Ahaaaa lol! Elungata na Chama kumbe ni mtu yule yule!!!! umechanganya madawa 🙂🙂...
hahahahah lol! nimuonee wivu kwa lipi? la mtu mzima kufanya mambo ya kitoto na kukimbia responsibilities zake kama Mume na Baba? sasa tangu lini pimbi akajibizana na binadamu? We unachekesha sana!!!! lol! huna nguvu ya hoja banaaa kama ilivyo kawaida ya magamba. Mkishindwa hoja mnakimbilia maneno machafu kama yule Mwigulu.
Usisahau kama hii ni JF where we dare to talk openly...kwanini nifanye siri? labda ushauri kama huu unaweza kumsadia mtu mwingine pia.
hahahahah lol! nimuonee wivu kwa lipi? la mtu mzima kufanya mambo ya kitoto na kukimbia responsibilities zake kama Mume na Baba? sasa tangu lini pimbi akajibizana na binadamu? We unachekesha sana!!!! lol! huna nguvu ya hoja banaaa kama ilivyo kawaida ya magamba. Mkishindwa hoja mnakimbilia maneno machafu kama yule Mwigulu.
- Ahsante sana, ila ndugu yangu dalili za mvua huwa ni mawingu, uchaguzi wa udiwani majuzi ni ujumbe tosha kuhusu what to expect 2015 the budern is on the otherside sio kwetu CCM tena!!
Le Mutuz!!
Sasa wewe unataka kuchukua nafasi ya Mzee Malecella? Hivi wewe ni mwanaume au demu? Umeniweka njia panda; yaani inavyoonekana ni kama demu fulani unalazaimisha mambo ya kiana kwa william kama ni kijana wa kiume jiangalie sana kamanda mwelekeo unaweza sio kuwa mzuri!
Chama
Gongo la mboto DSM
- ha! ha! ha! ha! Especially mke anapokuwa 30 na Mume 70! ha! ha! ha! ha! yaani gap ya 40 years!!
Le Mutuz!!
- Siri ya nini ya kuolewa na mke na familia yake? Na mtumzima na mke na watoto kuishi kwa baba na kfanya kazi kwa baba? pleaseeee! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Usisahau kama hii ni JF where we dare to talk openly...kwanini nifanye siri? labda ushauri kama huu unaweza kumsadia mtu mwingine pia.
Matusi miye pia nayaweza lakini sitaki kufuata mkondo wako.
Mkuu Ritz, nimefuatilia hii thread toka mwanzo. Nimeshindwa kuchangia cuz nimeona ni kama watu wameanza kushambuliana badala ya kubaki kwenye mada husika. Kwa kiasi kikubwa naona William amekosea sana, kuna mambo hakupaswa kuandika, though tumeshamzoea!! Kwa nafasi tuliyompa hakutakiwa aonyeshe this kind of behavior. Anyway, chama kinafahamu zaidi na haya tunayaona. Kwa maoni yangu hii siyo njia sahihi, na kiongozi mzuri atakiwi awe hivi.
Well said mkuu.
Pamoja
- Kijana mdogo hapa hakuna kujuana hapa wewe nenda kauze mbao za baba yako fisadi!!
Le Mutuz!!
- Siri ya nini ya kuolewa na mke na familia yake? Na mtumzima na mke na watoto kuishi kwa baba na kfanya kazi kwa baba? pleaseeee! ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
BAKMatusi miye pia nayaweza lakini sitaki kufuata mkondo wako.
- Nikuonee wivu kwa nini kikampuni cha wizi wa baba yako wa hela za wananchi? ha1 ha1
Le Mutuz!!
Mkuu @rejeo leo umeandika kwa kutumia akili yako Big up nimekupa like
Hapa umejibu kivivu mtu anajipinda na kuandika page nzima wewe unajibu kwa maneno matatu ebu jipanue kimawao kidogo
Wewe ndo unasema ni kiongozi kwa kitaifa? taifa gani? Mkuu ukiendelea hivi hutofika mbali unaingia kwenye mtego husioujua
Too low kaka
51 years huna mke? Mkuu wewe utakuwa MGUMBA AU mamb
o yetu yatakuwa hayafanyi kazi
- ha! ha! ha! ha! ha!ETi least wananchi hapa wana uhakika kwamba mimi kiongozi wao wa Taifa sio shoga, maana siku hizi Dunia imeharibika sana mnachagua kiongozi wa taifa kumbe shoga! ha! ha! ha!
- But in me what you see is what you get, kudadeki yaani Kiongozi Rijali! ha1 ha! ha! ha!
Le Mutuz!!
Mkuu chama,
Kinachonifurahisha kwenye huu uzi kila Pro-Chadema JF akijitokeza kupambana Le Biig Shoow le Mutuz ananawapa za uso mpaka wanatia huruma walikuwa hawajazoea kujibiwa.
Mkuu Ritz, nimefuatilia hii thread toka mwanzo. Nimeshindwa kuchangia cuz nimeona ni kama watu wameanza kushambuliana badala ya kubaki kwenye mada husika. Kwa kiasi kikubwa naona William amekosea sana, kuna mambo hakupaswa kuandika, though tumeshamzoea!! Kwa nafasi tuliyompa hakutakiwa aonyeshe this kind of behavior. Anyway, chama kinafahamu zaidi na haya tunayaona. Kwa maoni yangu hii siyo njia sahihi, na kiongozi mzuri atakiwi awe hivi.
- Kijana mdogo hapa umefika kwa The King Of All Bongo Social Network Media, ukitaka hoja sawa ulianza na viroja umepewa exactly what you asked for!! ninasema bravo makamanda wa CCM online mwendo uwe n i ule ule, wameshika online wka muda mrefu saan sasa basi, mwendo ni nginja nginja!!
Le Mutuz!!
Badilika bana bado una muda wa kutosha kuweza kufanya hivyo au siku moja utakuja kuyakumbuka maneno yangu.
ahaa haaa muoze mama yako ilia awe baba yako kambo!
Chama
Gongo la mboto DSM