Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
Mu Israel unawadanganya watu flyovers ulizoweka ni za kiwango cha juu na ni za aina yake duniani, hizi ulizoweka ziko Texas Marekeni na ni kubwa kuliko zote duniani
Mu - Israeli unaota ndoto nzuri sana, nimezipenda.
Ndoto za alinacha.Dar itapendeza sana na fly-overs hizi !!
umesema tukizinasa hizo trilioni 16 nakuwa na wasiwasi, ungesema tutazinasa hizo trilioni 16 ningekuwa sina wasiwasi. kwa hiyo bado ni ndoto tu kuwa na flyovers.
Ndoto za alinacha.
kaka mbona picha yako ya profile ni yaki freemason?