William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,464
- Thread starter
- #301
hahaha...LE MUTUZ MUTU YA WATU.
- The King Of All Bongo Social Network MEdia, Le Biig Shoow!!
Le Mutuz!!
hahaha...LE MUTUZ MUTU YA WATU.
- Mbona Rais wako Slaa miaka 70 hajaoa, au? ha! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Mzee unaoa lini
Maana haya mambo ya kujichubua si mchezo
Najua ninyi watu wazima upuuzi wenu tumeusoma humu, nasi ajabu wengine wenu ni viongozi wa kitaifa mmeonesha jinsi mlivyo na uwezo mdogo wa kiuongozi hamkustahili hizo nafasi mlizopewa, ubora wa kiongozi uko ktk matendo na si vinginevyo.
watu wazima wanalumbana kwa hoja na sio kwa viroja kama mnavyofanya ninyi sasa hivi, Mnaharibu kabisa mnakasha katika JF
We mnafiki si ulisema umeondoka jamii forums? Tena ukawa ukiporomosha mitusi kwenye ki blogu chako?- Hongereni Wana-CCM wote mlioko kila kona za online political activism, ninafarijika na jinsi recently ambavyo tumekuwa tukjibu mashambulizi ya ndugu zetu wa upande wa pili, in many cases siku hizi tunawaweka on defensive end sasa kwa vile hawakuzoea kujibiwa unawaona wakitoka mapovu kama nyoka kifutu, saafi sana inaitwa kumkoma nyani giladi yaani ukitaka kumpiga nyani usimuangalie usoni, tuendeelee kuwatwanga hasa kwa ile lugha wanayojulikana kuilewa zaidi yaani ya za uso! Lakini sometimes huwa wana hoja so tuwajibu kwa hoja, lakini wakija kwa viroja please tuwape za uso tu!!
- Salute kwa Makamanda Ritz, Chama, na wengineo wembe ni ule ule hakuna kulala wala kuwapa nafasi, yaani finally tumeanza kuleta balance ndani ya Mitandao inapokuja the game na hawa wenzetu wa huko Upande wa pili, ndio maana hasa ya Demokrasia, siku zote nia na madhumuni yao ni wote tuwe na mawazo kama wao, hapana na mbarikiwe wote!!
- KIDUMU CCM! KIDUMU CHAMA TAWALA!!
Le Mutuz!! THE KING OF ALL BONGO SOCIAL NETWORK MEDIA!!
Najua ninyi watu wazima upuuzi wenu tumeusoma humu, nasi ajabu wengine wenu ni viongozi wa kitaifa mmeonesha jinsi mlivyo na uwezo mdogo wa kiuongozi hamkustahili hizo nafasi mlizopewa, ubora wa kiongozi uko ktk matendo na si vinginevyo.
watu wazima wanalumbana kwa hoja na sio kwa viroja kama mnavyofanya ninyi sasa hivi, Mnaharibu kabisa mnakasha katika JF
We mnafiki si ulisema umeondoka jamii forums? Tena ukawa ukiporomosha mitusi kwenye ki blogu chako?
Vipi, mbona unarudia matapishi?
Hivi hiki chakula cha nani vile
![]()
nimemtumia sms Mzee Philip Mangula ..... nimemsihi sana atemmbelee huu usingizi hapa jf ajionee jinsi ccm inavyojidhalilisha
mambo ya mapooudoMzee unaoa lini Maana haya mambo ya kujichubua si mchezo