First Meeting na Kero zake

First Meeting na Kero zake

zamani hizi makitu hazikuwepo. huu utandawazi unakuja na mengi kwa kweli.
 
waheshimiwa mnatisha nimecheka mi nilikuawa nachati naye fb kumuona kapauka ka kipande muogo kaagiza ledds chips mi nikatoka kama naenda toilet nikamuita muhudum masaa mpk leo cm yake cpokei wala sms
 
NILI MEET NA DADA MMOJA WA INSTAGRAM NA TULICHAT SANA KUPITIA INSTA MSG...TUKAPNGA KUONANA...PALE CAPE TOWN FISH MARKT MSASAN UKWEL SITARUDIA TENA NA TENA KU MEET NA HAWA MADEM WA MTANDAO...ALINITIA AIBU YAN ALIKUWA KILA MUDA ANANIPA SM YAKE NIMPIGE PICHA...HAYA TUKAAGZA CHAKULA NACHO KIKAPIGWA PICHA....MUDA MWINGI ALIKUWA BZY KUCHAT...NIKABOREKA SANA


YAN...namengi kweli ila wapo wanaojua maana ya meetng nawengne washamba wa meetng

Usingempa ushirikiano something might happen....... shutting down
 

Attachments

  • 1401365443994.jpg
    1401365443994.jpg
    31.3 KB · Views: 157
Kuna wadada lika frani hivi wanaboa kweli....unameet nae mara ya kwanza anaanza kuongea utumbo utumbo tu.... Ooo ally kiba tunakaa mtaa mmoja....ooo juzi nimepiga picha na timbulo....ooo izzo b kanipa complementary kwenye show yake ya kesho etc....!!!!! What a f***k!!!!!!!
 
Mimi hakuwa na kero yoyote maana alikuwa ananifahamu sana tu many years ago
 
mmekutana restraunt/hotel jamaa anatumia dakika kumi tu kumaliza bia ya kwanza, ikifika ya tano anaanza kutukana wahudumu, unavumilia ikifika ya kumi basi kila atakachosema lazima akuguse,
 
Mi niliwahi kukutana na changudoa online..kila nachoongea ananishangaa.mwisho akaniambia tu.'tafuta gesti na hela yangu unilipe Kabisaa' dah pale ndo nikajua Haaa..kumbee....sina hamu..

Dah!! Mkuu hii mada murua kabisa kwangu, lkn naogopa kufunguka maana mchuchu mwenyewe mtu wa mitandao sana, nahisi yupo humu sasa naweza funguka halafu kikatimka kivumbi cha mitusi kwenye pm yangu.Lkn kilichotokea kwa yule mchuchu ndipo nilikubali ule msemo wa "usikihukumu kitabu kwa muonekano wa ganda". Mi nilimchana kweupe mbuzi anakula majani, sasa nikianika yaliyotokea yote kama yupo humu naweza nisilale kwa mitusi maana atajua tu kuwa mistari inamuhusu akisoma.
 
mmekutana restraunt/hotel jamaa anatumia dakika kumi tu kumaliza bia ya kwanza, ikifika ya tano anaanza kutukana wahudumu, unavumilia ikifika ya kumi basi kila atakachosema lazima akuguse,

Thenkyuuuuuuuuuuuuuuuu......umenichekesha this eve marrykate
 
Last edited by a moderator:
Nimesahau kitu hapa ngoja nisome kwanza!
 
Some peoples are so sensitive kwa vitu vya kawaida kabisa..kukutana na mtu si kukutana, yaani lazima watu wafundishane..
 
waheshimiwa mnatisha nimecheka mi nilikuawa nachati naye fb kumuona kapauka ka kipande muogo kaagiza ledds chips mi nikatoka kama naenda toilet nikamuita muhudum masaa mpk leo cm yake cpokei wala sms
Hahhaha hahahha kha! wewe hukufanya vizuri, wenzio tunatoka kistyle mtu hajui kama unamkimbia
 
Back
Top Bottom