First Lady Salma Kikwete

First Lady Salma Kikwete

! Pili inasemekana kuna bifu la kuletewa bi mdogo!!!![/QUOTE]

hapo kwenye wanawake ndio Slaa na Kikwete wanafanana ila tofauti ni kwamba huyu mwingine(Slaa) yeye ni mwizi wa wake za watu

Kashanga ,Young man

Naomba nikueleze leo kwamba,Mimi ndiye Josephine Mke wa Dr Slaa.

Kwa akili zangu timamu nilimuacha aliyekuwa mume wangu kwa sababu maalum hata kanisa halikuweza kunizuia.Sasa wewe ni nani leo uendelee kumuhukumu mtu kwa maamuzi yake mwenyewe?Na mwizi hata siku moja hatoki hadharani huoni unajidhalilisha mwenyewe.

Nakuomba jambo moja kama kweli hujawahi kutenda dhambi au huna dhambi basi uwe wakwanza kunirushia jiwe mimi na Dr Slaa.

Kama Kanisa limekaa kimya juu ya maamuzi yangu,Kanisa liloshuhudia kiapo changu you are no body to point on us now and ever since we have done everything accodingly,and that's why even the court could not intervene.

For your information the marriage is always between two hearts before the public witness it.

My God whom i believe is a God of Praise and Worship,and ever the Lonely and breaking heart will never Praise and worship God.I choose the life i am, so that i should keep on Praising and Worshiping God and My God is happy with us.

I have written this to let you know that We are Happy in our present marriage no one have the right to judge us within this world not even the Law,except God alone who has already forgiven us and accept us afresh.
 
...Wanajamvi, hivi first lady wa nji hii yupo wapi?, protokali zinataka Rais aapambatane nae katika ziara anazofanya, lakini ni muda mrefu sasa JK yupo peke yake katika ziara mbalimbali alizofanya recently. Mwanajamvi Anayejua alipo M/kiti wa WAMA atujuze hapa

:gossip:ANAPUMZIKA baada ya mchakamchaka wa kumpigia mume campeni za URAIS!!!!
 
Haki JF imekuwa jopo la majungu.....Salma anatuhusu nini? JK akioa mke wa tatu au wa nne kinatuuma nini na dini yake inamruhusu? Tena wengine watumia tu this post kumwingiza SLaa nk....jamani kweli na mimi sasa najitoa kwenye forum hii kama ma mods hawataweza ku-conrrol forum hii
 
...Wanajamvi, hivi first lady wa nji hii yupo wapi?, protokali zinataka Rais aapambatane nae katika ziara anazofanya, lakini ni muda mrefu sasa JK yupo peke yake katika ziara mbalimbali alizofanya recently. Mwanajamvi Anayejua alipo M/kiti wa WAMA atujuze hapa

thread za majungu.

peleka jukwaa la utani.
 
waz.jpg
 
Nyererev alimuuzi sana mkwere 2005 alipomwambia bado mdogo ndo maana ana hasira ya kufanya chochote asafishe roho yake.Jirushe mkwere Slaa akichukua ikulu itakuwa taaabu sana
 
Kashanga ,Young man

Naomba nikueleze leo kwamba,Mimi ndiye Josephine Mke wa Dr Slaa.

Kwa akili zangu timamu nilimuacha aliyekuwa mume wangu kwa sababu maalum hata kanisa halikuweza kunizuia.Sasa wewe ni nani leo uendelee kumuhukumu mtu kwa maamuzi yake mwenyewe?Na mwizi hata siku moja hatoki hadharani huoni unajidhalilisha mwenyewe.

Nakuomba jambo moja kama kweli hujawahi kutenda dhambi au huna dhambi basi uwe wakwanza kunirushia jiwe mimi na Dr Slaa.

Kama Kanisa limekaa kimya juu ya maamuzi yangu,Kanisa liloshuhudia kiapo changu you are no body to point on us now and ever since we have done everything accodingly,and that's why even the court could not intervene.

For your information the marriage is always between two hearts before the public witness it.

My God whom i believe is a God of Praise and Worship,and ever the Lonely and breaking heart will never Praise and worship God.I choose the life i am, so that i should keep on Praising and Worshiping God and My God is happy with us.

I have written this to let you know that We are Happy in our present marriage no one have the right to judge us within this world not even the Law,except God alone who has already forgiven us and accept us afresh.

Wow,umemaliza kabisa!
Ila kwa kuwa kuna virusi wengi humu,subiri uone na JF ni kipimo cha uvumilivu
 
Kashanga ,Young man

Naomba nikueleze leo kwamba,Mimi ndiye Josephine Mke wa Dr Slaa.

Kwa akili zangu timamu nilimuacha aliyekuwa mume wangu kwa sababu maalum hata kanisa halikuweza kunizuia.Sasa wewe ni nani leo uendelee kumuhukumu mtu kwa maamuzi yake mwenyewe?Na mwizi hata siku moja hatoki hadharani huoni unajidhalilisha mwenyewe.

