakiwemo wale waodhaniwa ni wasiojulikana.

No gain without pain, hivi ndivyo the tiger walivyo pata maendeleo, anachikifanya Magufuli sasa, wengi mtakielewa 2025, na ikifika hayo hayakamilika, aendelee, akamilishe ndipo apumzike.
P
Mimi sijaona strategy yoyote ya kuleta mabadiliko ya kweli zaidi ya kulinda madaraka.
 
Mimi sijaona strategy yoyote ya kuleta mabadiliko ya kweli zaidi ya kulinda madaraka.
Magufuli sio mtu wa strategies, yaani kupanga mipango mikakati, yeye ni mtu wa action, vitendo, sio mpangaji bali Mtendaji, ameingia akakuta hatuna ndege, akauliza ndege zinauzwa wapi na bei gani?, akaambiwa, akamuita mwenye chungu
kuuliza chungu kikoje, akambiwa kimejaa, akatoa amri, chota, lipia ndege cash money, ndege hizo!. Zikishafika ndio zinapangiwa
routes.

Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno.
P
 
Fanya utafiti vizuri mkuu, familia yako wengi wao wanamtaka. Ili kujua hilo subiri uchaguzi 2020 hakuna mpinzani atakae ingia bungeni, labda ikitokea bahati sana atapita mmoja.
Hawatarudi kwa uchawi wa mama yako au?
 
Na ushahidi huu hapa! Hiyo habari imechapishwa na Penresa! Angalia Logo kwenye hiyo cover! Na Penresa wenyewe kwenye website yao wanaeleza hivi:-Hiyo ni kama marketing firm tu, kisha wanaendelea:-Unaona sasa?! Kumbe ukiwa na issue, mnaongea biashara, jamaa wanai-structure for innovative campaigns, kisha, this's how they do:-Kumbe, wakishaandaa marketing and promotional campaign, depending na pesa yako, wanaangalia wakatangaze wapi na kwa mfumo upi! Kwa case hii, kwa vile pesa haikutosha kutangaza Forbes Original, tangazo likapelekwa Forbes Academia (Forbes Africa) na kutangazwa kwa mtindo wa habari, lakini in reality, ni sponsored article!!
Mbona mnashabikiaga Lissu na Ngurumo wakiandika negatives mkubali pia postives zikiandikwa ama siyo na ninyi mtakua kama wenzenu wa Lumumba wa kusifu bila kukosoa



esther mashiker
Esther Mashiker
JF-Expert Member
Today at 7:36 AM
New
Add bookmark
#130
1561012603165-png.1132259

JARIDA la Forbes Afrika limeutaja utawala wa Rais John Magufuli kuwa ni wenye mafanikio yaliyotukuka hususani katika kukuza uchumi wa nchi kupitia nyanja za mawasiliano, utalii, kilimo na viwanda.

Forbes ni Jarida la biashara linaloangazia sekta za fedha, viwanda, uwekezaji na masoko. Jarida la wiki hii kwa toleo la Julai ambalo linapatikana kwenye mitandao ya kijamii pia, limeangazia Tanzania na kumhoji Rais John Magufuli pamoja na mawaziri watatu akiwamo Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamis Kigwangalla, Waziri wa Nishati, Medard Kelemani na aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda pia yumo Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga.

Jarida hilo lenye kurasa 40 limechambua kwa kina maendeleo ya utawala wa Rais Magufuli katika nyanja hizo nne muhimu tangu akingie madarakani mwaka 2015, huku mahojiano yake yakiwa katika mfumo wa maswali na majibu. Katika swali la kwanza ambalo jarida hilo lilitaka kufahamu ni kuhusiana na namna ambavyo Rais Magufuli ajulikanaye kwa jina la utani la tingatinga, alivyochukua hatua na anazotarajia kuchukua katika kuimarisha sekta ya mawasiliano nchini.

