Finally: Hongereni Wana-CCM Online!!

Status
Not open for further replies.
dah...hata huyu anajíita father of all.naye ni walewale?.
Kama ndo hivyo kumbe hali ni ngumu.si waende vijijini wakalime.posho yenyewe inawatosha kweli kwa maisha ya bongo.kha...!!

Mkuu Ritz
Huyo father of all kama sio Matola ni Molemo haiwezekani hata siku moja tusimuone mmoja wao ndani ya hii thread wameingia kwa ID zingine wanajua moto wa william mzito wameamua kujificha

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Mjadala unaenda kwa hoja pro cdm na pro ccm bt kuna watu wanaelekea kuharibu huku mwishoni
 
Hongera zako weye mwenye maana...yote niliyoyaandika yameshawekwa hapa jamvini sasa sijui cha ajabu ni kipi. Weye naye ni magamba mwingine kwa hiyo huna jipya zaidi ya kutetea uozo wa DHAIFU na Serikali yake DHAIFU.

cha ajabu ni kuingiza personal beef yako wewe na Le mutuz.HAKUNA MANTINKI ,sioni sababu ya wewe kuingilia maisha yake binafsi after all the man isnt even running for presidential ellection.
Which led me to conclude that you dont have a point here.you are just trying to use this to attack Le mutuz personaly.
 
Ukitaka kuchafua hali ya hewa hapa jukwaani,sema ukweli kwamba cdm kwa sasa si lolote wa chochote,inayumba.
 
Mkuu Ritz
Huyo father of all kama sio Matola ni Molemo haiwezekani hata siku moja tusimuone mmoja wao ndani ya hii thread wameingia kwa ID zingine wanajua moto wa william mzito wameamua kujificha

Chama
Gongo la mboto DSM

Huyu jamaa ni bingwa wa Multiple ID's kuna siku alijichanganya nilicheka.
 
Last edited by a moderator:

hivi yule mgombea urais wa ccm aliyetaka kusilimishwa na waarabu then agombee urais ni nani vile ilikuwa mwaka 1995 mpaka kupelekea nyerere kutoa kitabu cha tanzania na hatma ya viongozi wetu.le mutuz alikuwa na umri gan?
 
Mchambuzi ni mbwa mwitu ndani ya SuRa Ya KoNdOo uchambuzi wake japo huwa na chembe ya ukweli lakini mara zote umejaa hila (UzAnDiKi). Kwa msemo wa JK huyu ni nyoka mwenye ndimi mbili. Anaposema hana mission nayo ni hila kwani kwa tunaosoma post zake tunafahamu kuwa katumwa japo wanaoshambuliwa ni akina ritz lakini huyu naye sidhani kama yupo upande wao bali upande wa pili. YETU MACHO MTASEMA YOOOOOOOOOOOOOTE.
 
Last edited by a moderator:

chama,
Nakubaliana na wewe mkuu, but inabidi tuwe makini sana wakati wa kujibu kuchagua cha kuandika na cha kutoandika. Tuendelee kuwasambaratisha hawa wapinzani uchwara but tujue mipaka yetu!!

Naona leo mmewakimbiza kabisa. Big up mkuu.
 
Last edited by a moderator:
That is your opinion, but I beg to differ with your opinion. Maisha yake hayana siri na sioni cha ajabu yoyote kumwambia mtu aache utoto na kubadilika ili aanze kusimamia responsibilities zake kama Baba na pia mume badala ya kufanya vitu vya ajabu ajabu. Huo ni ushauri ambao ningempa hata ndugu yangu wa kutoka nitoke. Akitaka anaweza kuufuata au la na kuendelea na utoto wake.

 

Mkuu BAK
Tueleze yako tuone nani anaishi kwa mgongo wa baba!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:

dah...jamaa anaanza mascandal kabla hata hajanusa statehouse...hatari kubwa.
 
Last edited by a moderator:
Well said mkuu.
Pamoja
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale wanaonifahamu hapa jamvini wanajua mimi nafanya nini. Sioni sababu yoyote ya kujieleza kwako wewe mtetezi wa uozo wa DHAIFU na magamba. Hunijui wala sina mpango wa kutaka unifahamu hunipunguzii wala kuniongezea chochote kile.

Mkuu BAK
Tueleze yako tuone nani anaishi kwa mgongo wa baba!!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
WJM,
Nakupongeza na kukuhimiza uendelee na njia hii ya kuilinda na kuihami CCM kwa akili na nguvu zako zote. Njia hii itakulipa mapema zaidi. Hivi ndivyo anavyofanya Mwigulu BUNGENI na ndivyo pia anavyofanya Wassira MAJUKWAANI. Sote tumeshuhudia idadi ya kura walizopata mkutano mkuu wa CCM uliopita. Usikatishwe tamaa wala kuyumbishwa na matusi na kejeli za humu JF. Akina Kinana na Nape wanaona jitihada zako hizi mpya. Kura zako hazikutosha kwa kuwa wengi ndani ya CCM walikuwa hawajagundua "UZALENDO" wako ndani ya CCM na sio NCHI. Kwako ni CCM kwanza NCHI baadae!
 

utoto gani bana?kupiga picha na hao wadada ndo utoto.
Au kufunguka humu jf kama anavyofanya..cooomon man everyone has got his/her style ,you cant force him to do what you want in his life.IT IS HIS CHOICE.
Na yeye sio wa kwanza hapa duniani kuachana na mkewe,so huwezi kucapitalise hiyo issue na kuitumia kudiscredit
 
me nawapa pongezi moja tu, kwa kuanza kuzinduka kukijenga chama upya maana walijisahau sasa sijui kama watafanikiwa ama vipi, mungu akipenda wanaweza kusimama vizur CCM kwa sababu CCM si chama kibaya ila kuna watu wabaya na hao watu wabaya ndo wanafanya CCM hionekane mbaya na hao watu wabaya wameshindwa kuwatoa sasa ubaya unazidi, na wabaya wanazidi jaman KUFUGA MARADHI NI VIBAYA SANA MAANA YAKISHAKUWA MAKUBWA YANAKUGHARIMU ZAIDI.
 
Inawezekana wewe unaona hivyo, lakini kwa mtu mwenye umri kama wake mambo anayoyafanya ya kwenda kupiga picha na warembo ambao wanaweza kuwa binti zake na kuziweka online kwa wengi hayaingii akilini. Kumdhalilisha mkewe kwenye mitandao pia si jambo la kistaarabu na ukweli ni lazima usemwe.

 
Ivi we una akili?au zote zimehamia tumboni?kwanini kila mtu unamuhusisha na Dr.Slaa?huwezi kumaliza thread bila kumtaja Dr?
- uhuni ni kuiba mek wa mwananchi unayemdanganya untaka kumuongoza! ha! ha1 ha!, tena kwa mtu mwenye PhD ya kanisani! ha! ha! ha! huo ndio uhuni!!

Le Mutuz!!
 
Kwa wale wanaonifahamu hapa jamvini wanajua mimi nafanya nini. Sioni sababu yoyote ya kujieleza kwako wewe mtetezi wa uozo wa DHAIFU na magamba. Hunijui wala sina mpango wa kutaka unifahamu hunipunguzii wala kuniongezea chochote kile.

Le Mutuz mbona anasema anakujua mpaka mdingi wako!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…