Finally: BBC speaks the truth

Finally: BBC speaks the truth

Kweli kabisa, hata mada mama(plus documentary) hazikanushi uwepo wa genocide Bali inakuza uelewa wa chanzo cha genocide kwa faida ya vizazi vijavyo. Kama PK siyo chanzo cha genocide aende ICC akakanushe.

ndio mkuu. Na kwa kuongezea tu ni kuwa, targeted killings kwa ukabila inaitwa genocide, hivyo hata ukiua watu wawili in that way, its called genocide. Lakini killings randomly hata uuwe watu 100000 haiitwi genocide.
Tatizo la Rwanda, watu wanashupalia mauaji ya interahamwe ambayo kweli yalikuwa genocide, kwa maana waliua watutsi kwa sababu tu ni watutsi, lakini hawataki kujadili mauaji ya wengi zaidi yaliyofanywa na kagame ambayo hayaitwi genocide.
 
Aisee nimeangalia documentary...kumbe hata uchaguzi anachakachua...wahutu hawawezi mpa ushindi wa 95 percent...ndo maana alimfunga yule mama aliyetaka kugombea urais maana wahutu wangempa kura piga ua...ha ha ha ndio maana mimi huwa nadharau hawa so called waangalizi wa uchaguzi...

Afu akina Blair na Clinton sasa hivi watakuwa wanatafuta pa kujificha...ndio maana Blair kagoma kuhojiwa. Hana majibu...lol
 
Hata NAZI walikufa in process ya kufanya uharamia wao,same fate iliwakuta interahamwe wenzako,then unataka mkumbukwe kwa lipi?huo kama sio wehu ni nini,yote unayopost humu is more of entertainment,propaganda and feel good stories kwa interahamwe wenzako and uninformed,in reality nobody takes you seriously na tunapokujibu usijione una lolote la maana sometimes tunataka kujua tuu what's on your mind ...language ya interahame ni prisons tuu,no need of any meaningful debate kwa watu who killed almost a million people

UKABILA WAKO UMEJIONYESHA WAZI WAZI:
1. Not all Germans were NAZI
2. Not all Hutus are interahamwe. Interahamwe were a small number of Hutus, plus we aren't even clear on that since we know for a FACT that even their PRESIDENT, ROBERT KAJUGA IS A TUTSI!!
3. sijaongelea vifo vya interahamwe, ninaongelea vifo vya wahutu wasio interahamwe. Labda njoo na hoja nyingine inayodai wahutu hawatakiwi kukumbukwa kwa sababu wahutu by default ni interahamwe.
 
Tutsi's insistence on the event according to their version will not erase the memories of Hutu's who lived during that violence era and their experiences.

Well with friends in high places ni rahisi watu wa nje kupewa perspecticve ya upande mmoja kutetea whatever they wish to promote. As an outsider na nisiekuwa na upande naweza kuungana na commentators ambao wanaijua hiyo Rwanda na siasa zake, the country is a 'dormant volcano' Kagame can gag people for now but he can not defy his own death when it calls even in natural occurrence. What will happen then? Maana kama tayari kuna makomando na very close allies ambao wamesha defect from his regime and are no longer supporting the forced versions of events unajiuliza je wale Wahutu ambao they feel powerless, wanao ona watu wao wasivyokumbukwa on what happended as Tutsi's are wanaoona serikari ni ya Watutsi tena na historia inajirudia sidhani kama Kagame anajenga tiafa imara anapalilia tu na kuwamgwagilia maji a situation which asks for a revenge. He was supposed to build hata kama alihusika sasa na yeye inabidi arudi kama Habyarimana alivyo fanya na kutoa mkono kwa FDLR, that will never happen kwa sababu anajua yeye alipopewa nafasi hiyo alifanya nini. Kumbe hawa jamaa zetu bogus sana.
 
Tutsi's insistence on the event according to their version will not erase the memories of Hutu's who lived during that violence era and their experiences.

Well with friends in high places ni rahisi watu wa nje kupewa perspecticve ya upande mmoja kutetea whatever they wish to promote. As an outsider na nisiekuwa na upande naweza kuungana na commentators ambao wanaijua hiyo Rwanda na siasa zake, the country is a 'dormant volcano' Kagame can gag people for now but he can not defy his own death when it calls even in natural occurrence. What will happen then? Maana kama tayari kuna makomando na very close allies ambao wamesha defect from his regime and are no longer supporting the forced versions of events unajiuliza je wale Wahutu ambao they feel powerless, wanao ona watu wao wasivyokumbukwa on what happended as Tutsi's are wanaoona serikari ni ya Watutsi tena na historia inajirudia sidhani kama Kagame anajenga tiafa imara anapalilia tu na kuwamgwagilia maji a situation which asks for a revenge. He was supposed to build hata kama alihusika sasa na yeye inabidi arudi kama Habyarimana alivyo fanya na kutoa mkono kwa FDLR, that will never happen kwa sababu anajua yeye alipopewa nafasi hiyo alifanya nini. Kumbe hawa jamaa zetu bogus sana.

Mkuu kama hujui kitu uliza. Ni hivi kuna maelfu ya waliokuwa FDLR ambao wamerudi Rwanda na kuachana na siasa za chuki na ukabila. Sasa hivi wako huru wanajenga nchi. Rwanda inaendeshwa vizuri na ndio maana inaendelea kwa kasi sana. Asilimia kubwa ya watu ni Hutu. Kama wasingekuwa wananufaika na uongozi thabiti wa Kagame nchi isingetawalika. Msipende kupotosha ukweli ndugu zangu. You make it sound as if the government of Rwanda and its institutions are exclusively Tutsi when it's never been like that. Unajua it is more complex than that. Being Tutsi is not an automatic strike-it-big ticket to success or fortune. It is not apartheid South Africa. Serikali inajumuisha wanyarwanda wote. If anything it is more hutu than tutsi solely based on numbers. Nawashauri muende Rwanda mkajionee nchi na sio kusoma hizi propaganda chafu za hawa interahamwe wakina jMali aka JustDoIt and his clique. Hawa ni paid agents wa FDLR ambao wako kimkakati zaidi kuichafua Rwanda. Kama mnabisha waulizeni ni lini mara ya mwisho wamekanyaga Rwanda?
 
Mkuu kama hujui kitu uliza. Ni hivi kuna maelfu ya waliokuwa FDLR ambao wamerudi Rwanda na kuachana na siasa za chuki na ukabila. Sasa hivi wako huru wanajenga nchi. Rwanda inaendeshwa vizuri na ndio maana inaendelea kwa kasi sana. Asilimia kubwa ya watu ni Hutu. Kama wasingekuwa wananufaika na uongozi thabiti wa Kagame nchi isingetawalika. Msipende kupotosha ukweli ndugu zangu. You make it sound as if the government of Rwanda and its institutions are exclusively Tutsi when it's never been like that. Unajua it is more complex than that. Being Tutsi is not an automatic strike-it-big ticket to success or fortune. It is not apartheid South Africa. Serikali inajumuisha wanyarwanda wote. If anything it is more hutu than tutsi solely based on numbers. Nawashauri muende Rwanda mkajionee nchi na sio kusoma hizi propaganda chafu za hawa interahamwe wakina jMali aka JustDoIt and his clique. Hawa ni paid agents wa FDLR ambao wako kimkakati zaidi kuichafua Rwanda. Kama mnabisha waulizeni ni lini mara ya mwisho wamekanyaga Rwanda?

Huko sahihi unaposema kama kupima ni bora kwanza kutembelea Rwanda na upate opinion za wanyarwanda wenyewe.

But also you can not deny kuna watu ambao bado watakuwa are unhappy you can never win them all even in liberal democratic societies. Tofauti ni pale kwenye liberal democratic societies those who are unhappy when they win elections they change policies and implement new ones; they see fit.

Sasa kwa Rwanda those who are unhappy it is not because of policies or Kagame's efforts to improve peoples life; rather they are unhappy of the regime its self and all it represents in society.

Ni mtu mjinga tu ndie atakae weza amini all Tusti's and Hutu's share radical views of hatred towards each other kwanza wanaweza kuwa wengi wapenda amani and unity kuliko wapenda fujo. But then you only need at least a minimum of 50 thousands (or less) from each side with hateful ideologies and willing to do whatever it takes to impose their rule to cause unimagined killings of innocent people and destabilize the nation. So long there are those two groups with radical thinking on how a government should look like there is always tension.

Kwa maana hiyo siku nikipata bahati ya kutembelea Kigali despite the faces of happy people I see the underlying politics still remain fragile and demands dictatorial leadership to maintain those happy faces, for how long? and how would that be solved in the future?

South Afrika walichofanya baada ya kupata independence was a reconciliation processes kama wewe mzungu ulikuwa mmbaguzi maarufu unaenda kwenye mahakama zao unatubu na waafrika waliokuwa wana radical views na wapo tayari kupigana wanaenda wanakubali na kila mtu anasema yalikuwa ni matendo yaliyochochewa na mazingira ya siasa za wakati huo.

I think Kigali did similar things not sure exactly of similarities with SA, lakini wewe uwezi kusema tunafunga the past chapter halafu bado unachama cha siasa ambacho kina bear hallmarks of what it was pre reconciliation. What RPF stood for and its initial members then is not helpful in winning overall support; the name bears hallmarks of Tutsi's militia and the atrocities they committed hata kama ni fueled acts of what Hutu's did.

Kama Kagame is serious he should start by toning down his rhetoric on his enemies, remove all the past connotions with divisions thinking and reasoning, bury the dead instead of enshrining the areas as memorial of what exactly (painful past or untrustworthy) na mwisho he should commit himself to politics of integration aunde ata upinzani ambao anaweza u control kwa sasa lakini uliojaa mchanganyiko wa watu na wenye kukosoa sera za maendeleo to shift political reasoning of the masses na image ya RPF ibadilike including the name.

Vinginevyo hisia za kale azitotoweka mimi sina first hand experience or a side zaidi ya welfare of humanity and the innocent who just want to be left in peace. But from what I read or watch from a different perspective its not hard to be won over by those who believe the nation is just a dormant volcano because of the existing tension. For how long again, it comes a point people have to accept the fact there is no option but to learn to leave together and find those ways.
 
Rwanda: The Untold Story": questions for the BBC

ANDREW WALLIS 6 October 2014

A deeply flawed BBC documentary on Rwanda's genocide raises serious questions over the corporation's ethics and standards.

"There is no reasonable basis for anyone to dispute that, during 1994, there was a campaign of mass killing intended to destroy, in whole or at least in very large part, Rwanda’s Tutsi population… That campaign was, to a terrible degree, successful; although exact numbers may never be known, the great majority of Tutsis were murdered, and many others were raped or otherwise harmed." [International Criminal Court for Rwanda, 16 June 2006]

It is not often a documentary comes along that totally reattributes the historical reality of a genocide in a mere one hour. Indeed the BBC programme Rwanda: the Untold Story, broadcast at prime-time on 1 October 2014, managed this in a record ten-minute section of its airtime. Twenty years of scholarly research by academics such as Gérard Prunier, Linda Melvern, Mahmood Mamdani,Howard Adelman, Jean-François Dupaquier, Jean-Pierre Chrétien and Allan Thompson (to name just a few) was pushed aside.

Thousands of witness interviews for the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR), archived documents and judgements were made equally redundant. So were many official reports by the United Nations Security Council in 1994 and 1999; the African Union; and human-rights groups - especially the landmark work by Alison des Forges at Human Rights Watch and Rakiya Omarat African Rights.

Instead, the BBC entrusted the exposure of the "true" story of the genocide to two American academics, Allan Stam and Christian Davenport, who had travelled to Rwanda in 1998 and found everyone they spoke to telling the same story about the genocide. This, they decided, was not because people were recounting what had actually happened but because they had been brainwashed or frightened into a massive cover-up.

Standing in front of a scientific-looking multi-coloured "results" map of Rwanda, they flashed up impressively scientific-looking statistics of troop movements across Rwanda in 1994 to prove their point. In essence, they alleged that instead of 800,000 Tutsi deaths there were only around 200,000. Even more incredibly, they proposed at least 800,000 Hutus had been killed at the hands of the Rwandese Patriotic Front (RPF), as they pushed the genocidal Rwandan army and Hutu militias from the country. The accepted death-toll figures by researchers such as Gérard Prunier, Alison des Forges and Marijke Verpooten’s forensic examination in 2005 are simply dismissed. As indeed are all legal judgments from the ICTR where hundreds of investigators, scholars and acute legal minds have worked for two decades.

Edward Herman and David Peterson were to use the "results" in their book The Politics of Genocide, published in 2010. It was swiftly discredited by scholars who ridiculed both the methodology of the research and its suspected underlying motivation. For example, Gerry Caplan, author of the African Union report Rwanda: the preventable genocide, criticised Herman and Peterson as being part of an ideologically driven core of genocide-deniers, genocide-revisers and opponents of the current Rwandan government. The main aim of this small group, Caplan argued, was to shift the blame for the tragedy to theirbête noir Paul Kagame, the current Rwandan leader, who has become for them (and some western media) a figure of intense, almost pathological, dislike. The BBC film certainly reflects this view.

The constant thread throughout the hour-long film was the desire to denigrate Kagame, through a cast-list of eight long-time enemies of the Rwandan leader. There was no balancing view, no attempt to analyse in depth or understand the history that brought Rwanda to the events of 1994. Instead viewers were treated to crushing tabloid accusations, pithy soundbites from the selected group of carefully chosen interviewees, sly insinuations and slo-mo shots of the Rwandan leader looking suitably diabolical. There was no new "untold" evidence to back up claims. Here was a chance for the highly complex, emotionally-charged Rwandan story to be considered on prime-time television. Instead it was reduced to a good vs evil parody that left anyone with knowledge of the country and its history, who surely included many genocide survivors in Europe, with a feeling of frank disbelief and anger.

