Malafyale Platinum Member Joined Aug 11, 2008 Posts 13,897 Reaction score 11,292 Jun 2, 2014 #141 Ahahaha siku ya kwanza kaja na smart phone eti kakopa kwasababu ana uhakika mm nitampa hiyo laki 9 akalipie ili tuwe tunaongea vyema wasap! Nikajifanya simu yangu inaita,nikaomba ruhusa niongelee nje,sikurudi tena!
Ahahaha siku ya kwanza kaja na smart phone eti kakopa kwasababu ana uhakika mm nitampa hiyo laki 9 akalipie ili tuwe tunaongea vyema wasap! Nikajifanya simu yangu inaita,nikaomba ruhusa niongelee nje,sikurudi tena!
stata mzuka JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 4,834 Reaction score 1,765 Jun 2, 2014 #142 miss chagga said: uwezi amini ni wanaume hasa ila ndo hivyo low thinking Click to expand... Pole sana Bi dada,,,kweli hao ni low thinking capacity yaan km memory card ni 12MB
miss chagga said: uwezi amini ni wanaume hasa ila ndo hivyo low thinking Click to expand... Pole sana Bi dada,,,kweli hao ni low thinking capacity yaan km memory card ni 12MB
miss chagga JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 57,805 Reaction score 49,104 Jun 3, 2014 #143 stata mzuka said: Pole sana Bi dada,,,kweli hao ni low thinking capacity yaan km memory card ni 12MB Click to expand... naona 12mb ni kubwa sana 0.5 MB
stata mzuka said: Pole sana Bi dada,,,kweli hao ni low thinking capacity yaan km memory card ni 12MB Click to expand... naona 12mb ni kubwa sana 0.5 MB