Fikra kuhusu watu wakimya


Mkuu wewe si mpole. Ila ukimya ndiyo humfanya mtu aogopwe na wengi wenye kuogopa ni wanawake. Kwahiyo yawezekana ukawa ni mkimya, tena kama ulivyosema na ukali pia unao basi hiyo ndiyo uchangia kufanya uogopwe na aina tofauti za watu.

Ila kwa uzoefu wangu ukimya huwezafanya kuogopwa hata na wamama au wadada wakubwa.
 
Hapo umenena mm niko hivyo nawatu wananiogopa sana hasa watoto wa kike wanasema nadharau harafu nalinga kwaufupi ctaki matani ya kipuuzi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

We ni mkimya mkuu ila si mpole.
 
9. Akimzoea mtu huwa utani ni mwingi mpaka wengine wanajiuliza huyo amemzoeaje
 

Si hao tu, hata na wazee wenye mvi zao.
 
Hahahaaa no comment...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…