What's untold

The event many see as the trigger for the genocide is the shooting down of the plane of President Juvenal Habyarimana on 6 April 1994. The film's cursory "explanation" for what happened was based on the claim by a single RPF defector, now in France, that he heard Kagame order the destruction of the plane. The programme also cited the report by French judge Jean-Louis Bruguière, published in 2006. This report has long since been derided for relying on half a dozen Rwandan defectors, many of whom swiftly went public to say that their statements had been corrupted to meet Bruguière's requirements, and that they had been promised French visas should they comply with his wishes. Wikileaks subsequently showed Bruguière’s none-too-subtle political agenda. The judge is currently under investigation for perjury, withholding evidence and obstruction of justice in other cases he handled.
Unsurprisingly, there is no mention of the more recent independent and meticulous report in 2012 by the investigating judge Marc Trévidic that showedclearly the missiles were fired from an area controlled by extremist Hutu units of the presidential guard; nor of research in 2008 by the UK’s Cranfield University that came to the same conclusion. Instead another academic is extensively cited: the Belgian professor and vociferous opponent of Kagame, Filip Reyntjens. Again, no mention of the fact that he was a long-term advisor to Habyarimana and has not been in Rwanda for twenty years. All this is a mockery of supposed investigative journalism.

The two main beneficiaries of the film are high-profile RPF defectors: Theogene Rudasingwa and General Kayumba Nyamwasa. Their views are unchallenged and taken, in effect, as gospel. No attempt is made to explore their own backgrounds and current political ambitions. Nyamwasa was head of Rwanda's army after the genocide, and was accused both of trying to build a separate power-base within the military and of involvement in a series of corruption scams and illegal land-grabs while in office. Rudasingwa was said to be implicated in a lucrative financial scam while employed in the office of the president. Rwanda’s zero tolerance of corruption, as witnessed byTransparency International, makes it unsurprising that both fled the country rather than face the charges against them. The two men, along with two other defectors (Patrick Karegeya and Gerald Gahima), founded an opposition party in exile, the Rwanda National Congress [RNC], in 2010 aimed at unseatingKagame.

Nyamwasa’s RNC is alleged to be allied to the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda [FDLR] in the borderlands of eastern DRC and Rwanda. The FDLR is made up of many genocidaire who fled to the region after the RPF pushed them from Rwanda, and has become synonymous with terrorising the local population over the past fifteen years, including the mass rape and murder of tens of thousands of innocent civilians. Its leader Sylvestre Mudacumura iswanted at the ICC for gross human-rights violations. FDLR atrocities inside Rwanda in recent years have left scores dead and injured from grenade attacks, with the RNC implicated in assisting funding and supply of arms to the group. Both Nyamwasa and Rudasingwa were sentenced in their absence by Rwandan courts - in Nyamwasa’s case not to life imprisonment (as the film affirms) but to twenty-four years for corruption, misuse of office, and threatening state security. Rudasingwa was given the same sentence in absentia.

The film features numerous such factual inaccuracies, misleading generalisations and omissions. There is no mention of the genocidal pogroms that caused hundred of thousands of Tutsis to flee between 1959 and 1972-73; nor of the fact that the RPF chose a military path back into Rwanda in 1990 precisely because Habyarimana had consistently blocked the peaceful return of the refugees to their homeland; nor of the genocidal massacres of thousands of Tutsis in 1990-93 by Habyarimana’s army and militia. The two terribleCongolese wars (1996-97, 1998-2003) are explained in a few short sentences though the motivation of the belligerents involved the highly complex interplay of six countries and dozens of militias, and originated in the border camps that were filled with genocidaire as well as innocent Hutu refugees. Both United Nations and Amnesty International reports have testified that these camps had become a launchpad for a planned re-invasion by the genocidal interim government and its forces.

What next?

The ethics of the BBC programme makers are extremely questionable. There was no evident attempt to talk to Tutsi survivors or survivor groups. The Rwandan organiser who assisted the film crew in practical arrangements was told it was purely a film about the twentieth commemoration; months afterwards he was called suddenly by the BBC producer, told the film was highly controversial, his life could be in danger, and that he should flee. The very serious implication is that the documentary makers were prepared to put his life, and that of his wife and children, in danger, without ever mentioning this to him until too late.

The site director of the genocide memorial at Murambi, Gaspard Mukwiye - who tends the place and the memories of its 50,000 Tutsi victims, and is himself a Tutsi survivor - was also persuaded into taking part in a film that effectively denied his acute suffering and personal loss, still vividly etched on his face. It should be noted the "repressive" regime the film portrayed gave the BBC complete open access to its media archives and to film wherever and whatever it wanted.

The BBC has since 2006 many times reaffirmed its editorial guidelines, including that "we should do all we can to ensure that controversial subjects are treated with due accuracy and impartiality in all relevant output." Viewers can make up their own minds how accurate and impartial this programme is and wonder if other genocides are next on the BBC revisionist menu, subsumed under its current obsession to "break news" and controversies. That is the best-case interpretation. It can only be hoped the corporation is not home to senior executives who actively hold malevolent views of genocide denial which they are misusing public money and privilege to promote.



Mleta maada naomba sana usome na utoe comment kwa hii story ya Wallis, naona umeikwepa weeeee kama vile hujaiona au kama vile sio important againts your posted documentary! please REJEA NA UTOE COMMENT😡. Hii Documentary iko biased 100% kwani walioulizwa wote na ambao wametoa shutuma dhidi ya Kagame hakuna hata mmoja ambaye yuko Neutral, kila mmoja ana sababu zake; Andrew Wallis amekuonyesha how. by the way the Guy is one of prominent researcher ambaye ameonyesha kasoro zilizomo kwenye hii documentary in fact it lacks Ethics za uandishi wa habari.
"The ethics of the BBC programme makers are extremely questionable. There was no evident attempt to talk to Tutsi survivors or survivor groups. The Rwandan organiser who assisted the film crew in practical arrangements was told it was purely a film about the twentieth commemoration; months afterwards he was called suddenly by the BBC producer, told the film was highly controversial, his life could be in danger, and that he should flee. The very serious implication is that the documentary makers were prepared to put his life, and that of his wife and children, in danger, without ever mentioning this to him until too late."

The BBC has since 2006 many times reaffirmed its editorial guidelines, including that "we should do all we can to ensure that controversial subjects are treated with due accuracy and impartiality in all relevant output."
It was not done that way, by Interviwing Kayumba, Theogene, Reyntjens or other fugitive only, on issues about Kagame it demontrated the bias ness of it

By the way here is another link from the same BBC for you Mr.JMali: http://www.bbc.com/news/world-africa-16472013

[h=1]Rwanda genocide: Kagame 'cleared of Habyarimana crash'[/h]Continue reading the main story [h=2]Rwanda: Haunted Nation[/h]

