Fikra kuhusu watu wakimya


malizia basi tisa na kumi....
 

Kipendacho roho hula nyama mbichi. Sikulaumu kwakuchukulia kuwa michango yangu jukwaa la siasa ni utumbo ila si mahala pake.
 
Mimi ni mkimya hasa kwa watu wagen kwangu ila mkimya kias kidogo nyumbani. Ila megundua ukimya umenifanya baadhi ya watu siwez kuongea nao kabisa wala kuwa nao karibu.

Sifa mojawapo ya watu wakimya hupenda kusikiliza kwa makin na kuzisoma tabia na hisia za wengine hivyo hujikuta wale ambao umewaona huendan nao ni vigumu sana kuwa nao karibu na huwa wakimya wengi wanajua mengi juu ya mawazo ya wengine

tofautisha mkimya na mpole.....
MIMI SIO MPOLE
 
Watu wakimya tunaathiriwa sana na tabia yetu ya kukumbuka ulichokisema mbele za watu...kama ulichokiongea kikapingwa au kuwakwaza wengi basi kitamsumbua mda mrefu ...kuepusha hayo ni kupiga kimyaaa ila matendo zaidi
 

Mkuu umenuchekesha sana.
Togwa imeingia nzi.
 
Mi ni mkimya ila ukinizingua lazima nikupige ngumi na usipoanguka au kuzimia basi ujue we kweli mwanamke.

umejuaje kwamba wewe ni mkimya? watu wengine ndio wanapaswa wakusemeee na siyo wewe kujisema kuwa eti wewe ni mkimya.
 

Hii ndio point ya kufungia thread.
Mkuu una source labda ya ulichokiorodhesha hapo juu? Mimi pia niligundua tabia hizo mapema sana. Halafu watu wa aina hiyo ukiona anaongea sana ujue kuna kitu anatafuta.
 
Nimeishi na watu wa namna hiyo nawa jua vizuri mkuu

Vipi kwenye suala la u-spy na ukimya? Je unaona kuna tofauti kati ya hao watu na tabia za watu kama warumi wa haoa jf kwenye suala kufatilia mambo ya watu?
 

yaan bora hiyo"yu" ungeiondoa na kuweka "lu" ili iwe "mbulula" tujue kabisa we ni hamnazo(poyoyo) duh! unafanya kucopy na kupaste mwanzo mwisho kwan lazima ukoment? kama huna cha kusema funga mdogo nyie ndo wale waropokaji wakubwa
 
Watu wakimya tunaathiriwa sana na tabia yetu ya kukumbuka ulichokisema mbele za watu...kama ulichokiongea kikapingwa au kuwakwaza wengi basi kitamsumbua mda mrefu ...kuepusha hayo ni kupiga kimyaaa ila matendo zaidi
Hata mimi hii kitu ninayo sana.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…