britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
kama nakuona unavyo harisha hahahaha ingekuwa imeandika ni dictator ungepanua mdomo kama pazia hahahahaha pole sanaHabari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
hii itakua ni Forbes ya Lumumba
Lumumba banaaaaFORBES wanasema Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi, mleta maendeleo’, ndani ya story hiyo wanaeleza mafanikio kedekede ya serikali yake
View attachment 1131146
Kabisa MTU ambaye toka ameingia madarakani ametekeleza bajeti zake za maendeleo chini ya asilimia 35 kwa miaka mitatu mfululizo vichekesho .hii itakua ni Forbes ya Lumumba😂😂
Hii nini hapa?FORBES wanasema Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi, mleta maendeleo’, ndani ya story hiyo wanaeleza mafanikio kedekede ya serikali yake
View attachment 1131146
Na hii hapa je? (bofya)Hii nini hapa?
Ni jukumu lako kumsaidia nyanya yako mkuu si la Magufuli.Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
Forbes ni gazeti la kibiashara na wafanya biashara. Wanajua fika kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi. Ili mambo yakae sawa, lazima mistakes zitakuwepo.Hao fobers wanajua lakin kuwa korosho zinaozea gharani
Kama korosjo itakua hasara itakua bahati mbaya tu kwa serikali lakini si kwa wakulima ambao serikali itakua imewapigia kifua kwa dhuluma ya wafanya biashara waliyotaka kuwadhulumu kwa kula njama kuweka bei ndogo. Hata hivyo bado kuna uwezekano wa korosho hizo kuuzwa.Hao fobers wanajua lakin kuwa korosho zinaozea gharani
Lakini wananchi hatumtaki kabisaaaaHawa Forbes Africa watakuwa wamepewa pesa kuipamba serikali ya CCM ya awamu ya tano. Magazine halisi ya Forbes ya America haiwezi kukubali kutumika kama www.ForbesAfrica.com
FOCUS ON TANZANIA: Investing In The Future: Tanzania’s Blueprint To Become A Middle Income Nation
Under the guidance of President John Pombe Joseph Magufuli, Tanzania is scheduled to become a middle income nation by 2025. The Development Vision 2025 is focused on creating peace and stability, freedom from corruption, investment in the education of the Tanzanian people and a competitive and...www.forbesafrica.com
Forbes magazine la uhakika www.forbes.com la Jersey City, New Jersey USA haliwezi kukubali kununuliwa kuwahadaa wawekezaji wa ukweli :
Malcolm Stevenson "Steve" Forbes Jr. is an American publishing executive, who was twice a candidate for the nomination of the Republican Party for President of the United States. Forbes is the Editor-in-Chief of Forbes, a business magazine.
Sema mimi simtaki kabisaLakini wananchi hatumtaki kabisaaaa