Ni ujinga unapoenda kununua kalamu ya wino na kusema, 'naomba bic 1, 2...', ilhali bic ni brand name ya pen kama ilivyo speedo, cello n.k.
Ni ujinga, tena sana unapoenda dukani kununua mahitaji yako mbalimbali na kumwambia muuzaji, 'naomba sukari kilo 1, maharage kilo 3, mchele kilo 4 n.k.' ilhali unatoa pesa. Utaombaje wakati unalipia hizo bidhaa?!