A report has appeared to clear Rwanda's President Paul Kagame of orchestrating the 1994 assassination of the country's then-leader Juvenal Habyarimana.
The team - mandated by a French inquiry - visited the scene of the attack to work out the trajectory of the missile which shot down his plane.
The crash was one of the triggers that sparked the genocide.
An earlier French probe blamed Mr Kagame and his allies, but they say Hutu extremists killed Habyarimana.
Rwanda's government has welcomed the conclusions of this new report.
The plane crash on 6 April 1994 - in which Habyarimana and Burundi's leader died - triggered the genocide of 800,000 Tutsis and moderate Hutus in just 100 days.
The killings came to an end when the Tutsi-led Rwandan Patriot Front (RPF) rebel movement, headed by Mr Kagame, captured Rwanda's capital, Kigali.
Elite presidential troops Continue reading the main story [h=2]Analysis[/h]
_56093923_56093922.jpg
Hugh Schofield BBC News, Paris
This is an important development in the row over the Habyarimana assassination, because it removes much of the force from the theory that he was killed by President Paul Kagame's then RPF rebels. The emergence of this theory - and then the support it received from France's leading anti-terrorist judge - caused a total diplomatic breakdown between Paris and Kigali.
In the Rwandan capital, it was widely believed that the judge was under government instructions to implicate Mr Kagame's men in order to deflect attention from France's own alleged guilt in the 1994 massacres. There is no evidence of that. But it is true that claims about RPF involvement were based mainly on the evidence of defectors, which could not be seen as reliable.
The new technical report - ordered by a new judge - appears to be based on much more solid evidence. The experts say the missile that downed President Habyarimana's jet must have come from his own army camp. In other words, it must have been fired by Hutu extremists. That is exactly the version that President Kagame has always upheld.
If the report ends up exculpating the associates of Mr Kagame named in the investigation, there will be much relief in Kigali. Probably in the French foreign ministry too.

Correspondents say the court on Tuesday concluded that the missile was shot from a distance of up to 1km (more than half a mile) away from the plane, which was about to land at Kigali airport.
At the time this area was held by the Rwandan army - a unit of elite presidential troops.
The experts say it would be very difficult for forces loyal to Mr Kagame to be in this area and therefore shoot down the plane.
They concluded that it would have been much easier for Habyarimana's troops or French troops who were in the area to launch the missile.
In 2006, a French judge accused Mr Kagame and his allies of killing Habyarimana - an allegation he dismissed as "ridiculous" and which prompted him to break off relations with Paris for three years.
Five years later, in 2011, a former senior ally of the president Theogene Rudasingwa - the RPF's secretary general and a major at the time of the genocide - also accused Mr Kagame. Mr Rudasingwa fell out with the president and now lives in exile in the US.
Mr Kagame has always insisted that Hutu hardliners - who considered Habyarimana too moderate - shot down the plane and blamed the RPF to provide a pretext for carrying out the premeditated slaughter.
Critics of the 2006 investigation said it failed to visit the area of the attack, or interview the nine high-ranking RPF officers it accused of involvement. It said the missile was shot from a distance of four kilometres away from the airport.
French judge Marc Trevidic headed this latest French inquiry, launched - with the full co-operation of the Rwandan authorities - towards the end of 2010 because the French crew of the plane also died.
The team has interviewed six of those accused in the 2006 report and conducted a forensic investigation. Two missiles specialists, two air accident experts, a pilot, two surveyors and a sound expert have reconstructed the sequence of the attack.
'Unhappy' Following this report, Judge Trevidic can either drop the affair or continue his investigations, which could result in a court case.
"Today's findings constitute vindication for Rwanda's long-held position on the circumstances surrounding events of April 1994," Rwanda's Foreign Minister Louise Mushikiwabo said in a statement.
The lawyer for the Habyarimana family said they are unhappy about the report's conclusions - questioning the credibility of the experts - and they still want someone to be found guilty.
"It does not matter where the shooting took place," Habyarimana's son Jean-Luc told the BBC's Great Lakes service.
"What matters is who fired the missile," he said.
Habyarimana's widow, Agathe, told the BBC that she wanted the French inquiry to find out who had bought the allegedly Russian missile that hit the plane - because that would help to identify those behind the attack.
Rwanda has historically been beset by ethnic tension. It worsened under Belgian colonial rule when the Tutsi minority enjoyed better jobs and better education than the Hutu majority.
At independence, following inter-ethnic violence, many thousands of Tutsis went into exile in Uganda from where they eventually launched a civil war in 1990.
A 1993 peace agreement was supposed to usher in a power-sharing government - but it did little to stop the unrest.
[h=2][/h]
 
Andrew wallis ni MSHAURI WA KAGAME/SERIKALI YA RWANDA. On the other hand ushahidi wa documentary ambao ni mzito zaidi umetokea kwa:

1. Former ICTR prosecutor:
2. Former UN officals.

Hawa wako vipi biased? je ni mainterahamwe au RNC?
 
Huko sahihi unaposema kama kupima ni bora kwanza kutembelea Rwanda na upate opinion za wanyarwanda wenyewe.

But also you can not deny kuna watu ambao bado watakuwa are unhappy you can never win them all even in liberal democratic societies. Tofauti ni pale kwenye liberal democratic societies those who are unhappy when they win elections they change policies and implement new ones; they see fit.

Sasa kwa Rwanda those who are unhappy it is not because of policies or Kagame's efforts to improve peoples life; rather they are unhappy of the regime its self and all it represents in society.

Ni mtu mjinga tu ndie atakae weza amini all Tusti's and Hutu's share radical views of hatred towards each other kwanza wanaweza kuwa wengi wapenda amani and unity kuliko wapenda fujo. But then you only need at least a minimum of 50 thousands (or less) from each side with hateful ideologies and willing to do whatever it takes to impose their rule to cause unimagined killings of innocent people and destabilize the nation. So long there are those two groups with radical thinking on how a government should look like there is always tension.

Kwa maana hiyo siku nikipata bahati ya kutembelea Kigali despite the faces of happy people I see the underlying politics still remain fragile and demands dictatorial leadership to maintain those happy faces, for how long? and how would that be solved in the future?

South Afrika walichofanya baada ya kupata independence was a reconciliation processes kama wewe mzungu ulikuwa mmbaguzi maarufu unaenda kwenye mahakama zao unatubu na waafrika waliokuwa wana radical views na wapo tayari kupigana wanaenda wanakubali na kila mtu anasema yalikuwa ni matendo yaliyochochewa na mazingira ya siasa za wakati huo.

I think Kigali did similar things not sure exactly of similarities with SA, lakini wewe uwezi kusema tunafunga the past chapter halafu bado unachama cha siasa ambacho kina bear hallmarks of what it was pre reconciliation. What RPF stood for and its initial members then is not helpful in winning overall support; the name bears hallmarks of Tutsi's militia and the atrocities they committed hata kama ni fueled acts of what Hutu's did.

Kama Kagame is serious he should start by toning down his rhetoric on his enemies, remove all the past connotions with divisions thinking and reasoning, bury the dead instead of enshrining the areas as memorial of what exactly (painful past or untrustworthy) na mwisho he should commit himself to politics of integration aunde ata upinzani ambao anaweza u control kwa sasa lakini uliojaa mchanganyiko wa watu na wenye kukosoa sera za maendeleo to shift political reasoning of the masses na image ya RPF ibadilike including the name.

Vinginevyo hisia za kale azitotoweka mimi sina first hand experience or a side zaidi ya welfare of humanity and the innocent who just want to be left in peace. But from what I read or watch from a different perspective its not hard to be won over by those who believe the nation is just a dormant volcano because of the existing tension. For how long again, it comes a point people have to accept the fact there is no option but to learn to leave together and find those ways.

Arguments za namba huwa sio sahihi kwa kila jambo fikiria:
1. je wakati wa Apartheid South africa haikuwa na maendeleo kuliko nchi zote za Africa? Ungesemaje endapo makaburu wangedai "look SA is majority Black" so there is no problem! Hivyo hivyo hizi propaganda za kagame kuwa kwa sababu tu wahutu ndio majority basi maendeleo ya Rwanda pia yanawainclude wao ni LIES!
kama ambavyo wakati wa apartheid kulikuwa na few token black leaders in the white regime with absolutely no power at all, ndivyo hivyo hivyo ilivyo Rwanda. Baadhi ya vyeo huwekwa wahutu ili tu kuleta impression ya usawa lakini actually power resides with the tutsis. Mfano wakati ule rais alikuwa mhutu Twagiramungu, makamu alikuwa kagame. Lakini eti Kagame ndio alikuwa AMIRI JESHI MKUU!, hapo hapo Kagame tena alikuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA! Yaani kagame kakusanya jeshi lote, intelligence institutions zote na nusu ya urais (umakamu wa rais)! Sasa hapo huyu Rais mhutu ni rais kweli? Twagiramungu alipokuwa frustated na hilo akajiuzulu na kuanzisha chama chake, KAGAME AKAMFUNGA!
Ubaguzi Rwanda bado upo ila hauna jina. Pitia hii thread:https://www.jamiiforums.com/international-forum/737552-ict-lessons-from-rwanda.html. Inaonyesha vizuri. Watutsi ni asilimia 15 tu, wahutu ni 85. Lakini zile shule zenye laptop wameweka watoto wa watutsi asilimia 50! sasa hapo kuna usawa gani?
 
Mkuu kama hujui kitu uliza. Ni hivi kuna maelfu ya waliokuwa FDLR ambao wamerudi Rwanda na kuachana na siasa za chuki na ukabila. Sasa hivi wako huru wanajenga nchi. Rwanda inaendeshwa vizuri na ndio maana inaendelea kwa kasi sana. Asilimia kubwa ya watu ni Hutu. Kama wasingekuwa wananufaika na uongozi thabiti wa Kagame nchi isingetawalika. Msipende kupotosha ukweli ndugu zangu. You make it sound as if the government of Rwanda and its institutions are exclusively Tutsi when it's never been like that. Unajua it is more complex than that. Being Tutsi is not an automatic strike-it-big ticket to success or fortune. It is not apartheid South Africa. Serikali inajumuisha wanyarwanda wote. If anything it is more hutu than tutsi solely based on numbers. Nawashauri muende Rwanda mkajionee nchi na sio kusoma hizi propaganda chafu za hawa interahamwe wakina jMali aka JustDoIt and his clique. Hawa ni paid agents wa FDLR ambao wako kimkakati zaidi kuichafua Rwanda. Kama mnabisha waulizeni ni lini mara ya mwisho wamekanyaga Rwanda?

Simple answers for simple minds, ukweli ni kinyume cha unachosema, kunaorodha ndefu ya wahutu waliouliwa na agents wa PK post genocide kwasababu tu ni wahutu wenye ushawishi, sababu za Kagame kuwawinda akina Nyamwasa na karegeya si tu kwamba wanam- critisise Bali pia kwakuwa aliwatumia kuangamiza kizazi cha wahutu na sasa anafuta ushahidi.
 
Andrew wallis ni MSHAURI WA KAGAME/SERIKALI YA RWANDA. On the other hand ushahidi wa documentary ambao ni mzito zaidi umetokea kwa:

1. Former ICTR prosecutor:
2. Former UN officals.

Hawa wako vipi biased? je ni mainterahamwe au RNC?

Hata prof mwaikasu ali- critisize mfumo wa uendeshaji wa ICTR ikionesha kuwa kulikuwa na mkono wa Kagame ambapo mahakama ilikuwa imeondoa ushahidi wa kimazingira na kuonekana kama mashahidi wengi niwakupika. Kilichomkuta Mwaikasu kila MTU anakijua.
 
Simple answers for simple minds, ukweli ni kinyume cha unachosema, kunaorodha ndefu ya wahutu waliouliwa na agents wa PK post genocide kwasababu tu ni wahutu wenye ushawishi, sababu za Kagame kuwawinda akina Nyamwasa na karegeya si tu kwamba wanam- critisise Bali pia kwakuwa aliwatumia kuangamiza kizazi cha wahutu na sasa anafuta ushahidi.

I could care less what you think of my intellect. Wapenda amani hatuko hapa kuwafurahisha genocidaire kama wewe. Pinga hoja kwa hoja. Unataka na mimi nijaze quotes kurasa nzima kama mfanyavyo ninyi na sources zenu za ki-genocidaire. JF is for free thinkers na sio ku-copy na ku-paste. Andika unachochambua wewe kwa akili yako kama mwenye fikra huru. Wide nosed bastard!
 
Arguments za namba huwa sio sahihi kwa kila jambo fikiria:
1. je wakati wa Apartheid South africa haikuwa na maendeleo kuliko nchi zote za Africa? Ungesemaje endapo makaburu wangedai "look SA is majority Black" so there is no problem! Hivyo hivyo hizi propaganda za kagame kuwa kwa sababu tu wahutu ndio majority basi maendeleo ya Rwanda pia yanawainclude wao ni LIES!
kama ambavyo wakati wa apartheid kulikuwa na few token black leaders in the white regime with absolutely no power at all, ndivyo hivyo hivyo ilivyo Rwanda. Baadhi ya vyeo huwekwa wahutu ili tu kuleta impression ya usawa lakini actually power resides with the tutsis. Mfano wakati ule rais alikuwa mhutu Twagiramungu, makamu alikuwa kagame. Lakini eti Kagame ndio alikuwa AMIRI JESHI MKUU!, hapo hapo Kagame tena alikuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA! Yaani kagame kakusanya jeshi lote, intelligence institutions zote na nusu ya urais (umakamu wa rais)! Sasa hapo huyu Rais mhutu ni rais kweli? Twagiramungu alipokuwa frustated na hilo akajiuzulu na kuanzisha chama chake, KAGAME AKAMFUNGA!
Ubaguzi Rwanda bado upo ila hauna jina. Pitia hii thread:https://www.jamiiforums.com/international-forum/737552-ict-lessons-from-rwanda.html. Inaonyesha vizuri. Watutsi ni asilimia 15 tu, wahutu ni 85. Lakini zile shule zenye laptop wameweka watoto wa watutsi asilimia 50! sasa hapo kuna usawa gani?

Twagiramungu alifungwa lini na kwa kosa gani? Kulinganisha apartheid South Africa na Rwanda ni kosa kubwa na upotoshaji. Apartheid was by law lakini hakuna sheria inayobagua watu Rwanda kwa ethinicity yao. Nitajie moja inayofanya hivyo? On the contrary sheria za Rwanda zinapinga kwa ukali ubaguzi wa aina yoyote ili kujenga jamii yenye umoja na mshikamano. Wewe unataka kwa kuwa hutu ni wengi basi wapewe kuongoza nchi kwa kuwa tu ni hutu. Mbona husemi Tanzania kwa kuwa ina waislam wengi basi wapewe nchi watawale wao tu. Au kwa kuwa wasukuma ni wengi basi wapewe nchi watawale kila sehemu. Lame arguments dude. Chuki sio msingi wa haki.
 
Huko sahihi unaposema kama kupima ni bora kwanza kutembelea Rwanda na upate opinion za wanyarwanda wenyewe.

But also you can not deny kuna watu ambao bado watakuwa are unhappy you can never win them all even in liberal democratic societies. Tofauti ni pale kwenye liberal democratic societies those who are unhappy when they win elections they change policies and implement new ones; they see fit.

Sasa kwa Rwanda those who are unhappy it is not because of policies or Kagame's efforts to improve peoples life; rather they are unhappy of the regime its self and all it represents in society.

Ni mtu mjinga tu ndie atakae weza amini all Tusti's and Hutu's share radical views of hatred towards each other kwanza wanaweza kuwa wengi wapenda amani and unity kuliko wapenda fujo. But then you only need at least a minimum of 50 thousands (or less) from each side with hateful ideologies and willing to do whatever it takes to impose their rule to cause unimagined killings of innocent people and destabilize the nation. So long there are those two groups with radical thinking on how a government should look like there is always tension.

Kwa maana hiyo siku nikipata bahati ya kutembelea Kigali despite the faces of happy people I see the underlying politics still remain fragile and demands dictatorial leadership to maintain those happy faces, for how long? and how would that be solved in the future?

South Afrika walichofanya baada ya kupata independence was a reconciliation processes kama wewe mzungu ulikuwa mmbaguzi maarufu unaenda kwenye mahakama zao unatubu na waafrika waliokuwa wana radical views na wapo tayari kupigana wanaenda wanakubali na kila mtu anasema yalikuwa ni matendo yaliyochochewa na mazingira ya siasa za wakati huo.

I think Kigali did similar things not sure exactly of similarities with SA, lakini wewe uwezi kusema tunafunga the past chapter halafu bado unachama cha siasa ambacho kina bear hallmarks of what it was pre reconciliation. What RPF stood for and its initial members then is not helpful in winning overall support; the name bears hallmarks of Tutsi's militia and the atrocities they committed hata kama ni fueled acts of what Hutu's did.

Kama Kagame is serious he should start by toning down his rhetoric on his enemies, remove all the past connotions with divisions thinking and reasoning, bury the dead instead of enshrining the areas as memorial of what exactly (painful past or untrustworthy) na mwisho he should commit himself to politics of integration aunde ata upinzani ambao anaweza u control kwa sasa lakini uliojaa mchanganyiko wa watu na wenye kukosoa sera za maendeleo to shift political reasoning of the masses na image ya RPF ibadilike including the name.

Vinginevyo hisia za kale azitotoweka mimi sina first hand experience or a side zaidi ya welfare of humanity and the innocent who just want to be left in peace. But from what I read or watch from a different perspective its not hard to be won over by those who believe the nation is just a dormant volcano because of the existing tension. For how long again, it comes a point people have to accept the fact there is no option but to learn to leave together and find those ways.

Happy Feet your wisdom and intellect is evident in your post. I agree to some extent to what you are saying because some of what you have suggested has been done in Rwanda e.g reconciliation, integration etc. I also agree that you can never please ever sector of society no matter how good a leader is. RPF's position is to bring people together. Yes PRF was formed largely by Tutsi exiles because they shared a common struggle i.e. the right to return (African Aaliyah). You have to bear in mind that successive governments in Kigali pre 1994 deliberately barred Tutsi from returning home. People make it sound as if the persecution of Tutsi started in 1990. Tutsi have always been discriminated against and treated like second class citizens since independence. Fast forward to 2014, Kagame is trying very hard to bridge the ethnic divide imposed on a people by institutionalized discrimination. You do realize that even kids in school were taught to discriminate against Tutsi. Kagame is very stern when it comes to discrimination of any kind. He does not entertain anyone (hutu or tutsi) disrespecting one another. Even asking for one's ethnicity has been banned and so have stupid ID cards which showed what ethnicity one was (used by hutu governments to ostracize Tutsi for decades).

But let's not be naive and think that all is merry just because there has been tremendous development in Rwanda with all people benefiting regardless of ethnicity. The schools, roads,jobs, business, health care system etc benefit every Rwandan. Despite it all, there are people, as you've eloquently analogized, who wish Kagame and the PRF harm. And this is mainly out of hatred on the part of hutu extremists and spite from exiled detractors like Kayumba and Rudasingwa and company. These people will say and do whatever it takes to destabilize Rwanda. I see the RNC (Kayumba &co) teaming up with FDLR and shake my head. It'd be funny only that a million Tutsi died senselessly. Kayumba is one of the most cold blooded beings on this earth. His disdain for Hutu is well known across circles of those in the knowing. For he to gang up with FDLR against Kagame is just preposterous. Anyway, my point being, Kagame has to be tough on divisionists and revisionists because they are bent on plunging Rwanda down the bloodletting path along ethnic lines. In my opinion, Kagame is the only one to keep the country together because there are still sentiments of hatred simmering among some people in Rwanda (hutu and tutsi). You can't entertain such dissent. That somehow you can call and indaba, talk things over and give each other hugs and all would be well, nah nah! His is the approach of true reconciliation from the grassroots level i.e. gacaca etc. From there you build up to the national level through inclusion and participation. You cant and wont please everyone but the majority of Rwandese support Kagame because they believe in his unifying policies that benefit all Rwandans.

Detractors and paid FDLR agents here cannot tell you one good thing done by Habyarimana or more recently what the policy of their armed terrorist group is (apart from their shared hatred for anyone and anything Tutsi).
 
Arguments za namba huwa sio sahihi kwa kila jambo fikiria:
1. je wakati wa Apartheid South africa haikuwa na maendeleo kuliko nchi zote za Africa? Ungesemaje endapo makaburu wangedai "look SA is majority Black" so there is no problem! Hivyo hivyo hizi propaganda za kagame kuwa kwa sababu tu wahutu ndio majority basi maendeleo ya Rwanda pia yanawainclude wao ni LIES!
kama ambavyo wakati wa apartheid kulikuwa na few token black leaders in the white regime with absolutely no power at all, ndivyo hivyo hivyo ilivyo Rwanda. Baadhi ya vyeo huwekwa wahutu ili tu kuleta impression ya usawa lakini actually power resides with the tutsis. Mfano wakati ule rais alikuwa mhutu Twagiramungu, makamu alikuwa kagame. Lakini eti Kagame ndio alikuwa AMIRI JESHI MKUU!, hapo hapo Kagame tena alikuwa WAZIRI WA ULINZI NA USALAMA! Yaani kagame kakusanya jeshi lote, intelligence institutions zote na nusu ya urais (umakamu wa rais)! Sasa hapo huyu Rais mhutu ni rais kweli? Twagiramungu alipokuwa frustated na hilo akajiuzulu na kuanzisha chama chake, KAGAME AKAMFUNGA!
Ubaguzi Rwanda bado upo ila hauna jina. Pitia hii thread:https://www.jamiiforums.com/international-forum/737552-ict-lessons-from-rwanda.html. Inaonyesha vizuri. Watutsi ni asilimia 15 tu, wahutu ni 85. Lakini zile shule zenye laptop wameweka watoto wa watutsi asilimia 50! sasa hapo kuna usawa gani?

