CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
wang'wise naliyomba gekeh hivi zile filamu 3 za kikombe cha babu,mara kikaja cha dogo,kisha cha bibi bado filamu hizi zinaendelea au?na kama zinaendelea zimefikia season ya ngapi???????
Babu Ambi amesema anatarajia kurudi tena kwa kasi zaidi, ari zaidi na nguvu zaidi. Anadai ameoteshwa tena kwamba wale ambao walipata kikombe na hawakupona wanatakiwa kurudia tena kikombe. "Mungu ameniagiza kuwapatia kikombe cha pili wale wote ambao hawajapona magonjwa yao". Sasa hivi babu yuko kwenye maandalizi ya ujenzi wa majengo makubwa manne hapo hapo Samunge. Hajasema lini watu wataanza kufurika tena hapo kwake, ila amesema ni hivi karibuni kutakuwa na misafara ya watafuta tiba! NIPASHE LA 20/FEB
Na akwa hakika akitangaza tu kuoteshwa mara ya pili watu watakwenda tena!