FORBES: Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi’

FORBES: Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi’

Ukimwona mtu mwerevu anakusifia unapofanya ujinga, ujue kuna kitu anakunyenga huyo.

Magufuli kawabana "mabeberu" kwa namna ambayo hawakutegemea halafu haipo kwenye vitabu, kawapiga loba kihunihuni.

The Economist wamejaribu kumsema vibaya wakaona hajali. Anazidi kuwapiga marungu kama hana akili nzuri.

Sasa hawa Forbes wamekuja kivingine wajaribu kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvika kilemba cha ukoka.

Siwezi kushangaa nikisikia Forbes ana represent interests fulani za wakubwa wanaotaka kumlegeza Magufuli wale nchi vizuri. Au akitinga Bongo kukutana na Magufuli.

Suspect namba moja ni mashirika ya uchimbaji dhahabu.

Hawa watu wako strategic kuliko wengi wanavyofikiri.

I used to subscribe to Forbes but I stopped because of this type of mind games.

One is better off with The Economist.
 
Ukimwona mtu mwerevu anakusifia unapofanya ujinga, ujue kuna kitu anakunyenga huyo.

Magufuli kawabana "mabeberu" kwa namna ambayo hawakutegemea halafu haipo kwenye vitabu, kawapiga loba kihunihuni.

The Economist wamejaribu kumsema vibaya wakaona hajali. Anazidi kuwapiga marungu kama hana akili nzuri.

Sasa hawa Forbes wamekuja kivingine wajaribu kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kumvika kilemba cha ukoka.

Siwezi kushangaa nikisikia Forbes ana represent interests fulani za wakubwa wanaotaka kumlegeza Magufuli wale nchi vizuri. Au akitinga Bongo kukutana na Magufuli.

Suspect namba moja ni mashirika ya uchimbaji dhahabu.

Hawa watu wako strategic kuliko wengi wanavyofikiri.

I used to subscribe to Forbes but I stopped because of this type of mind games.

One is better off with The Economist.
That might be true
 

Hawa Forbes Africa la Johannesburg Gauteng South Africa watakuwa wamepewa pesa kuipamba serikali ya CCM ya awamu ya tano. Magazine halisi ya Forbes ya America haiwezi kukubali kutumika kama www.ForbesAfrica.com


Forbes magazine la Forbes Media ni la uhakika www.forbes.com la Jersey City, New Jersey USA haliwezi kukubali kununuliwa kuwahadaa wawekezaji wa ukweli :
Malcolm Stevenson "Steve" Forbes Jr. is an American publishing executive, who was twice a candidate for the nomination of the Republican Party for President of the United States. Forbes is the Editor-in-Chief of Forbes, a business magazine.

Forbes Media Chairman Steve Forbes weighs in on the corporate tax rate and on growing the economy.

We’ll elaborated 👏🏽👏🏽👏🏽
 
Hao "tunaoshabikia" ni akina nani? Btw, hizo unazoita negatives ni nini?! Ina maana wakisema Utawala wa Magufuli unakiuka katiba wakati ni kweli unakiuka katiba; hiyo ni negative?! Ina maana wakisema Utawala wa Magufuli unakandamiza vyama vya upinzani wakati ni kweli unakandamiza upinzani, how come unaita negative?! Kuusema ukweli~

Nimeshasema hapo kabla kwamba, hiyo habari sio ya Forbes Africa bali ni taarifa iliyowekwa hapo na Penras kwa malipo maalumu! Na hao Penras na wenyewe wamelipwa na serikali kufanya hiyo kazi! In short, haina tofauti na Dr, Mwaka anavyolipa mamilioni ya pesa kwenye tv stations kutangaza kwamba anaweza kumfanya mgumba azae hata kama huenda asiwe na huo uwezo! Matangazo ya Dr. Mwaka pale Star Tv huwezi kusema Star tv wametangaza xyz!

Kusoma hamjui, ina maana hata picha ukutani hamzioni?
Sasa unauliza nini usichokielewa ama kiswahili hukielewi mkuu. Nina maana kama ukisupport anapokosolewa basi pale anaposifiwa kwa mazuri usijifanye kukandia. Nionavyo mimi kama Forbes wangekandia ungewakubali lakini kwakua wameandika usichokipenda basi unasema siyo wanahabari wazuri.

Sukulaumu ndiyo akili ya watanzania wapenda vyama kazi kusifia vyama wanavyovipenda na kukandia wasivyovipenda na hii nazungumzia kwa nyumbu wenzenu wa ccm pia.
 
