Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Hivi kwa nini lakini hiyo entourage ya Money May ina mijamaa mirefu halafu minene tena yenye matiti?

Najua pengine ni walinzi lakini hata kama ni walinzi kwa nini asiajiri walio na physique nzuri?

Mijamaa ile usikute hata kukimbia haiwezi.

Hahahhaa aisee umenichekesha, eti haiwezi hata kukimbia😄😄😄
 
Dstv ni wezi tu wanaona ili pambano ni wale waliolipia full package . Kwanini wasingeonyesha hata super sport 2

fusra za biashara ..... ni sawa na mashati ya shule yangepanda bei siku ya zari white party.
 
Hivi kwa nini lakini hiyo entourage ya Money May ina mijamaa mirefu halafu minene tena yenye matiti?

Najua pengine ni walinzi lakini hata kama ni walinzi kwa nini asiajiri walio na physique nzuri?

Mijamaa ile usikute hata kukimbia haiwezi.

hahahaha kukimbia wakimbilie wapi mkuu!! hao ndo wenyewe yani inatakiwa yamkinge jamaa sio mbio na hii ina maana ukimsogelea jamaa ni kitu kimoja tu LAZIMA UKAE
 
Mary J Blige, Charles Barkley, Robert De Niro in da house.
 
Nataka kuamini Mayweather yuko tense, i swear i do, but i know better.
 
Haya sasa wale wenye package za mchele kalaleni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom