Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Aisee mayweather mbona anaogopa. Ukimcheki machoni kuna woga.
 
Naona Justin Bieber kama kawa...ila leo yuko nyuma nyuma sijui kwa nini ......
 
Wengine Wote Kaeni Kimya.Tunataka Watu Makini Wawili Au Watatu Watupe Updates Za Pambano.Naona Wengine Mnaongea Us*ng* Tu.Wakati Watu Tunataka Kujua Kinachoendelea Uko.
 
mungu amesaidia nimeenda chanell one nimepata mpambano toka saa10 love it...........!

Hivi kuna nini mbona kwangu ss wako vizuri chanel kibao zinaonesha au mnalipa nusu ..! Na dola ilivyokwenda juu mtakomaje?
 
Ndege mjanja karuka mwisho katua kwenye tundu bovu.. hehehe Mayweather leo utajuta waliokuingiza chaka la Mfilipino khe khe khe
 
Land of the free and home of the brave:usa2::usa2::usa2::usa2::usa2::usa2:

Happenings za USA zinawakeshesha wala vumbi teh teh teh
hahahaha!!!! em nyamaza sababu unatia kichefuchefu, half americans tu wanaonwa kama maviii huko utakuwa wewe mndengereko!!!! please be African cause wazungu hawakutambui na wala hufanani nao. #africanmatters
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom