fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,176
- 8,281
Nipo pembeni mwabkitanda changu nimekaa na kikombe cha kahawa,isiyokuwa na maziwa au sukari.Pembeni kuna redio ndogo nasikiliza mambo mbalimbali kwa sauti ya chini sana.Kitandani kalala mke wangu yupo fo fo fo kabisa.
Kalala kwa amani kabisa akijua yupo mlinzi wake.Nyumba nzima ni kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Ni ndege wanarukarika na kuimba nyimbo mbalimbali wala tafsiri yake sijui.Mimi ni babu na mke wangu ni bibi.Namuomba Mola atakapotuchukua,iwe hivi hivi tulivyo bila kuachana.Naba nyote mseme amina
Kalala kwa amani kabisa akijua yupo mlinzi wake.Nyumba nzima ni kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Ni ndege wanarukarika na kuimba nyimbo mbalimbali wala tafsiri yake sijui.Mimi ni babu na mke wangu ni bibi.Namuomba Mola atakapotuchukua,iwe hivi hivi tulivyo bila kuachana.Naba nyote mseme amina