Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
Le Mutuz bana....hiyo misamiati yako huniacha hoi sana. Sasa hii"mbebs wa ukwee" umeitoa wapi tena?

Mambo niaje lakini mtu wangu? Kuna siku asubuhi nilikuona pale Ocean Road ukitembea....nadhani ulikuwa unakula tizi. Nikakupigia honi hata hukuniona

- Mamen kumbe ulikuwa wewe sikujua kama vipi bado upo holla bana, yule mbebs plae Steers huwa ninamuulizia sana, kama vipi holla!!

Le Mutuz!!
 
Hahahahahah lol! naona unanifananisha banaaa. Miye kwetu ufisadi MARUFUKU kabisa nawe kwa kuwa ni mkongwe hapa jamvini unajua jinsi ninavyoupiga vita ufisadi. Faranga inayoniweka mjini ni faranga yangu mwenyewe na kwa kweli namshukuru Mungu sana kwa hapa nilipofikia na kila siku namshukuru. Sasa kama wewe unataka kuamini vingine na story zako za kutunga endelea kufanya hivyo.

- Nilijua kwamba huu muziki uliouanza mwenyewe utakushinda tu mwishoni, sasa ni wakati muafaka ukaongea hoja maana personal attacks umeshaona sio tija nilitaka uone mwenyewe kwanza, ok lets get back to the topic! kama vipi!!

- mimi nimewapongeza makamanda wa CCM online vipi wewe tatizo lako ipo wapi? talk to me now!!

Le Mutuz!!
 
Kwa jinsi alivyo mzee mama yako atakuwa stahiki yake mrushie ilo deal chama

Usione aibu mkuu au mama kibogoyo kwasababu ya mitungi? Nitagharima dentures mkuu usikonde mpe mama deal

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mzee kiongozi wa kitaifa...................................................

william+john+048.JPG
 
mzee wengu huna lolote

Naona umeishiwa hoja kiongozi wa kitaifa

- Lets say sina lolote na wewe unalo lolote, then why waste your time na asiye na lolote, I mean si ni simple commonsense kwamba nina lolote ndio maana hubanduki hapa! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Mzee kiongozi wa kitaifa...................................................

william+john+048.JPG

- Yaaap nice pic Le Mutuz na wagombea wa Miss Ukonga, it was a great event kwa sababu iliishia kutoa mshindani wa Miss Tanzania!! Thaanks for bringing back this memory!! Zipo nyingi zaidi please bring in some more!! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
Usione aibu mkuu au mama kibogoyo kwasababu ya mitungi? Nitagharima dentures mkuu usikonde mpe mama deal

Chama
Gongo la mboto DSM
chama pole sana Mzee wa Miaka 51 sio haba hii itakuwa stahiki yako
kama vipi na wewe unaweza kujichukulia mana hii ni jadi yenu
 
Last edited by a moderator:
- Yaaap nice pic Le Mutuz na wagombea wa Miss Ukonga, it was a great event kwa sababu iliishia kutoa mshindani wa Miss Tanzania!! Thaanks for bringing back this memory!! Zipo nyingi zaidi please bring in some more!! ha! ha! ha!

Le Mutuz!!

Mzee na hii hapa ni mISS uKONGA?

8027_4371911135172_1071793521_n.jpg
 
chama pole sana Mzee wa Miaka 51 sio haba hii itakuwa stahiki yako
kama vipi na wewe unaweza kujichukulia mana hii ni jadi yenu

- At least sina Miaka 70 na mke wa kumuibia mtu mwenye miaka 30, huoni kwamba ni noma sana!, sasa wewe si ulisema sina lolote bado upo? ha1 ha! ha! ha!

Le Mutuz!!
 
chama pole sana Mzee wa Miaka 51 sio haba hii itakuwa stahiki yako
kama vipi na wewe unaweza kujichukulia mana hii ni jadi yenu

Michezo ya kishoga ipo Chadema nasikia mna kiongozi shoga huko!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mzee na hii hapa ni mISS uKONGA?

8027_4371911135172_1071793521_n.jpg

- Hii ilikuwa ni Osterbay, Uwanja wa Farasi kwenye Fundraising ya kusaidia watoto yatima walioko Dodoma, hawa hao niliopiga nao ni Ma-Celebirities waliohudhuria, kushoto ni Super star Jokate ambaye ni mtangazaji Channel O TV Africa na kulia ni Bongo Movie Star Sintah JLO, AMBAYE pia ni mtangazaji wa DTV, ambao tuliwaomba bila kuwalipa kuja kujitolea kutusaidia kuchangisha pesa hizo za watoto wa yatima, MUNGU AWABARIKIE KWA MOYO WAO WA UPENDO WA KUJITOA NA KUJA PALE!1

- again ahsante kwa hii memorable pic!1

LE Mutuz!!
 
MZEE HIVI NA HII NI MISS YA WAPI VILE

IMG_08401-350x233.jpg

- Huyo ni Super Star mtangazaji wa DTV kwenye sherehe za kuzaliwa kwa another Super star Jacky Mzindakaya, ilikuwa Holiday Inn hapa bongo, great event thaanks again kwa kuileta hapa!!

Le Mutuz!!
 
- Lets say sina lolote na wewe unalo lolote, then why waste your time na asiye na lolote, I mean si ni simple commonsense kwamba nina lolote ndio maana hubanduki hapa! ha! ha! ha! Le Mutuz!!
samahani braza eti una miaka mingapi?
 
samahani braza eti una miaka mingapi?

- Ustaarabu ni wewe kuanza kusema yako kwanza and then ndio uulize wengine, afu what that has anything to do na mada ya kuwapongeza wana-CCM online?

_ Kwani Mbowe ana miaka mingapi? Slaa ana miaka mingapi? Si ungeanza na huko kwanza au? ha1 ha1 ha!

Le Mutuz!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom