FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
mmmmh hapa hata sikomenti nisije nikaharibu siku yangu😱hwell:
- Chama huyu sio demu ni kijana mmoja mlevi sana huwa anlewa mpaka anajikojolea na anabebwa na watu, ila saafi mpe tu za uso maana amezitaka mwenyewe!!
Le Mutuz!!
Mara The king of all bongo social network mana The big show mara ze Mutuz mara ze Bahalia mara Kiongozi wa kitaifa
ALL ABOVE NI.........................................
MISIFA CAMP HAKUNA LOLOTE
- Wewe ndiye ubadilike mimi siishi kwa hela za wizi wa baba!1 kama wewe so labda ubadilike wewe kwanza!!
LE Mutuz!
Jamani!sasa nyie wanasiasa wa Tanzania mnatuonyesha mfano gani ???
bASI mwambie akaoe mamake
- Mbebs wa ukweee vipi mtuwangu, miss you mbona siku kimyaa sana mtuwangu? holla bana!1, hapa usishangae tunamkoma nyani tu giladi!!
Le Mutuz!!
- Wewe ndiye ubadilike mimi siishi kwa hela za wizi wa baba!1 kama wewe so labda ubadilike wewe kwanza!!
LE Mutuz!
mmmmh hapa hata sikomenti nisije nikaharibu siku yangu😱hwell:
hahahahah lol! ungejua unachoandika ni ***** mtupu wala usingepoteza muda wako. Nakula jasho langu tena kwa raha zangu. Life is so good I can't complain at all
Matusi miye pia nayaweza lakini sitaki kufuata mkondo wako.
- Le Biig Shoow!! ha1 ha! ha1 ha!
Le Baharia!!
Inaonekana mama yupo single sasa unampigia chapuo kwa Willy; inakuwaje unamshinikiza mtu kuoa si mjomba wako si baba yako si kaka yako huoni kama hapo unamtafutia mtu wako wa karibu deal ya kuolewa?
Chama
Gongo la mboto DSM
raisi mtarajiwa ha ha ha ha- Mbebs wa ukweee vipi mtuwangu, miss you mbona siku kimyaa sana mtuwangu? holla bana!1, hapa usishangae tunamkoma nyani tu giladi!! Le Mutuz!!
Mkuu
ukiona vip achana na malumbano yaliyoacha kujadili hoja, ninachokiona hapa ni kelele, bora kuachana na mjadala ulopoteza maana yake.
Ni mtazamo wangu mkuu.
Mimi nimeishaachana na habari za kuoa kwa huyu mzee ili unaweza kumpa mamayako ali#yeku#taga
Kama anajikojelea kwasababu ya ulevi na bado analelewa na baba yake asije kwenye vikao vya wanaume hapa tunamwaga nondo!
Chama
Gongo la mboto DSM
Mkuu Adolay
Usiwakimbize wamekuja na maneno ya kidemu badala hoja hapa watakimbia wenyewe wamezoea sana kuharibu mijadala kwa sababu ya wivu wa kike
Chama
Gongo la mboto DSM