britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
- Thread starter
- #101
OriginaalFake
OriginaalFake
Ktk familia yako si kila mmoja ananafsi yake na mawazo yake? Umepata wapi mamlaka yakuwachagulia wengine au kufikiri kwa niaba yao? Hueshimu ktk demokrasia?Haina haja ya utafiti, elewa tu Mimi na familia yangu hatumtaki....wewe na wengine endeleeni kumtaka ..ni Haki yenu na hata wapinzani wasipoingia Bungeni 2020...nasisitiza Mimi na familia yangu Hatumtaki...ni hivyo tu...
😱😱😱Ni yenyewe
Wakisifia mnawaita marafiki wakiwakosoa mnawaita mabeberu wezi wa rasilimali.kama nakuona unavyo harisha hahahaha ingekuwa imeandika ni dictator ungepanua mdomo kama pazia hahahahaha pole sana
Inatia moyo sana kuona kwamba sasa na sisi tunao watu wa aina yake. Watu wasiokubali kulishwa matango tu bila ya kuhoji ni matango ya aina gani...'matango pori' au yaliyolimwa shambani.Umechangia hoja kisomi hasa.
Safi sana
LOooh, angalia 'panel' ya sponsors hao!FORBES wanasema Rais Magufuli ni ‘Rais Mwanamageuzi, mleta maendeleo’, ndani ya story hiyo wanaeleza mafanikio kedekede ya serikali yake
mkuu nimependa jinsi watu walivyofunguka sana juu ya hili suala hapa, na kuwafungua macho wengine?LOooh, angalia 'panel' ya sponsors hao!
'Penresa' ndio 'Cambridge Analytica' yetu?
Hao fobers wanajua lakin kuwa korosho zinaozea gharani
Hao bibi zenu vijijini kama huwa hamuendi kuwasaidia magufuli ndio atawasaidia kila kitu?.
1.Haujui kuwa wanatibiwa bure?
2. Huoni ulinzi wao dhidi ya wauaji kwa imani za kishirikina umepungua sana
3. Huoni kuwa ninyi mliowatelekezea bila msaada Magufuli kaamua kuwasomesheeni watoto Bure?
4. Mnajaza makalio yenu kula michips kuku ya DAR wakati Magufuli anawatengenezea mabarabara, na maji
5. umeme wanaunganishiwa kwenye nyumba zao za nyasi ambazo mmeshindwa hata kuzipaua
6. Mmekalia milupo mijini na kulalamika kwa kila hatua ya mafanikio ya Magufuli wakati bibi zenu wanaanzishiwa miradi midogo kupitia Tasaf?
Watanzania sio mabwege tena mkawalaghai na vipropaganda uchwara eti "bibi wa kijijini anafaidikaje"? Wakati wakaazi wa vijijini wanainjoi maisha kama mijini tena bila STRESS.
1.kama bia za baridi wanakunywa
2. Zahanati kila mtaa na dawa zipo
3. Watoto wanasoma bure
4. Zamani mlikuwa mnawaringishia kunywa chai siku hizi halipo hilo
5. Bodaboda, vifodi au daladala rundo tena wanashushiwa milangoninmwao
6. Wanaangalia Tv kwenye matembe yao
7. Nyumba za kisasa zinajengwa wakati mnaojidai wa mijini mnapanga room za kajamba nani
8. minara ya mawasiliano kila kijiji.
Aisee mikono imechoka kutype. Muukubali tu mziki wa uncle Magu vinginevyo mtapanuka mioyo
Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
Mageuzi yaweza kuwa na athari chanya au hasi. Jadili mageuzi kwa kutazama pande zote (chanya na hasi), siyo uelekeo mmoja tu.Amefanya mageuzi au amejikita kwenye miundombinu mbinu kwa nguvu zake zote? Mageuzi yangeanzia kwenye taratibu, sheria na katiba. Huenda hujui mageuzi yana maana gani kwa upana wake, hivyo unajikuta unachanganya kati ya mageuzi na miundombinu mbinu mingi.
Mfano mrahisi wa mageuzi tungeliona sera zingebadilika, tungeona mifumo ikibadilika kama badala ya yeye kuteua kila Mkuu wa taasisi za umma zoezi hilo lingefanywa na taasisi nyingine. Nguvu zingehama kutoka kwa mtu na kuwa na taasisi imara. Kama hayo hayajafanywa basi ujue hiyo miundo mbinu sio mageuzi bali ndio matumizi halisi ya mikopo na kodi za wananchi. Kama ili mtu kuwa kiongozi bado wizi wa kura kupitia tume isiyo huru ya uchaguzi ndio inatoa maamuzi hayo sio mageuzi.
Haimsaidii chochote lakini Porojo za Mange Shangazi Sarungi ndiyo zenye tija na zinasaidia Mabibi zetu vijijini.Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama
Kwani habari ya mtu kwenda kuitundulisu nchi kwa wafadhiri kama world bank (wanaofadhiri miradi kama ya afya na maji ili bibi yako apate maji safi na salama) inamsaidiaje bibi yako kule kijijini?Habari hii inamsaidia vipi bibi yangu kule kijijini ambaye anatumia maji yasiyo safi na salama