Na nimecheka haswa mpendwa manake sikutegemea jibu kama hilo lol...Cheka uongeze siku za kuishi..............ha ha ha eti nimepinda nimechekaje kha!!!
Sasa mume wangu kipenzi nitonye umempelekea copy ya nini?
asante saana CHARMnglady ila mimi kinaja mwenzio wataka ninyima nini miye
Naibili ni DUME
ndiyo mana mimi mpaka leo nausoma mchezo tu huku..................na kule siasan leo kumechafuka vibaya sana
kweli mkuu nnatumia ka mchina<br />By Naibili<br />
haah kati ya maneno yote umeona mlango wa nyuma, lakini asante mkuu
<br />
Unatumia simu wewe hiyo post namba tano (5) haisomeki
Amen na iwe hivyo mke mwenza.Weeee..... FYI mapenzi yetu sasa hivi yako "kileleni".... Hakuna wa kututenganisha bana........
kileleni maana yake safari yenu imefika ukingoni, karibu tuanze safari mpya<br />By marejesho<br />
Weeee..... FYI mapenzi yetu sasa hivi yako "kileleni".... Hakuna wa kututenganisha bana........
Amen na iwe hivyo mke mwenza.
Hapana. Mbona hapa maandishi yametokea vizuri?kuna kitu hamjaniambia uwongo unaruhusiwa??