Rais Maguli alielezea kuwa kuendeleza bandari, reli pamoja na usari wa anga ni njia mojawapo kubwa za kukuza biashara na shughuli za kiuchumi ndani na nje ya nchi. Alibainisha kuwa miundombinu ya usari imechangia kukuza uchumi wa nchi kwa asilimia 4.4 mwaka 2012 hadi asilimia 16.6 mwaka 2017 ikiwa imechangia asilimia 6.0 kwenye pato la taifa mwaka 2017.

Alisema uwepo wa bandari ya Dar es Salaam umekuwa ni msaada mkubwa katika kukuza uchumi wa nchi za jirani. Rais Magufuli alibainisha kuwa serikali yake baada ya kubainisha uhitaji wa usarishaji wa mizigo mkubwa kutokea Bandari ya Dar es Salaam kuelekea nchi jirani, imeanza ujenzi wa reli ya kisasa kuanzia Dar es Salaam hadi Morogoro yenye urefu wa kilimotea 300 na ya kuanzia Morogoro hadi Makutupora ya urefu wa Kilomtea 422.

Pia uboreshwaji wa njia za kawaida za reli na kwa pamoja kuiwezesha bandari ya Dar es Salaam kuhudumia hadi tani milioni 28 za mizigo. Kuhusiana na mchango wa usari wa anga, alisema kuwa ujenzi wa Uwanja wa Kimaitaifa wa Julius Nyerere utakaohudumia watu hadi milioni sita na nusu kwa mwaka, utachangia kukuza utalii huku akibainisha kuwa serikali imenunua ndege za kisasa zinazochangia kuongeza pato la taifa.

Aidha, Dk Magufuli alihojiwa na kutakiwa kuelezea mkakati wa serikali yake katika kukabiliana na changamoto ya ajira kwa miaka 15 hasa ikizingatiwa kuwa kuna idadi kubwa ya vijana wanaoingia katika soko la ajira. Akijibu hoja hiyo alibainisha kuwa dira ya elimu ya Tanzania ni kuwa na wasomi wenye uwezo wa kushindana kwenye soko la ajira na kuendana na matakwa ya kiuchumi, kisiasa, kijamii, kiutamaduni na maendeleo ya taknolojia katika ngazi za kitaifa na kimataifa.

Alisema,“katika kuhakikisha kila kijana wa kitanzania ananufaika na nchi, serikali imeamua kutoa elimu bure kwa wanafunzi wa shule za msingi na sekondari ili wajiandae kutoa mchango mkubwa kwa nchi, kila mwezi serikali inatumia zaidi ya Sh bilioni 23 na tangu kuanza kwa bure hii udahili umeongezeka kwa asilimia 35.2 kwa shule za msingi wakati za sekondari ni asilimia 20.1”.

Rais Magufuli pia alibainisha kuwa serikali yake imeanzisha na kuendeleza miradi mbalimbali ya umeme mbadala ambayo inasaidia nia ya dhati ya Tanzania kuwa nchi ya viwanda, hatua ambayo alisema imeokoa Dola za Kimarekani bilioni 4 kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2015 na 2017 ilizokuwa ikizitumia kuagizia nishati ya umeme kutokea nje (fossil fuels).

Rais Magufuli pia aliulizwa anadhani ni kuwa huu ndio muda mwafaka kwa wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini, alifafanua kuwa Tanzania ni eneo muhimu na la msingi zaidi kwa wawekezaji kuja kuwekeza hasa kutokana na uwepo wa rasilimali za uhakika za uwekezaji, mazingira mazuri ya kisiasa na kiuchumi pamoja na mifumo mizuri ya kufanyia biashara.

Alisema,“kama unavyoona nimekuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha kuwa wawekezaji wanapata mazingira bora na salama ya ufanywaji wa shughuli zao nchini, ili watusaidia kukia uchumi wa kati kama dira yetu inavyotaka, wafanyakazi wa serikali wamehamasishwa kutoa huduma kiufanisi ili kuwavutia wawekezaji zaidi”.

