Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,185
- 307
Labda nae kaolewa kwingine,kwani haruhusiwi?
Kama ni legal kwa mumewe kuwa na wake wengi kwanini nae asiruhusiwe otherwise
You are looking for trouble mdogo wangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda nae kaolewa kwingine,kwani haruhusiwi?
Kama ni legal kwa mumewe kuwa na wake wengi kwanini nae asiruhusiwe otherwise
eehh wa uzeeni huyo, anasaidia kubalance presure ya mzee24 years???? :washing:
first of all you are not Josephine,otherwise prove yourself with vivid photos(ukiwa na mzee) what i know is that there is no divorce with christian marriages particulary catholics! And do not involve God in you adultery life,or u will be practising Blasphemy publically! ushauri wangu wa bure umedhalilisha sana wanawake wa Kitanzania kwa tamaa zako,na kwanini umuache mme wako mungu aliyekujalia,na je mmefunga ndoa na slaa au mnaishi kama masuria?? huoni hilo pia ni chukizo mbele ya mungu
Wacha unafiki kuna circumstance zinaruhusu talaka katika ndoa za kikristu usituongopee kafiri mkubwa wewe.
first of all you are not Josephine,otherwise prove yourself with vivid photos(ukiwa na mzee) what i know is that there is no divorce with christian marriages particulary catholics! And do not involve God in you adultery life,or u will be practising Blasphemy publically! ushauri wangu wa bure umedhalilisha sana wanawake wa Kitanzania kwa tamaa zako,na kwanini umuache mme wako mungu aliyekujalia,na je mmefunga ndoa na slaa au mnaishi kama masuria?? huoni hilo pia ni chukizo mbele ya mungu
Wewe mbona haujaweka picha yako? Au unataka aweke akufurahishe wewe? Kwani wewe mke mwenzake hadi akuwekee picha?
Ni kweli kabisa ndugu yangu huu mfumo wa wake wengi unatakiwa ufe kuwapa haki akina mama,mi siuupendi na unadhalilisha akina mama,yaani we angalia usiku kucha mama analala peke yake na anajua kabisa jamaa kaaenda kwa bi mdogo kuchakachua inauma sana,hivi ingekuwa kwetu wanaume ingekuwaje mama aolewe na jamaa wawili leo anakuaga ni zamu ya mwenzako,ungejisikiaje,?jibu utakalo pata ndivyo inavyokuwa kwa wanawake,
Nasikia JK anaye Mwarabu wa Iringa
...Wanajamvi, hivi first lady wa nji hii yupo wapi?, protokali zinataka Rais aapambatane nae katika ziara anazofanya, lakini ni muda mrefu sasa JK yupo peke yake katika ziara mbalimbali alizofanya recently. Mwanajamvi Anayejua alipo M/kiti wa WAMA atujuze hapa
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania
...wanajamvi, hivi first lady wa nji hii yupo wapi?, protokali zinataka rais aapambatane nae katika ziara anazofanya, lakini ni muda mrefu sasa jk yupo peke yake katika ziara mbalimbali alizofanya recently. Mwanajamvi anayejua alipo m/kiti wa wama atujuze hapa
haya mambo mi nadhani ni personal, sisi tunataka kikwete atuambie kwanini anamsumbua magufuli?!!!
Inaonekana maneno makali aliyoambiwa wakati wa kampeni yamemlazimisha kubadilika! Pili inasemekana kuna bifu la kuletewa bi mdogo!!!!
Kashanga ,Young man
Naomba nikueleze leo kwamba,Mimi ndiye Josephine Mke wa Dr Slaa.
Kwa akili zangu timamu nilimuacha aliyekuwa mume wangu kwa sababu maalum hata kanisa halikuweza kunizuia.Sasa wewe ni nani leo uendelee kumuhukumu mtu kwa maamuzi yake mwenyewe?Na mwizi hata siku moja hatoki hadharani huoni unajidhalilisha mwenyewe.
Nakuomba jambo moja kama kweli hujawahi kutenda dhambi au huna dhambi basi uwe wakwanza kunirushia jiwe mimi na Dr Slaa.
Kama Kanisa limekaa kimya juu ya maamuzi yangu,Kanisa liloshuhudia kiapo changu you are no body to point on us now and ever since we have done everything accodingly,and that's why even the court could not intervene.
For your information the marriage is always between two hearts before the public witness it.
My God whom i believe is a God of Praise and Worship,and ever the Lonely and breaking heart will never Praise and worship God.I choose the life i am, so that i should keep on Praising and Worshiping God and My God is happy with us.
I have written this to let you know that We are Happy in our present marriage no one have the right to judge us within this world not even the Law,except God alone who has already forgiven us and accept us afresh.
Josephine my dear!
I have no many words but I feel responsible to preach the gospel, kukanya pale inapotakiwa kupongeza ninaposhuhudiwa yote haya bila unafiki lakini kwa staha bila kuaibisha ama kuvunja moyo. Niko na ninyi katika yote mema lakini katika dhambi sintashiriki maana inanipasa kuwa mwaminifu mpaka kufa. You got married to a man which I believe wewe ndiye ubavu wake (maana uliapa hivyo kwenye madhabahu ya Mungu) ukawa na watoto naye which means you have even a blood convenant, kama utanisikiliza mumeo yuko hai hajafa na alichokiunganisha Mungu mwanadamu katu hatakitenganisha you being one amongst hao binadamu. Sheria za kibinadamu na sympathy zote haziwezi kuondoa ukweli wa Mungu. Kama kulikuwa na tatizo neno la Mungu liko wazi ukae ulivyo wala usimjue mume mwingine tena na yeye asimjue mke mwingine mpaka Mungu awatenganishe (kifo cha mmoja wenu) kwani mkifanya hivyo mnazini. Najua nitashambuliwa na JF wote lakini ninakubali kuwajibika kwaajili ya kristo ninakuomba ukae tena chunguza moyo wako neema ya Mungu itakufungua nawe utaijua kweli. Ni bora upoteze heshima ya dunia hii lakini uiokoe roho yako na ya mtu umpendaye ambayo itabaki milele. God bless you!