There are always elements to seek legitimacy or justifying causes hata wazungu leo ukiwaambia swala la slave trade watakwambia ni waafrika ndio walikuwa wanawauza ndugu zao na kufanya biashara iwepo lakini wao walichowafanyia na umuhimu wao kwenye mashamba yao baada ya kuwanunua ndio hasa kilichofanya biashara ishamiri na iwe muhimu sana.

Kwa hivyo kwa Kagame off-course lazima kutakuwa na watu ambao wapo ku-justify his case for inclusiveness in politics, kutakuwa na haja ya kutoa picha there is democracy through elections na mengineo yenye ku-justify causes of actions.

Mimi sipo kwenye upande wa Hutu wala Tutsi nachoangalia ni tolerance and rights of individual that are at risk with such politics. Kama wangekuwa wanauana wenyewe kwa wenyewe wanaotaka madaraka fine let the man with power be the victor, lakini matatizo yao yasifike kwa wananchi ambao all they want is their security to live freely, build their communities and concentrate on improving their life chances. Hila kwa siasa za Rwanda the certainty has not been assured because of the existing politics ndio hapo napoona Kagame has to do more.

Who did what, when and how does not matter, changes come from current good politics for the most the people are just used to justify courses of the few, ata kwenye 'apartheid' sio wazungu wote walikuwa wanaona sawa kinachotendeka na walikuwa wanashiriki maandamano ya ANC, hata kwenye American civil right movement kulikuwa na wazungu wanaopigania changes sio mitaani tu mpaka kwenye power houses and those were clear binary people fighting for equality. Kwa hivyo ukiangalia tu 85 to 15 kama ni all out hatred Hutu's out number Tutsi's almost 6:1 in ratio sasa kila mtu akishika panga atabaki mtutsi kweli. Why that did not happen it is because a few people were doing the killings on both sides and a few people are obsessed who should run Rwanda based on their ethnicity whereby a majority just want to be left with peace and conduct their lives na watu hao hao watakwambia mimi nilimficha jirani yangu wakati wanakuja si hata Kenya ilikuwa hivyo.

Sasa basi serikari inamajukumu ya kuweka misingi ya tolerance hili raia wa enjoy na kujivunia uraia wao na fursa za nchi yao ndio matakwa ya wengi both Hutu's, Tutsis and Twaas; and not animosities against those clans zinazojengwa na watu wachache wenye uchu wa power form both sides.

Kagame anatakiwa alielewe si tu kwamba ni option kwakwe bali ni jukumu lake kwa raia wa Rwanda wanaotaka kuishi kwa amani and nothing more. That will not happen by concentrating on acknowledgement of genocide policies for the purposes of justifying dictatorship. Whatever happened were a result of circumstances now the government need to improve its relationship with the people of all kinds; kwanza for the most part the people live with circular ideologies ni wanasiasa ndio matatizo na wenye kuitaji kubadirika na commentators wanao chochea uwepo wa siasa hizo.
 
Hata NAZI walikufa in process ya kufanya uharamia wao,same fate iliwakuta interahamwe wenzako,then unataka mkumbukwe kwa lipi?huo kama sio wehu ni nini,yote unayopost humu is more of entertainment,propaganda and feel good stories kwa interahamwe wenzako and uninformed,in reality nobody takes you seriously na tunapokujibu usijione una lolote la maana sometimes tunataka kujua tuu what's on your mind ...language ya interahame ni prisons tuu,no need of any meaningful debate kwa watu who killed almost a million people
hivi population ya tutsis kabla ya genocide ilikuwa ngapi? Ina maana wanaosema watutsi 200K tu ndio waliouawa na 800K walikuwa ni wahutu hawana msingi wowote wa hoja yao? Naomba jMali na Talkandtalk mnipe ukweli wa hili swali langu, hasa population details.
 
Last edited by a moderator:
Twagiramungu alifungwa lini na kwa kosa gani? Kulinganisha apartheid South Africa na Rwanda ni kosa kubwa na upotoshaji. Apartheid was by law lakini hakuna sheria inayobagua watu Rwanda kwa ethinicity yao. Nitajie moja inayofanya hivyo? On the contrary sheria za Rwanda zinapinga kwa ukali ubaguzi wa aina yoyote ili kujenga jamii yenye umoja na mshikamano. Wewe unataka kwa kuwa hutu ni wengi basi wapewe kuongoza nchi kwa kuwa tu ni hutu. Mbona husemi Tanzania kwa kuwa ina waislam wengi basi wapewe nchi watawale wao tu. Au kwa kuwa wasukuma ni wengi basi wapewe nchi watawale kila sehemu. Lame arguments dude. Chuki sio msingi wa haki.

nakukumbusha tu kuwa nilishakutaliki usipoteze muda wako kujadili na mimi:

https://www.jamiiforums.com/interna...-to-dissenting-rpf-cadres-6.html#post10634149
 
Happy Feet your wisdom and intellect is evident in your post. I agree to some extent to what you are saying because some of what you have suggested has been done in Rwanda e.g reconciliation, integration etc. I also agree that you can never please ever sector of society no matter how good a leader is. RPF's position is to bring people together. Yes PRF was formed largely by Tutsi exiles because they shared a common struggle i.e. the right to return (African Aaliyah). You have to bear in mind that successive governments in Kigali pre 1994 deliberately barred Tutsi from returning home. People make it sound as if the persecution of Tutsi started in 1990. Tutsi have always been discriminated against and treated like second class citizens since independence. Fast forward to 2014, Kagame is trying very hard to bridge the ethnic divide imposed on a people by institutionalized discrimination. You do realize that even kids in school were taught to discriminate against Tutsi. Kagame is very stern when it comes to discrimination of any kind. He does not entertain anyone (hutu or tutsi) disrespecting one another. Even asking for one's ethnicity has been banned and so have stupid ID cards which showed what ethnicity one was (used by hutu governments to ostracize Tutsi for decades).
This is why I see his task being bigger na linahitaji muda. Bahati nzuri kwake mfano bora wa kujenga umoja hupo nchi jirani yake (Tanzania) si kwa wanasiasa wa sasa.

Lakini he could go back and learn on what Nyerere did, the first thing was to make himself trusted by everyone. Mfano Nyerere alipokuja kutoka Butiama alikuta watu Dar wameshaanza movement na kuna vyama vya siasa asingeweza palepale kuanza na maswala ya ujamaa na kujitegemea first thing first unataka uongozi onyesha unauwezo na wewe ni mmoja wao ili wakuamini. Baada ya hapo next phases little by little until anaingia kwenye muungano na villagization za ujamaa na kujitegemea all those stages aimed to build a solid nation with nationalism thinking and not tribal nor religious reasoning.

Kagame has he made enough efforts to win over the people after 20 years in power? umeona sisi Kagame aliposema ata mhit Kikwete where it hurts nadhani uliona wale wote wanaotukanana CDM na CCM waliamia kwake ajaribu aone wakabaki watu kama akina Koba tu ambao leo tushawajua.

Leo watanzania akitokea kiongozi ata kasoma vipi ajiunge upinzani people will want to know who is this guy first before they become popular in home politics. Can kagame claim the same akija Mnyarwanda mgeni anaempinga how will he be received yule bibi alietiwa jela awezi kuja Tanzania na kutaka uraisi CCM kwanza watasema hawa jamaa mbona kazi yetu wameifanya raisi uchaguzi huu mwacheni asimame simply kwa sababu ajulikani na current politics.

Kagame atakiwi kuogopa wanasiasa waliokimbia kama angekuwa anamecontrate na unity, patriotism and inclusiveness with less concentration on bad history because most people care for their own safety; for now some believe it might in the hands of their owns despite kagame's efforts in economic development a model praised by many outside watchers. Therefore more needs to be done to win people over in my eyes and reduce the thinking of us and them.
 
hivi population ya tutsis kabla ya genocide ilikuwa ngapi? Ina maana wanaosema watutsi 200K tu ndio waliouawa na 800K walikuwa ni wahutu hawana msingi wowote wa hoja yao? Naomba jMali na Talkandtalk mnipe ukweli wa hili swali langu, hasa population details.

Takwimu hizi hapa:

1. Census of 1991 gives total number of Tutsis at 596,387 which is 8.4% of the entire population of Rwanda

2. Serikali ya kagame inasema kuna
300,000 survivors. Hii ndio namba inayotumika na serikali kuomba misaada nje ya nchi. Kwa hiyo kwa haraka haraka ukichua hao laki 5 na pointi toa laki 3 na pointi utapata something kwenye laki mbili na pointi.

3. Mauaji yalifanyika MIAKA MITATU TU toka last census.
sasa hapo watutsi 800,000 mpaka milioni watatokea wapi? Maana yake ni kuwa kabila zima lilikufa na watutsi pekee walioko leo ni wale kagame aliotoka nao Uganda? Au katika hiyo miaka mitatu watutsi walizaana kama panya kila mwaka waliongeza mitoto zaidi ya 100,000?

4. Jambo ambalo linaondoa shaka yoyote ni watutsi wenyewe. Mwaka 2005 kikundi cha genocide surivors kilifanya sensa ya nchi nzima iliyopewa baraka na serikali, kuhesabu nyumba hadi nyumba watutsi waliokufa 1994. Zoezi simple kabisa lenye common sense. wanaingia nyumba ya mtutsi wanauliza wanaambiwa labda "alikufa mama, baba na shangazi" wanapata 3 au sio, wanaingia next house hivyo hivyo mwisho wakapata total ya: 355,745! Serikali mara moja ikazima hilo zoezi! Ndio maana ukiuliza genocide zote kuanzia ya wayahudi, armenians etc, utaambiwa figure exactly ya waliokufa, lakini hii "genocide against tutsis", uliza watutsi wangapi walikufa... HAKUNA! Utaambiwa tu kuwa "jumla wamekufa watu laki 8 mpaka milioni most of them TUTSIS". kumbe hiyo "most of them" ni hao laki tatu!
Kwa maana nyingine WATUTSI wenyewe wanaadhimisha vifo 355,745 ndio ndugu zao waliokufa! Kwa hiyo obviously waliobaki katika ile jumla ya 800,000 mpaka milioni ni WAHUTU! Hii ndio maana Victoire Ingabire aliuliza swali kiujanja, hakutaka ugomvi, "when will our dead be remembered"? Kagame akampiga miaka 8 fasta, why? it's because ukisema wahutu wahesabu wamepoteza watu wangapi LAZIMA WATAKUWA NDIO MAJORITY YA ILE LAKI 8 MPAKA MILLIONI. Kitu ambacho ingawa hakitaondoa "genocide against tutsis" kitaleta "genocide against Hutus", na mhusika wake ni Kagame na RPF!

5. UN yenyewe haikutambua genocide against tutsis, bali genocide against the people of rwanda. kupitia resolution yake ODS HOME PAGE iliita mauaji ya 1994 genocide against the people of Rwanda. Kwa sababu inajua nini hasa kilitokea. Kuwa at least watu wote walifanya genocide. Toka 1994, it was known hivyo DUNIA NZIMA kuwa ni genocide against the people of Rwanda.
Mwaka 2010 baada ya wakimbizi wa kihutu DRC kuchoka mashambulizi ya kagame, wakajiunga wakatengeneza chama cha FDLR. Ghafla bin vuu Kagame akabadili genocide against people of Rwanda kuwa ilikuwa ni "genocide against tutsis" na waliohusika ni.....FDLR!Miaka yote hiyo alikuwa wapi asijue kuwa ilikuwa ni genocide against tutsis?Na kama waliohusika ni FDLR miaka yote hiyo mbona hakuomba international community iwakamate?

watakaokubishia watakuja na hoja zifuatazo:

1. kwamba mwaka 1991, Habyarimana alichakachua sensa: wewe wajibu kuwa sensa ya mwaka 1991 ilisimamiwa na UN (UNDP, UNFAP, CEA) kwa msaada wa marekani USA na Canada. Hivyo ni vigumu sana kudai kulikuwa na uchakachuzi chini ya hawa watu.

2. RPA wakati huo walikuwa pia ni chama cha siasa. HAWAKUWAHI kudai kuwa sensa ya Rwanda inapendelea wahutu. Ni mpaka pale watu walipokokotoa mahesabu ya sensa baada ya 1994 ndio sasa wanadai kuwa sensa ilichakachuliwa. Lakini hata hivyo tunarudi pale pale. waulizwe hao watutsi waliopoteza ndugu zao jumla wamepoteza ndugu wangapi? Hilo serikali haitaki!!

3. vile vile kuhusu "genocide against tutsis" watadai kuwa UN imetambua mwaka huu. Ukweli ni huu. Kwa miaka 20 UN imekuwa inajua genocide against people of rwanda or simply rwandan genocide sio "genocide against tutsis". Mwaka huu Rwanda ilipata bahati ya kuwa mwenyekiti wa baraza la usalama. Kilichofanyika ni kuwa kulikuwa na mkutano wa UN kujadili resolution 2136, kuhusu usalama wa DRC. Wanyarwanda wakakwamisha mjadala wakidai definition ya FDLR iongezewe maneno "FDLR includes perpetrators of the 1994 genocide against the Tutsi in Rwanda, during which Hutu and others who opposed the genocide were also killed".
Kwa kuwa azimio hili la UN lilikuwa pana sana na lenye mambo mengi makubwa zaidi baraza likaona isiwe tabu, ikapitisha for the sake of peace in DRC. Kwa hiyo mtu akikuambia kuwa "hata UN wamesema genocide against tutsis", mkumbushe kuwa UN haikuwahi kusema hivyo as a stand-alone statement, but this is how this came about. Na kama ingekuwa UN imekubali kwa nini ifanye hivyo 2014? definition hiyo ya "genocide against tutsis" inapatikana kwenye hiyo resolution 2136 ambapo Rwanda ilikuwa mwenyekiti MWAKA HUU 2014 PEKEE, huipati kwenye document zingine zozote zile za UN.
 
Back
Top Bottom