Sasa unauliza nini usichokielewa ama kiswahili hukielewi mkuu. Nina maana kama ukisupport anapokosolewa basi pale anaposifiwa kwa mazuri usijifanye kukandia. Nionavyo mimi kama Forbes wangekandia ungewakubali lakini kwakua wameandika usichokipenda basi unasema siyo wanahabari wazuri.

Sukulaumu ndiyo akili ya watanzania wapenda vyama kazi kusifia vyama wanavyovipenda na kukandia wasivyovipenda na hii nazungumzia kwa nyumbu wenzenu wa ccm pia.
Man, huyo JPM amesifiwa na Forbes ipi wakati ukweli ni kwamba wamelipa pesa ili wasifiwe?! Ilipokuja tu hii post, watu niliwaambia hawa jamaa wamelipa pesa ili wasifiwe! Pitia post yangu hii: https://www.jamiiforums.com/threads...ais-mwanamageuzi.1597251/page-2#post-31883770

Wengine wakadhani masihara! Siku 1 au 2 baadae ikaletwa doc hapa JF ikithibitisha kile kile ambacho nilikisema siku ya kwanza! That being said, Forbes haijamsifia JPM bali JPM na serikali yale waliilipa Penresa ambayo ni consulting firm, na hawa Penresa wakaandaa marketing doc wakaipeleka Forbes Africa na kuilipia ili itolewe kama habari!

Halafu pole sana kama unadhani kila anayepinga basi ni mfuasi wa chama fulani, sina budi kukupa pole tena na tena! Watu tunakandia na ku-support issue regardless hiyo issue inafanywa na nani! Mtu hawezi kulipa pesa imsifie halafu tuseme anasifiwa wakati kilichopo Forbes ni sponsored article!
 
Man, huyo JPM amesifiwa na Forbes ipi wakati ukweli ni kwamba wamelipa pesa ili wasifiwe?! Ilipokuja tu hii post, watu niliwaambia hawa jamaa wamelipa pesa ili wasifiwe! Pitia post yangu hii: https://www.jamiiforums.com/threads...ais-mwanamageuzi.1597251/page-2#post-31883770

Wengine wakadhani masihara! Siku 1 au 2 baadae ikaletwa doc hapa JF ikithibitisha kile kile ambacho nilikisema siku ya kwanza! That being said, Forbes haijamsifia JPM bali JPM na serikali yale waliilipa Penresa ambayo ni consulting firm, na hawa Penresa wakaandaa marketing doc wakaipeleka Forbes Africa na kuilipia ili itolewe kama habari!

Halafu pole sana kama unadhani kila anayepinga basi ni mfuasi wa chama fulani, sina budi kukupa pole tena na tena! Watu tunakandia na ku-support issue regardless hiyo issue inafanywa na nani! Mtu hawezi kulipa pesa imsifie halafu tuseme anasifiwa wakati kilichopo Forbes ni sponsored article!
Why do you behave like a little tiny TWERP?
 
Why do you behave like a little tiny TWERP?
Sindano zimekuingia mnafiki mtetezi wa ruling class huku ukijifanya hauna upande!!! Simple and clear, umekuja hapa kusaidia kuimba nyimbo za Lumumba wenzako, na badala ya kupigwa sindano bila dawa, unakuja juu na kuanza kashifa! Jibu hoja! Argue kwamba hiyo sio sponsered article badala ya kuanza kauli za maudhi ambazo I don't think you have the muscles to go on with that kind of shit! Again, jibu hoja or else, I doubt if you have what it takes to argue with these kinds of stuff!

Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni! Uliwahi kuona wapi ordinary news, or even ordinary report ndani yake inakuwa na matangazo ya biashara kibao! Umelogwa wewe!!!
 
Magufuli amefanya mageuzi, hilo halina ubishi.
Wanaompinga wanatakiwa waoneshe athari za mageuzi hayo kuwa ni hasi zaidi kuliko chanya, lakini kusema hajafanya ni ujinga tu.
😂😂😂😂😂😃
 
Wa Tz hivi ndivyo tunavyodanganywa na kuibiwa, uvivu wetu wa kutosoma na kutochunguza mambo ndio unaosababisha tuwe masikini milele. Hilo sio toleo rasmi la Forbes Africa, hao Penresa ni independent author kwa maana sio wafanyakazi wa Forbes. Ukiingia kwenye site yao kazi yao ni marketing hivyo kuna uwezekano mkubwa mtu wa lumumba kawapa pesa ili wa advitise mafanikio ya jiwe, hakuna toleo hilo la forbes africa ambalo headline yake yupo jiwe na hao wauza sura wengine, acheni ujinga.
 