Nakuomba jambo moja kama kweli hujawahi kutenda dhambi au huna dhambi basi uwe wakwanza kunirushia jiwe mimi na Dr Slaa.

Kama Kanisa limekaa kimya juu ya maamuzi yangu,Kanisa liloshuhudia kiapo changu you are no body to point on us now and ever since we have done everything accodingly,and that's why even the court could not intervene.

For your information the marriage is always between two hearts before the public witness it.

My God whom i believe is a God of Praise and Worship,and ever the Lonely and breaking heart will never Praise and worship God.I choose the life i am, so that i should keep on Praising and Worshiping God and My God is happy with us.

I have written this to let you know that We are Happy in our present marriage no one have the right to judge us within this world not even the Law,except God alone who has already forgiven us and accept us afresh.

mama achana nae huyo ......hana akili vizuri

 
Kama wanajipeleka wenyewe afanye nini. Lini Mungu aliombwa mkate akatoa jiwe au samaki akapewa nyoka. hawa wanawake wanajipeleka wenyewe na uwezo wa kuwahudumia anao shida iko wapi?
 
Hii ingefaa kujadiliwa kwenye jukwaa la mahusiano au la ma serebritii
 
Kashanga ,Young man

Naomba nikueleze leo kwamba,Mimi ndiye Josephine Mke wa Dr Slaa.

Kwa akili zangu timamu nilimuacha aliyekuwa mume wangu kwa sababu maalum hata kanisa halikuweza kunizuia.Sasa wewe ni nani leo uendelee kumuhukumu mtu kwa maamuzi yake mwenyewe?Na mwizi hata siku moja hatoki hadharani huoni unajidhalilisha mwenyewe.

Nakuomba jambo moja kama kweli hujawahi kutenda dhambi au huna dhambi basi uwe wakwanza kunirushia jiwe mimi na Dr Slaa.

Kama Kanisa limekaa kimya juu ya maamuzi yangu,Kanisa liloshuhudia kiapo changu you are no body to point on us now and ever since we have done everything accodingly,and that's why even the court could not intervene.

For your information the marriage is always between two hearts before the public witness it.

My God whom i believe is a God of Praise and Worship,and ever the Lonely and breaking heart will never Praise and worship God.I choose the life i am, so that i should keep on Praising and Worshiping God and My God is happy with us.

I have written this to let you know that We are Happy in our present marriage no one have the right to judge us within this world not even the Law,except God alone who has already forgiven us and accept us afresh.

first of all you are not Josephine,otherwise prove yourself with vivid photos(ukiwa na mzee) what i know is that there is no divorce with christian marriages particulary catholics! And do not involve God in you adultery life,or u will be practising Blasphemy publically! ushauri wangu wa bure umedhalilisha sana wanawake wa Kitanzania kwa tamaa zako,na kwanini umuache mme wako mungu aliyekujalia,na je mmefunga ndoa na slaa au mnaishi kama masuria?? huoni hilo pia ni chukizo mbele ya mungu
 
Halafu... mie huwa najiuliza sipati jibu, ...huyu mshkj ulimechi nae vp ktk malove yaani hadi ukaamuaa kuolewa nae? maanake huwa nikimuanagalia yeye alivyo hlf na ww ulivyo yaani sipati picha, ni kama skyscrapper na nyumba ya tembe!

***** wewe *um* zege..!! Hv unajua ktu gani baba yako alimpendea mama yako.?? M**n*e nn! ustąke watu tupigwe ban coz yako sawa?
 
mara mtoto wa zakia,tena dada wa rostam sasa tena iringa naona tumempata mfalme mswati wa tanzania

bado kuna wale wa kamata nnchinje!!!!.................. huwezi ukawa poor kwa kila kitu wakuu lazima uwe strong kwingine!!! dakeni hiyo itawasaidia kujijibu baadhi ya maswali yamuhusuyo mkwere.
 
kuwa rais raha sana unadadava tu, anafanya u-muswati kimya kimya......endelea baba ndio marupurupu ya urais
 
Ni kweli kabisa ndugu yangu huu mfumo wa wake wengi unatakiwa ufe kuwapa haki akina mama,mi siuupendi na unadhalilisha akina mama,yaani we angalia usiku kucha mama analala peke yake na anajua kabisa jamaa kaaenda kwa bi mdogo kuchakachua inauma sana,hivi ingekuwa kwetu wanaume ingekuwaje mama aolewe na jamaa wawili leo anakuaga ni zamu ya mwenzako,ungejisikiaje,?jibu utakalo pata ndivyo inavyokuwa kwa wanawake,

Siyosiri nimependa comments zako, yaani kama wanaume wote wangekuwa na akili kama yako wasingethubutu kuoa mke zaidi ya mmoja.
 
Haya mambo mi nadhani ni personal, sisi tunataka kikwete atuambie kwanini anamsumbua magufuli?!!!
 
Back
Top Bottom