mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,697
Filimbi napiga na trumpetVipi bado unapiga hizo zana mkuu au umeshazisahau?
Vzr tu
Ova
Filimbi napiga na trumpetVipi bado unapiga hizo zana mkuu au umeshazisahau?
Indian flute
Bongofleva wanatumia biti za kompyuta na filimbi zimo ndani kinachoongezwa ni madomo kubwabwaja.Mhh! Ina maana kizazi cha bongo fleva hakitaki kujifunza ala za muziki??
😂😂Bongofleva wanatumia biti za kompyuta na filimbi zimo ndani kinachoongezwa ni madomo kubwabwaja.
Kuna playback siku hizi Vijana hawavumbui wala kujihangaisha kuvijua vipaji vyao.Habari wakuu.
Kwa wale ambao wamesoma elimu ya msingi miaka ya 80 watakuwa wanakumbuka tulikuwa na bendi za gwaride la shule na tulikuwa tukitumia ngoma na zile filimbi zenye matundu manane. Hizi filimbi nakumbuka zilikuwa zinatolewa na serikali kwa ajili ya mashule na pia zilikuwa zinauzwa kwenye maduka mitaani.
Tulikuwa tunafundishwa namna ya kutumia ala hii ya muziki. Ni miaka mingi sijawahi tena kuiona ala hii ya muziki ikiuzwa mahali popote. Kwa mwenye kujua kama bado zinapatikana anijulishe ni wapi. Nakumbuka zilikuwa bei rahisi sana maana zilitengenezwa kwa mrija (pipe) ya bati na kipande cha mti kwenye sehemu ya kupulizia upepo. Miaka ile nadhani bei ilikuwa kama shilingi kumi hivi!
Sawa kabisa,miaka ya 1980 +Kumbukumbu yako ni sahihi kabisa. Bati za betri za National!
Hii ni hatari mno. Kwa kweli enzi zetu karibu kila mwanafunzi alikuwa anajua kupiga filimbiKuna playback siku hizi Vijana hawavumbui wala kujihangaisha kuvijua vipaji vyao.
Msondo Ngoma bado wanazoBongofleva wanatumia biti za kompyuta na filimbi zimo ndani kinachoongezwa ni madomo kubwabwaja.
Mimi nilijua kupiga ngoma shule ya msingi.Watoto wetu wanakaa kwenye sofa na kuangalia miziki tu.Hawajishughulishi kwa lolote.Ooh..Lord,have mercy!Hii ni hatari mno. Kwa kweli enzi zetu karibu kila mwanafunzi alikuwa anajua kupiga filimbi
Habari wakuu.
Kwa wale ambao wamesoma elimu ya msingi miaka ya 80 watakuwa wanakumbuka tulikuwa na bendi za gwaride la shule na tulikuwa tukitumia ngoma na zile filimbi zenye matundu manane. Hizi filimbi nakumbuka zilikuwa zinatolewa na serikali kwa ajili ya mashule na pia zilikuwa zinauzwa kwenye maduka mitaani.
Tulikuwa tunafundishwa namna ya kutumia ala hii ya muziki. Ni miaka mingi sijawahi tena kuiona ala hii ya muziki ikiuzwa mahali popote. Kwa mwenye kujua kama bado zinapatikana anijulishe ni wapi. Nakumbuka zilikuwa bei rahisi sana maana zilitengenezwa kwa mrija (pipe) ya bati na kipande cha mti kwenye sehemu ya kupulizia upepo. Miaka ile nadhani bei ilikuwa kama shilingi kumi hivi!
Habari wakuu.
Kwa wale ambao wamesoma elimu ya msingi miaka ya 80 watakuwa wanakumbuka tulikuwa na bendi za gwaride la shule na tulikuwa tukitumia ngoma na zile filimbi zenye matundu manane. Hizi filimbi nakumbuka zilikuwa zinatolewa na serikali kwa ajili ya mashule na pia zilikuwa zinauzwa kwenye maduka mitaani.
Tulikuwa tunafundishwa namna ya kutumia ala hii ya muziki. Ni miaka mingi sijawahi tena kuiona ala hii ya muziki ikiuzwa mahali popote. Kwa mwenye kujua kama bado zinapatikana anijulishe ni wapi. Nakumbuka zilikuwa bei rahisi sana maana zilitengenezwa kwa mrija (pipe) ya bati na kipande cha mti kwenye sehemu ya kupulizia upepo. Miaka ile nadhani bei ilikuwa kama shilingi kumi hivi!
Hizo filimbi zina Kazi gani
Kuna zile za mbao/miti pori zilikuwa nzuri sana.Mgambo wa hapa kijijini kwetu anayo ile ya ulinzi ya mbao anaiweka kwenye shati lake kifuani.Anatembea kwa kujidai sana huyu muheshimiwa.😂😂😂Wamachinga wanauza za plastic lakini wengi huwauzia watoto kama toys...
Zile za kitambo zilizoundwa kwa bati jepesi, binafsi sijawahi ziona miaka na miaka...
... hivi nyie madogo huko mashuleni huwa mnasomaga vitu gani? Umewahi angalau kusoma hadithi au kusikia stori ya "Mpiga Filimbi wa Hamelini"? Ndio hizo filimbi anaulizia mleta mada raslimali.Hizo filimbi zina Kazi gani
... na za bati pia zipo; hao jamaa (mgambo na sungusungu) wakizining'iniza shingoni wanajihisi ni alfa na omega! Halafu ni kama kanuni fulani hivi mifukoni lazima wawe na kadi fulani iliyochoka mbaya! Ha ha ha! Mkongwe johnthebaptist anajua sana hizo mambo.Kuna zile za mbao/miti pori zilikuwa nzuri sana.Mgambo wa hapa kijijini kwetu anayo ile ya ulinzi ya mbao anaiweka kwenye shati lake kifuani.Anatembea kwa kujidai sana huyu muheshimiwa.😂😂😂
... na za bati pia zipo; hao jamaa (mgambo na sungusungu) wakizining'iniza shingoni wanajihisi ni alfa na omega! Halafu ni kama kanuni fulani hivi mifukoni lazima wawe na kadi fulani iliyochoka mbaya! Ha ha ha! Mkongwe johnthebaptist anajua sana hizo mambo.
Uko sahihiKutoa ala ya muziki...kwa kiingereza huitwa flute
Kwa kweliKwa sisi tuliozaliwa miaka ya 90 tunaomba muongozo wa picha.....