Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Lowassa angekuwa Raisi CCM na Mubaraka wake wangekuwa na kesi kubwa ya Uchumi wangekuwa wamefilisika kwa madeni makubwa waliyokopa katika uchaguzi wangeuza viwanja vyao vya mpira na maofisi ili kulipa hayo madeni waliyo sababisha miaka zaidi 50 yaani wangepotea kabisa.
mbona hilo halikuwa kwenye ilani yake?
 
Tungeenda vizuri sana Lowasa alijiandaa kuwa Rais tena urais ulikuwa sahiz YAKE alikuwa na marafiki wengi wakimataifa

Kweli maana aliposema kuwa atatoa elimu bure ,alipoulizwa sources ya fedha alisema ni gesi ,
 
Role Modal wa lowasa NI majizi jizi tu waliowahi kuibia nchi hii mfano mim nachukia umaskini nataka tuwe na Akina ROSTAM wengi , KARAMAI wengi ,halafu Nyumbu wanazungusha mikono MABADILIKO
 
kuna kitu watu wanashindwa kukielewa, ukiwa mgonjwa ili upone lazima upate maumivu kidogo, so kama ni sindano huwezi kusema kwakuwa yeye ni daktari basi akichomwa sindano haitauma! Nchi ilipokuwa imefikia, ili ipone inabidi tuumie kidogo hakuna cha nani wala nani. Hata ingekuwa ni upinzani, tena ndo tungeumia zaidi maana ni kama unachomwa sindano na daktari ambaye siyo mzoevu.

Umesema.... Mwenye akili za kuelewa atakuelewa...
 
Co kweli Rostam asingekuwa PM coz hakugombea jimbo lolote na kigezo cha PM ni lazima uwe mbunge wa kuchaguliwa jimboni jidanganye mwenyewe.

Hata EL hakupitia mchakato wowote na Bado ndani ya saa 48 alitangazwa mgombea urais wa JMT .... Tena wa vya na 4 vyenye katiba zao,Itakuwa mtu kufanywa PM bila Jimbo!!
 
Hata EL hakupitia mchakato wowote na Bado ndani ya saa 48 alitangazwa mgombea urais wa JMT .... Tena wa vya na 4 vyenye katiba zao,Itakuwa mtu kufanywa PM bila Jimbo!!
hawa jamaa walikuwa wanadhani wangepata vyeo walivyokuwa wanaahidiwa! Awaache hao kina Rostam aje ahangaike na walalahoi? Tungeshangaa zaidi na huyo Rostam alete ndugu yake toka huko Bombey, apewe uraia wa Tz na apate ubunge na awe waziri wa fedha. Si raisi kasema? Wewe mlalahoi utafanyaje? Yaani huyo dingi angepita, TUNGEKWISHAA!!
 
Kichwa panzi kama wewe unatakiwa ukafungiwe ufipa miaka yote ushinde na Mbowe humo ukimpangusa viatu.

Ukiachwa huku nje unaharibu vizazi Vya Mungu

Heee! Mbona mkikosolewa povu linawatoka kwani ni uwongo yaani mngepotea kabisa Mngeuza mpaka kofia na kanga za kijani bahati yenu katiba inawapa nguvu ya kushinda uchaguzi kila wakati.
 
Ni swali tu nawauliza wadau kwamba Lowasa angeshinda nafasi ya Uraisi, leo hii tungekuwaje? Ama hii nchi ingekuwaje? Kipi unadhani kipya tungekuwa nacho?

kwa njia ya miujiza siyo? Hahaha kwanza Rostam ndo angekuwa PM na ikulu ingehamia Monduli. Tungekuwa tuna hali mbaya hadi tukome!
Unajitekenya mwenyewe unacheka...swali umeuliza mwenyewe na majibu kumbe ulikuwa nayo...!! Tukisema nyie ni wa hovyo na vilaza mapovu yanawatoka!!
 
Unajitekenya mwenyewe unacheka...swali umeuliza mwenyewe na majibu kumbe ulikuwa nayo...!! Tukisema nyie ni wa hovyo na ****** mapovu yanawatoka!!
pole kiraza! Usiunganishe swali kuu pamoja na jibu la swali lingine toka kwa mdau mwingine upotoshe hapa kuwa ni swali na jibu!! Fuatilia vizuri nilijibu swali la mdau mwingine. Mmezoea kupotosha!
 
leo kashinda huyo msukuma mwenzangu msikini gani anapata hakiembu niambie,tunayoyasema na uhalisia ni tofauti
Leo asiye na nguvu ya pesa akishitakia jambo anasikilizwa
Kwanza ilikua nadra saana mtu wa chini kutendewa haki
dhulma ilikua nyingi tena bila woga
Muhimu watu wasionacho wasikilizwa
 
Kila mwananchi angekua tajiri kama alivosema haha,

kwa njia ya miujiza siyo? Hahaha kwanza Rostam ndo angekuwa PM na ikulu ingehamia Monduli. Tungekuwa tuna hali mbaya hadi tukome!

pole kiraza! Usiunganishe swali kuu pamoja na jibu la swali lingine toka kwa mdau mwingine upotoshe hapa kuwa ni swali na jibu!! Fuatilia vizuri nilijibu swali la mdau mwingine. Mmezoea kupotosha!
Hicho alichoandika huyo mdau ni swali?? ? swali lipo wapi ulilojibu hapo..kazi kubwabwaja hata ulichoandika hujui!! Wewe ni wa hovyo kabisa....
 
Sasa hivi mambo yangekua barabara maana hua hakurupuki kama mtukufu malaika
 
tusingelala njaa kwa sababu ya furaha ya mtu mmoja anaefurahia mashetani.
 
Back
Top Bottom