Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,349
- 6,476
Wakati wa kampeni JK alisema sioi tena kwani Salma ni mwisho wa reli. Siku hizi simsikii mama huyu na baada ya matokeo ya Urais, mama huyu alionyesha kutokuwa na furaha na ushindi wa mumewe kama ile ya 2005. Au amjikita zaidi kwenye kulimbikiza mali katika kipindi hiki cha lala salama?