Alisema uchumi wa nchi unakuwa kwa kasi ikilinganishwa na miaka iliyopita na tumejipanga kukabiliana na mfumuko wa bei na ili kuendelea na hali hii nzuri tumejipanga kuboresha mazingira bora zaidi ya biashara kwa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi pamoja na kuwawezesha wafanyabiashara wanaochipukia kufanya vema.

Alichosema Waziri Kalemani Waziri Kalemani akizungumzia serikali ilivyojipanga kuhakikisha upatikanaji wa umeme wa uhakika alisema, “lengo la serikali ni kuwa na megawati 5,000 kukia mwaka 2020 na angalau kuwa na megawati 10,000 mwaka 2025. Alieleza kuwa kwa kuanzia wameanza na ujenzi wa mradi wa umeme wa megawati 2,115 wa Mto Ruji hayo yakifanikiwa nchi itapaa zaidi kiuchumi, kwa sasa katika gridi ya taifa umeme unaopatikana ni gridi 1,600 na uhitaji utakuwa megawati 2,000 ikapo 2015”.

Waziri Kalemani alibainisha kuwa mwishoni mwa mwaka huu serikali imejipanga kujenga kiwanda cha uzalishaji wa gesi asilia kwa kiasi cha Dola za Marekani bilioni 35. Alichosema Waziri Kigwangalla Alisema kuwa serikali kupitia wizara yake imefungua milango kuwaingiza watalii wengi zaidi nchini hasa kwa kuendelea kutangaza vivutio nje ya nchi, kuanzishwa kwa Kampuni ya Ndege Tanzania, ATCL, kutawaleta nchini watalii wengi zaidi huku zikiwapo kampuni nyingine za kimataifa zinazoendelea kutoa huduma.

Alisema, serikali imejipanga kujenga miji mitatu ya kiutalii ambapo mmoja utajengwa katika Mbuga ya Saadani iliyopo Pangani na nyingine katika mbuga mbili za wanyama. Alisema kutakuwa na kumbi mbalimbali za mikutano zitakazoweza kuwahudumia wateja hadi 3,000 kwa pamoja, hoteli za kisasa na viwanja vya michezo.

Wadau wa biashara waliohojiwa kwenye jarida hilo ni pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Motisun ambaye ni Mwenyekiti wa Shirikiso la Wenye Viwanda Tanzania(CTI), Subhash Patel, Osa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya dawa ya Shelys Pharmaceuticals, Dk Sanjay Advani, Osa Mtendaji Mkuu wa Benki ya CBA, Gift Shoko, Asa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Bima Tanzania(NIC), Sam Kamanga.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi, Mkurugenzi wa Benki ya Stanbic, Kenrick Cockerill, Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), James Kilaba pia Osa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Zantel, Brian Karokola na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Deusdedit Kakonko. Jarida hilo pia limemuenzi aliyekuwa Mwenyekiti wa IPP ambaye pia alikuwa mfanyabiashara mkubwa hapa nchini marehemu Reginald Mengi aliyetangulia mbele ya haki Aprili, mwaka huu
 

Hawa Forbes Africa la Johannesburg Gauteng South Africa watakuwa wamepewa pesa kuipamba serikali ya CCM ya awamu ya tano. Magazine halisi ya Forbes ya America haiwezi kukubali kutumika kama www.ForbesAfrica.com


Forbes magazine la Forbes Media ni la uhakika www.forbes.com la Jersey City, New Jersey USA haliwezi kukubali kununuliwa kuwahadaa wawekezaji wa ukweli :
Malcolm Stevenson "Steve" Forbes Jr. is an American publishing executive, who was twice a candidate for the nomination of the Republican Party for President of the United States. Forbes is the Editor-in-Chief of Forbes, a business magazine.

Forbes Media Chairman Steve Forbes weighs in on the corporate tax rate and on growing the economy.

Lakini unayaamini ya Ansbert Ngurumo na Mwanahalisi lenye waandishi wa habari wenye elimu ya kuungaunga sababu wanakiandika unachopenda kukiona. Acheni hizo tabia mbofumbofu ninyi wabongo
 
Back
Top Bottom