Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,388
Kibajajitz
Navyojua mm Amos 5 ni satellite ukishataja antenna hiyo ni Terrestrial mm situmii TV ila natumia FTA decoder ya Dreambox ina tundu la Terrestrial Antenna ila niki search zinakuja continental ndo nyingi ila nyingi ni scrambled ambazo ni FTA ni kama 10.
Mm nafikiri ni kitu cha kawaida Terrestrial TV nyingi ziko Free sana sana za Bongo...Yaaah hiyo Amos ni satellite na ndivyo wanavyodai mwenyewe na terrestrial ni mawimbi kama haya ya kina startimes nakubaliana na wewe so sijajua wameset vipi ngoja nicheck link nikutumie ukajisomee mwenyewe mkuu
Mimi nina Hisense 32 inches. Ni smart Tv ina LED display na 3D vipi hii nayo inahivyo vingamuzi vya bure ndani? Nitajuaje kama TV ina internal receiver?
Tafuta neno limeandikwa DTV kwenye ile Entet. Ukiona hilo neno basi fahamu Tv yako ina King'amuzi ndani.
Hata mimi nipo tarime kaka, tuwasiliane nikupe ushauri zaidi maana mimi ni satellite dish installer.
me nilinunua mlimani city mwaka jana mwanzon ilikuwa inauzwa laki tisa so sifahamu kama itakuwa imepungua,hiyo ya laki sita itakuwa magumashi aka mdosho
Kariakoo duka gani mkuu, na ni genuine kweli? je na Smart ya size hiyo ni bei gani? ni model ipi mkuu, maana toleo la mwaka jana wamelipa H. Yaani inakuwa hivi kwa mfano, UA32H4100AK, AMA UA32H5500AR., F ni za 2013nimenunua jana inchi 32 inakingamuzi laki sita kariakoo na waranti juu 2ys
Mkuu hilo neno DTV lipo huwa naliona lakini nilikuwa sijui maana yake. Naomba unipe maujanja ya namna ya kuitumia hiyo kitu mkuu.
Nipigie hapa! 0787577755 ila uwe unakaa Dar.
Kwa vijijini sifahamu mie natumia Samsung led tv inch 32 ipo vizuri sana ninachannel karibu 200 na ninatumia antena ya kawaida tu.
Je uko wapi?
izo channel 200 ni za wapi na wapi, nchi gani yani, na antena ya kawaida ni kama hizi za startimes ama.
vp za nje zinaonesha zote? na za nje ni tv gani na gani?Mm nina samsung 24inch. Nimesearch na zimeingia 200+ kutoka ving'amuzi 5 vya hapa tz ila zinazoonesha ni chache.
Sana sana za digitek, ting, continental na baadhi kutoka easytv. Za startimes hazioneshi
kwa mfano kama startimes wana channel za nje kama etv fox etc.... izo vipi mana zinapatikana kwenye decoders za hapaNi zile zinazopatikana kwenye decoders za hapa TZ