Jaman me kukutana na sharobaro ndo siwezi kabisaaaaa. Mtu anakuja kavaa utadhani snoop dogg vile, mcheni mrefu unakaribia usawa wa dushe, m- tshirt size ya Le mutuz, suruali ni hilo kata K utadhani kajaza mavi, bado hiyo raba ni kubwaaaa, aisee u will have to excuse me, coz I just can't stand such kind of a person even for a single minute Eishh!!!
Mwingine sasa ni kujisifia wee hadi unachefukwa roho. Mara oooh my dad is doin this, every month naingiziwa this much kwa account yangu, ulivyonipigia pale nilikuwa nabadilisha gari eeeeeh yote hayo, what for? Ntakukata huu mjicho utahisi umekutana na israel mtoa roho, afu ntasepa bila hata ya kuaga na itakuwa ndo mwisho wa kuwasiliana na wewe.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums