kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
MUIMBAJI mahiri wa nyimbo za Injili hapa nchini, Flora Mbasha, amefungua studio yake inayokwenda kwa jina la Flem.
Kwa mujibu wa msanii huyo, Flem Studio iko Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam na wamepania kutoa kazi zenye ubora wa uhakika na gharama nafuu.
Mbasha alisema katika studio hiyo wanarekodi Audio na Video katika viwango bora na gharama nafuu.
Pia aliongeza kuwa pia kuna huduma ya hosteli, ambako malazi ni bure kwa wale wanaotokea mikoani.
Msanii huyo anatamba na nyimbo zake mbalimbali zenye ujumbe wa kumsifu na kumwabudu Mungu zikiwemo, Tanzania , Unifiche , Maisha ya Ndoa , Aliteseka , Jipe Moyo , Furaha Yako na nyinginezo.
Kwa mujibu wa msanii huyo, Flem Studio iko Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam na wamepania kutoa kazi zenye ubora wa uhakika na gharama nafuu.
Mbasha alisema katika studio hiyo wanarekodi Audio na Video katika viwango bora na gharama nafuu.
Pia aliongeza kuwa pia kuna huduma ya hosteli, ambako malazi ni bure kwa wale wanaotokea mikoani.
Msanii huyo anatamba na nyimbo zake mbalimbali zenye ujumbe wa kumsifu na kumwabudu Mungu zikiwemo, Tanzania , Unifiche , Maisha ya Ndoa , Aliteseka , Jipe Moyo , Furaha Yako na nyinginezo.