Nimekuwa nikijiuliza kama kweli JPM in binadamu na mkaazi halisi Wa dunia hii au labda ni Malaika Fulani aliyetumwa na Mungu kuikomboa Tanzania, viva JPM,love you
 
Usitegemee nchi mzima wote wakawa na maisha mazuri survival for the fittest itaendelea kuwa formula hata aje kiongozi gani. Usitegemee Kwa nchi kama Tanzania kila mmoja awe tajiri
Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
 
FORBES wanasema Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi, mleta maendeleo’, ndani ya story hiyo wanaeleza mafanikio kedekede ya serikali yake

View attachment 1131146

View attachment 1131373
muda wa mapumziko tupate kikombe😃😃😃😃
1137617
 
Habari mbaya kwa #Chahali na #Ngurumo wanatamani Tanzania itawanyike ili tabiri zao zitokee lakini haiwezekani hata kidogo ,Nchi inaNg'ara
 
Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
Sasa kama wewe umeshindwa kumsaidia bibiako kijijini umekalia tu kupost jf ujinga unafikiri kuna mtu wa kumsaidia?
 
Nimekupenda sana na wewe nimuelewa mzuri kidogo tu nikusaidie kwanza hayupo aliyekamilika kwa asliamia miamoja ni mungu tu,hivyo basi hata wewe unafiti baadhi ya maeneo kwingine hufiti japo sheria zipo mfano unaambiwa Barbara hii speed limit ni hamsini wewe unaendesha sabini ,unaonywa kesho pia vivyo hivyo unaonywa kwa maneno yako ulitaka wakunyang'anye gari lako usiweze kuendesha kwa sababu unatenda kosa mara kwa mara jibu ni hapana,hivyo basi kama yapo mapungufu yanarekebishika hata nyumba ikiwa na ufa unazibwa siyo kubomoa nyumba yote na kumuita baba mwenyenyuma hana akili.
"---kujenga reli, bwawa la umeme, meli ziwa Victoria, upanuzi bandari dar, reli ya zamani'" vyote hivi ni vitu vizuri kwa maendeleo ya nchi yetu, hata mimi navipenda sana. Na kuvifanya hivi hakuzuiwi na yeyote hata kama angeona kuwa sio vya maana.
Unaposema sieleweki ni kwamba wewe akili yako yote imechotwa na vitu hivyo. Uzuri wa vitu hivyo wewe umeviona inatosha kabisa hata wakati vinapotimizwa mengine yote tuyasahau. Sheria zispofuatwa kwa matakwa ya mtu au kundi, asihojiwe kwa sababu anatimiza matengenezo ya vitu tunavyovipenda.
Kifupi ni kwamba, wewe bei ya utu wako ni sawa au pungufu ya vitu hivyo. Inatosha kabisa kukuondolea utu wako kwa sababu umepata vitu. Huna tofauti na mtoto anayetulizwa kwa kupewa peremende ili asahau maumivu ya kupata chanjo.
 
Nimekupenda sana na wewe nimuelewa mzuri kidogo tu nikusaidie kwanza hayupo aliyekamilika kwa asliamia miamoja ni mungu tu,hivyo basi hata wewe unafiti baadhi ya maeneo kwingine hufiti japo sheria zipo mfano unaambiwa Barbara hii speed limit ni hamsini wewe unaendesha sabini ,unaonywa kesho pia vivyo hivyo unaonywa kwa maneno yako ulitaka wakunyang'anye gari lako usiweze kuendesha kwa sababu unatenda kosa mara kwa mara jibu ni hapana,hivyo basi kama yapo mapungufu yanarekebishika hata nyumba ikiwa na ufa unazibwa siyo kubomoa nyumba yote na kumuita baba mwenyenyuma hana akili.
Hello, mawazo yako ni tofauti sana, tena sana na yangu. Tanzania haina mwenye nyumba, ni nyumba yetu sote.
Panapotokea ufa, ni jukumu letu kurekebisha ufa huo, ikiwa ni pamoja na kumwondoa fundi anayesababisha ujenzi mbovu wa kuleta nyufa hizo.
Nadhani leo umeamka vibaya, kwa sababu maneno uliyoandika hapo juu na huo mfano wako havionyeshi kwamba unaelewa kitu chochote maishani mwako.
 
Back
Top Bottom