Asingeminya demokrasia,bunge lingekua live,mikutano ya kisiasa ingefanyika
Epa ilikua ni demokrasia?Escrow je au unaona rich mond tu,toka ccm iwepo madarakani hayo unayoyasema yanafanyika sawasawa?matibabu yapo wapi,elimu bure iko wapi,miundo mbinu bora ipo wapi? Halaf hamtaki tuongee ,by the way rich mond anajulikana na sio LowassaDemokrasi bila usawa wa mali za nchi hiyo siyo democrasia. Democrasia siyo wachache waiteke nchi kwa manufaa yao wenyewe, demokrasia ni watoto wetu wasome, hospital zetu ziweze kuwatolea huduma Watanzania wote, siyo wengine waende Appolo hospital walala hoi wafe bila matibabu hiyo democrasia gani. Nizibe mudomo, wape watoto wangu elimu, matibabu, usawa wa mali zetu. Democarasia gani za kusaini mikataba mibovu na kujirundikizia na nchi iachiwe madeni ya Richmond.
LOWASA ALIPEWA UWAZIRI MKUU AKACHEMKA KWA UFISADI WAKE NAFIRI URAIS ANGEFISADI KILA KITU MAANA HUYU JAMAA HALIZIKI KABISA
Epa ilikua ni demokrasia?Escrow je au unaona rich mond tu,toka ccm iwepo madarakani hayo unayoyasema yanafanyika sawasawa?matibabu yapo wapi,elimu bure iko wapi,miundo mbinu bora ipo wapi? Halaf hamtaki tuongee ,by the way rich mond anajulikana na sio Lowassa
Asingeminya demokrasia,bunge lingekua live,mikutano ya kisiasa ingefanyika
Angalia Manispaa za Arusha na Mbeya wanavyochota posho. Na Arumeru. Na Moshi. Viwanja anavyookoa Lukuvi si wangegawana kama hizo posho. Na ni nani angethubutu kumfanyia UKUTA Lowassa, morani si wangemchinja?Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?
Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?
Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?
Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Kama tungemchagua Lowassa kuwa Raisi wa wa 5 wa JMTZ unafikiri mpaka sasa hivi ni nini kingekuwa kimetokea? Unafikri wagonjwa Muhimbili wangetoka sakafuni na kuhamia kitandani? Unafikiri Lowassa, Mbowe Lisu &Co. wangeacha kutumia milioni 250 na badala yake kuzipeleka Hospitali kusaidia Watanzania? Rejea Tundu Lissu kutetea milioni karibia 300 walizokuwa walipwe kama Wabunge, je angeziacha hizi za juzi kama angekuwa na madaraka?
Unafikiri Lowasa na Mbowe wangeahirisha kuuza sura Disemba 9 na badala yake kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo?
Unafikiri Lowassa na Mbowe wangefuta safari za nje ya nchi?
Mke wa Lowassa unafikiri leo hii angekuwa kimya kama mama Janeti au tayari angeshaanzisha NGO na sia ajabu sasa hivi angekuwa yuko safari ndefu ya Marekani na Ulaya kuuza wazo lake?
Mungu bado hajachoka na sisi Watanzania anatupenda na ndiyo maana ametuongoza na tukafanya maamuzi ya busara, leo hii ukiwauliza waliompigia kura Dr. Pombe Magufuli kama wana majuto yoyote ya kufanya jibu lake ni HAPANA kubwa!
Tafauti ya Lowassa na Magufuli ni kubwa mno.Angekuwa raisi,usinge uposti uzi huu
Maisha yangekuwa safi sana.Majuto haya yasingekuwepo