Joakimswai
New Member
- Mar 18, 2019
- 3
- 1
Ila watu wakimya wakati mwingine ni wazur wanajiepusha na dunia
Kwel mkuuMm ni mkimya hasa kwa watu wagen kwangu ila mkimya kias kidogo nyumbani. Ila megundua ukimya umenifanya baadhi ya watu siwez kuongea nao kabisa wala kuwa nao karibu. Sifa mojawapo ya watu wakimya hupenda kusikiliza kwa makin na kuzisoma tabia na hisia za wengine hivyo hujikuta wale ambao umewaona huendan nao ni vigumu sana kuwa nao karibu na huwa wakimya wengi wanajua mengi juu ya mawazo ya wengine
mmhh!!!Ni vwembe balaa, weng wao n wazinz sana
Mulemule yaaniHizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.
umewahi kushuhudia hiyo??Ha ha ha ha ha ha ha ha wakimnya hatujisemi acha kundaganya uma shem!
Tufafanulie kidogo utofauti ni upi?Mimi sio mkimya na wala si muongeaji sana.
Halafu kuna watu wanachanganya kati ya ukimya na upole.....jua tofauti
umewahi kushuhudia wakiua??Ukimya ni tabia.lakini kwa vile wakimya huongea zaidi kwa vitendo ndo utaona mjumuisho wa tabia nyingine zinajitokeza kama dharau., kiburi tena kile cha uzima hasa.! Kedi ., pozi.,na jeuri iliyokomaa .lakini pia wenye tabia hii huwa wana kisirani cha kuua......na huwa wagumu kubadilisha maamuzi.! Ila ukiwajulia mbona utastarehe...! Kiufupi akili zao huwa bize kutafakari zaidi na hawapendi mpinzani.wala kero.!
umewahi kushuhudia??Pia kujitoa wao roho. In short hawana muda was Ku share na watu wengine
vipi bado mkimya hadi leo?Mm nimepata majaribu sana ktk maisha yangu kwa tabia yangu ya ukimya, unaishi na watu kila m1 anakunyooshea kidole kuwa una dharau, kumbe hata kidogo???
Ilifikia hatua nikajifunza kunywa pombe nilewe ili walau nipate maneno ya kuropoka niwafurahishe walio karibu yangu!
Sio kila mtu mkimya anakuwa na dharau, big #NOO !
Silent KillersWana JF hivi ni kwanini watu wakimya (wasio waongeaji kitabia) jamii huwachukulia kama wanadharau....
Kinachoboa ni pale watu wanakulazimisha uwe muongeaji kama wao.
Ukiwa ni hali tu ya kutokuwa muongeaj, wala maneno mengi. Unaweza kaaa na mtu hata usipige soga nyiingi, lakini endapo mtu au jambo likakuudhi reaction yake ni hatari. Kuna wengine unakuta hata kusamehe jambo au kuliacha au kusahau ni ishu lazima afanye kituTufafanulie kidogo utofauti ni upi?
KWELI KABISA.Akiamua jambo harudi nyuma aslaniNa huwa wepesi kuchukua maamuzi magumu hata kama ni kukutoa roho!!
Kwann mremboSiwapendi watu wakimya kabisaa
Tunaendana.Mi nikiwa kwenye keyboard nabwabwaja sana ila kwenye real life ni mkimya na wengi huwa wananiogopa
Hiyo namba 7 uongo kaka hapo inategemea na mtu mwenyeweHizi ndio sifa za watu wakimya:
1. Sio wacheshi
2. Wana kiburi
3. Sio rahisi kukubali kosa alilo fanya
4. Ni watu waku jitenga
5. Hawapendi uguse vitu vyao
6. Ni wazuri kwa u spy / upepelezi
7. Ni watu waku jiweka local sana hata kama fedha ipo
8. Hawana muda sana wanawake.
9.
Hii ndo inaitwa Reasoning Capacity,wana uwezo mkubwa wa kuchanganua maneno kabla ya kuyaongea kitu ambacho wengi hatuna na kuwa waropokaji..Mtu mkimya wakati wewe unaongea kwa mdomo yeye anaongea kwa ubongo.
Ndio maana ukiona unaongea na mtu lakini yeye amekaa kimya achana nae.
Wakati wewe unaongea moja mdomoni yeye anawaza na kujibu mara nyingi zaidi kimoyo moyo.
Hivyo usishangea unavyoongea nae ukajua anakusikiliza kumbe yeye anatafuta namana ya kukujibu iwe kwa maneno au vitendo.
Na mbaya zaidi kila unachokiongea hasahau.!